Taja Mchezaji Mbovu Anayecheza Timu Kubwa

Man U kuna tatizo linawasibu. Unatakiwa kuexplain kwanini walishinda mfulilizo wakati ule ili uweze kueleza kwanini hawafanyi vizuri kwa sasa.
 
Wanasema ligi ya England mzee Ferguson alikuwa anawatembezea sana mlungula marefa wa wakati huo
Man U kuna tatizo linawasibu. Unatakiwa kuexplain kwanini walishinda mfulilizo wakati ule ili uweze kueleza kwanini hawafanyi vizuri kwa sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…