π π π π π πMimi m.pawa wananidai na sina hata amani yaani.
Kuna mdada akipiga cm ,
anaongea kwa ukali mpaka unatamani uzamishe cm kwa maji.150k.[emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Du ulijitajidi hadi kufikia 420?. Hivi airtel Nanakopesha je?Tigo : 180,000
Airtel : 420,000
hawa eatel ntawalipa tu siku maana sina namna hela hata iingie bahati mbaya wanailamba,ila tigo sitegemei kwakweli maaana hata tigo pesa iwe na 500,000 hawakati wala kuigusa hela yako na wanakudai.
Eatel kuna siku ntafunga macho paaaaap "ila ndio wasubiri nijazwe upako"
Yaaani ni hofu hofu mashaka tele[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119] mi simu huwa maweka[emoji574]mode.Madeni yaacheni tu..unaweza jikuta kila wakati simu unaweka flight mode,au simu ikiwa on ikiita namba ngeni hupokei,yaani ni mashaka matupu..
Mpige kofuli[emoji23][emoji23][emoji616][emoji616][emoji616]Mimi m.pawa wananidai na sina hata amani yaani.
Kuna mdada akipiga cm ,
anaongea kwa ukali mpaka unatamani uzamishe cm kwa maji.150k.[emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mimi m.pawa wananidai na sina hata amani yaani.
Kuna mdada akipiga cm ,
anaongea kwa ukali mpaka unatamani uzamishe cm kwa maji.150k.[emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani voda wanaiga kelelle mpaka wananikatisha Tamara ya kuwalipaTigo nivushe laki 3 na 10 na branch elf 65
Naogopa na hivi tumesajiliwa na alama za vidole.loh.
π€£π€£π€£π€£π€£π π π π π π
Mwambie akulipie then mtamalizana na yeye
Walipe bwana mimi nawalipa wananisaidia sana nikikwamaYaani voda wanaiga kelelle mpaka wananikatisha Tamara ya kuwalipa
Tigo nivushe laki 3 na 10 na branch elf 65
Mimi m.pawa wananidai na sina hata amani yaani.
Kuna mdada akipiga cm ,
anaongea kwa ukali mpaka unatamani uzamishe cm kwa maji.150k.[emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app