Taja jina la shule ya msingi uliyosoma enzi hizoo

Taja jina la shule ya msingi uliyosoma enzi hizoo

Kisha mihogo tulikuwa tunakula kwa yule baunsa pale njia panda kwenda moro sec na forest

komesha korona
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimekula sana mohogo kwa baunsa aisee!!
 
Aiseee....! Alikuwa na singlend flan nyeusi. Mihogo anaipasua pasua flan hiv kisha anaweka chumvi na kachumbari
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimekula sana mohogo kwa baunsa aisee!!

komesha korona
 
Hahahaaa. Jibu la kikayumba kayumba kabisa hili Sesten. 🙈🙈🙈

Mana wa Ushuani saa hizi bado angekiwa anatafuta maana ya kumwaga mchele kwenye kuku wengi. Hahahahaa. Lol.
Wa kayumba hatukaukiwagi maelezo na majibu😂😂😂
Si unakumbuka somo la kiswahili kwenye methali na semi
 
Kamnyonge primary school! Tuliosoma apo like na kukoment twende pamoja
 
Back
Top Bottom