Taja madeni yako: Je, unadaiwa kiasi/ kitu gani?

Taja madeni yako: Je, unadaiwa kiasi/ kitu gani?

5000 na m pawa hawa jamaa sms wanazotuma wakidai hela yao Kama Upo karibu na kituo cha polisi nakwambia unaweza ata jisalmisha
 
Milioni 2.
alikuja mzee kuwekeza dukani tangu mwezi wa 1 mwaka huu.
Mpaka Leo hajaja kuchukua vitu vyake.
Na hela nishakula [emoji2][emoji2].
Siku akija ndo siku yangu ya kwanza KUZIMIA.
Huwa unamuona around? Ukute mtu hata kashakufa [emoji23][emoji23] halafu we unawaaaza.
 
Back
Top Bottom