Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Jamaa Mwanamume anaitwa
Ahmada.
From Zanzibar
Ahmada.
From Zanzibar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Allyoki 😎wakuu mambo ni vipi
Embu Leo Taja jina la mtu ambaye hujawahi Kulisikia tena baada ya kukutana na mtu analitumia.
Mimi nilikutana na jamaa anaitwa drufiano lile jina sijawahi kulisikia sehemu nyingine hata gugo halipo.
Taja jina ambalo ulikutana na mtu analitumia hujawahi kulisikia tena mahali nyingine
Tryphon nishakutana naloTryphon
Sidueli
Hili pia nmekutna nalo, maeneo ya Wanita Msoma vijijini.Huyu muhaya
Na kweliPalamagamba Kabudi.
Mimi pia namaliza hata miaka bila kusikia jina langu mahali.Mtu mwenye jina kama langu kwa mwaka huwa nakutana nae mara 1 tuu na saa zingine mwaka unakatika sijakutana na mtu tunafanana nae jina..
Ocha wa Zamani Wa benfica ya Ureno alikua Anaitwa Gutman ila huku bongo sio rahic kulipata ilo jinaGutman nilisoma nae olevel pale KB sijawahi kisikia hili jina tena
Panya wa Green Acres? Msukuma yule wa Shinyanga Huyo jamaa alikuwa na fix sanaJamaa anaitwa Panya nikasema mzee wake atakuwa jina lake Paka🤣🤣
Tatizo Fundi
Angumbwike Nyasulu
Lyafufifye Anyambilile
Maduka Msalaba
Popoma Gentamycinewakuu mambo ni vipi
Embu Leo Taja jina la mtu ambaye hujawahi Kulisikia tena baada ya kukutana na mtu analitumia.
Mimi nilikutana na jamaa anaitwa drufiano lile jina sijawahi kulisikia sehemu nyingine hata gugo halipo.
Taja jina ambalo ulikutana na mtu analitumia hujawahi kulisikia tena mahali nyingine
Kb ni Kibengu?Gutman nilisoma nae olevel pale KB sijawahi kisikia hili jina tena