Rancho39
Member
- Jun 29, 2019
- 20
- 6
Ohhh i once finished st john bosco too 2009St john bosco academy from class of 1998-2005
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ohhh i once finished st john bosco too 2009St john bosco academy from class of 1998-2005
Ulimaliza st john bosco mwaka gani nami nilisoma na nikamalizia hapowengine tumesoma shule 3 primary tu...
1-Mkoani shule ya msingi (kibaha)
2-filbert bayi primary school (Kimara)
3-St John Bosco Primary school (Kibaha)
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtani Wachaaa!!!International school of tanganyika (ist) 1984_1990
😀😀 mtani ulijua nimesoma shule ya sekondari kibwegele!Mtani Wachaaa!!!
Kwa kweli umenisapuraizzz Mtani. 😀😀😀😀 mtani ulijua nimesoma shule ya sekondari kibwegele!
Kwa kweli umenisapuraizzz Mtani. [emoji3][emoji3]
Ila hongera mana hizo shule mi nilikuwaga nazisikia tu.
ww uliyeanzisha uzi mbona hujasema au umetumwa ??Hebu tuzikumbuke Shule zetu za msingi tulizosoma miaka hiyo na Jambo gani ambalo hutalisahau?
Aidha si vibaya ukasema ulikuwa unashika Nafasi ya ngapi.
Karibuni!
Mtani wangu huyo lazima ajimwambafayi nione mimi sio mkayumba mwenzie. Hatujawahi kuwa upande mmoja. 😅😅Jamaa linakuibia kirahsi hivyo, IST tangu lini walisoma miaka Saba kama Kayumba..!! [emoji23][emoji23][emoji23]
Ni wivu tu, mi nalipeperushia ndege [emoji1493][emoji1493][emoji1493]
Ha ha haJamaa linakuibia kirahsi hivyo, IST tangu lini walisoma miaka Saba kama Kayumba..!! [emoji23][emoji23][emoji23]
Ni wivu tu, mi nalipeperushia ndege [emoji1493][emoji1493][emoji1493]
Korogwe hii au
komesha korona