barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Wanasema kwamba hata uwe tajiri vipi huwezi kukosa deni. Lazima kutakuwa na mtu, kampuni/ benki inayokudai.
Wengine wanafika mbali zaidi na kusema kama mtu unaogopa kukopa na kudaiwa, basi huwezi kuwa na mafanikio.
Je, wewe hapo kwa sasa unadaiwa nini? Kama ni pesa, ni kiasi gani?
Binafsi hapa nilipo nipo na madeni haya:
-Tala=45,000
-Tigo =36,000
-Airtel =37,000
-Branch=6,000
-Nadaiwa bili ya maji 9,200, hii leo nitailipa.
-Nadaiwa na jamaa 35,000.
-Nadaiwa hela ya posa milioni 1 na laki 3, kati ya milioni 1 na laki 5, nilitoa laki 2 tu.
Hayo ndiyo madeni yangu hayo ya juu ukitoa matatu ya mwisho, yameshakuwa sugu sasa.
Cc Zero iq
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nadaiwa penseli na Swalehe.
Naomba na mimi nikudai.Madeni yote nimelipa,, mimi ndiye nadai..
Loan board inaniumiza kichwa walah[emoji134][emoji134]Loan board mama 13M+
Voda nilikopa salio 600
Vicoba 400,000
Mchango wa harusi 70,000
😀😀😀🙌Hillside bar elfu 35600
Valley view bar 27300
Jm sports & lounge 52000
Kingstone bar 17000
Red devil bar 23500 ( nimelikataa)
Ni hayo tu
Naomba na mimi nikudai.
Kumbe kulewa kila siku mlevi wewe wanywa kwa mkopo[emoji134][emoji134][emoji134]Hillside bar elfu 35600
Valley view bar 27300
Jm sports & lounge 52000
Kingstone bar 17000
Red devil bar 23500 ( nimelikataa)
Ni hayo tu
200 tu.Dollar ngapi eti??
200 tu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2296][emoji2296]yaani eti unamalizia na "tu" kabisa??
Kumbe kulewa kila siku mlevi wewe wanywa kwa mkopo[emoji134][emoji134][emoji134]
We umeshindikana[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Lazima uwe na daftari bar..kuna siku unazidi kiwango
ulikopa wapi namimi nikakope mkuu?Watu mbalimbali: 57.4M, TRA: 18M (ambazo sitowalipa), na1200$ ambazo zinaninyima usingizi namna ya kuzilipa. Eh Mwenyezi Mungu nisaidie nilipe madeni yote. Amen
Pole mkuuVoda Mpawa 125K yaani sina raha kila siku kupokea simu na sms za vitisho kutoka kwao najua nimepitiliza muda ila nitailipa.
Mpendwa mteja, MPAWA, Kila jambo lina mwisho. Mkopo tuliokupa sio kiwango cha mwisho, Ila marejesho yake tulikuekea mwisho wa kufanya. Umekaidi,Umedharau,Umepuuzia, Tafsiri yako kwetu ni mteja anaetaka kutapeli kampuni. Mwisho wa ubaya ni Aibu, HATUTAKI KUKUAIBISHA AU KUKUDHALILISHA KWA MKOPO MDOGO. Bonyeza *150*00#KULIPA LEO HII.
Wee mdada doh...Kumbe!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa nifanyeje jamani[emoji85][emoji85][emoji85]