Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseee. Kipindi hiki Ngarenaro walikuwa washazigawanya zikawa mbili eee?2004_2008 Ngarenaro Primary school kisha 2009_2012 Ndala msufini Primary school
Aah, mtoto wa Arachuga huyo, hujambo lakini?😀Aiseee. Kipindi hiki Ngarenaro walikuwa washazigawanya zikawa mbili eee?
Mana mie kipindi nasoma ilikuwa moja tu.
Aiseee. Acha kabisa. Mji umenijenga ule Ses huwa nauheshimu mbaya.Aah, mtoto wa Arachuga huyo, hujambo lakini?😀
Najua Shadeeya, mtu akikulia mitaa ya Ngarenaro, Moshono,Kwa Mromboo, Njiro, Unga Limited na kadhalika, lazima awe mpambanaji. Popote pale anaweza ishi na akapambana na maisha kama kawa. Salute mama la mama👍🏼Aiseee. Acha kabisa. Mji umenijenga ule Ses huwa nauheshimu mbaya.
Mie Alhamdulillah. Najua weye ndio wale wa St naniliu. 😅😅
Uwiii!! Umesahau Kambi ya Fisi, Mbauda, Kona Nairobi, Olasiti. 🤣🤣🤣🤣Na
Najua Shadeeya, mtu akikulia mitaa ya Ngarenaro, Moshono,Kwa Mromboo, Njiro, Unga Limited na kadhalika, lazima awe mpambanaji. Popote pale anaweza ishi na akapambana na maisha kama kawa. Salute mama la mama👍🏼
Ila sasa enzi zetu sisi shule za Kayumba ndio zilikua mpango mzima. Tulisoma na watoto wa kishua. Wakati huo sote tukisaga lami kwenda na kurudi shule. Waliokua wanachukuliwa na magari ni wachache sana. Huu ubaguzi wa "shule bora" na "bora shule" ni miaka ya karibuni tu
Ewaaa, wewe ni mwenyeji zaidi maeneo hayo Shadeeya. Yaani ulibakia kujua kimasai na kimeru tu😂Uwiii!! Umesahau Kambi ya Fisi, Mbauda, Kona Nairobi, Olasiti. 🤣🤣🤣🤣
Azimio primary school Mbeya mwaka 1979 - 1985
Huu uzi nahisi nikicoment nawafungulia njia wasiojulikana waje Direct mpaka mtaani kwetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseee!! Nilikuwa na rafiki yangu anaitwa Sindanii yaani alikuwa nikienda kwao najifunza kuna ile salamu Takwenya hakafu anaitikia Iikoo pia nilikula sana Mangararumo. 😅😅Ewaaa, wewe ni mwenyeji zaidi maeneo hayo Shadeeya. Yaani ulibakia kujua kimasai na kimeru tu😂
Ngoja nikuulize, wewe si umesoma zile shule mnazofagiliwa mpaka darasa mnalosomea, mazingira ya shule nk?
Marhabaaa!!! 🏃♂️🏃♂️🏃♂️Shikamooo shikamoooo
komesha korona
Marahaba marahaba...Shikamooo shikamoooo
komesha korona
Marhabaaa!!! [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Hahahaaa. Umefanya nimecheka aizee.We lipa shikamoo yangu. Yani utailipa nakwambia
komesha korona