Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaah Mez B alikuwa mwana sanaa... Alipiga na prof jay kitu cha Naahidi hatar sana....Hahahaaa sauti ya gharama (RIP MezB). Elimu mtaani.com mnaionaje
Ngwair kichwa sijabisha. Ila alikua anaandaliwa beat nzuri sana n majani kuliko wengine.Ngwair hata angeenda kwa mj record angeandikwa tu hapa.Kile kichwa balaa
MezB nyimbo yake ya nimekubali nayo ilikua moto.Daaah Mez B alikuwa mwana sanaa... Alipiga na prof jay kitu cha Naahidi hatar sana....
Hahahah Dknob na Q jay waliua kwenye Kitu gani
Sent using Jamii Forums mobile app
Aaah wapi. Hao kina nature labda waungane wote tmk ndio wafikie beat za ngwair [emoji1][emoji1][emoji1]Mtoto Idd ya nature kasimu kiroboto
Mkuu nimekupa like sijawahi kuwaza ile beat miika alikuwa katika mood gani yaan.Lile dude ni noma afu bongo HAD MAD alikuwa nadhan ndo king wa DANCEHALL
Si hiyo nimekubali. East zoo waliokua asset ni ngwair na noorah, mezb na darkmaster walikua wasindikizajiIla Mez B alikuwa anazingua bhana.Ukitoa ngoma yake na Ray C kuna ipi kali sana kutoka kwake?
Hahaha labda kwa kuimba ndio Hao TMK unganisha na Eeast Coast wote hawaingii kwa NGWAIR.Kwa beat wanaweza mfunika japo mikasi ni beat zuri.Wee ile miguno inayoanza najua inakufurahisha sanaAaah wapi. Hao kina nature labda waungane wote tmk ndio wafikie beat za ngwair [emoji1][emoji1][emoji1]
Ayayayayaya hatari fire.... Ilikuwa ikitoka hyo naweka kama vipi akiwa na ray c.. Then cheza kwa step ya jay moeMezB nyimbo yake ya nimekubali nayo ilikua moto.
Hivi yuko wapi mzee hardmadMkuu nimekupa like sijawahi kuwaza ile beat miika alikuwa katika mood gani yaan.Lile dude ni noma afu bongo HAD MAD alikuwa nadhan ndo king wa DANCEHALL
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu muogope Mola, unaikumbuka Fikiria? Vipi kuhusu Kikuku?Ila Mez B alikuwa anazingua bhana.Ukitoa ngoma yake na Ray C kuna ipi kali sana kutoka kwake?
Hahahaa cheza kwa step usimkanyage mwenzio. Na kama wataka demu je [emoji12][emoji12][emoji12]Ayayayayaya hatari fire.... Ilikuwa ikitoka hyo naweka kama vipi akiwa na ray c.. Then cheza kwa step ya jay moe
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣🤣 jamani sio ile miguno ni zile dumdum. Ile beat inavunja vyombo kabatini. Kuna siku kikombe changu kilivunjika sababu ya hilo beatHahaha labda kwa kuimba ndio Hao TMK unganisha na Eeast Coast wote hawaingii kwa NGWAIR.Kwa beat wanaweza mfunika japo mikasi ni beat zuri.Wee ile miguno inayoanza najua inakufurahisha sana