Taja raha za kuwa single ili wenye ndoa wajifunze

Taja raha za kuwa single ili wenye ndoa wajifunze

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Salaaam magreat thinkers

Leo tukiwa tunaendelea kusononeka baada ya shule kufunguliwa nimewaletea baadhi za faida za kuwa single ( bila kuoa)

1. Tuliosingle tunajiamini, watu waliosingle wanajiamini kila idara kutokana na uzoefu wa kukwepa mitego kadha wa kadha kutoka kwa wadada mfano.....hizi kelele za tozo huwezi kuzisikia kwasisi tulio single

2: Ni wazee wa kuspend, kumwagilia mioyo: ni ngumu mtu aliyesingle kumkuta anajibana kimatumizi always tuna ile kauli ya tumia pesa ikuzoee......lazima tumwagilie moyo

3. Waliosingle ni handsome..that's y ni wagumu kudate ....ili kuepuka kusambaza species zenye mionekano kama yao

Ongezea faida walizo nazo watu waliosingle( only positive )
..............
FB_IMG_16623134875851250.jpg
 
Amani , Uburu , Ni rahisi kupangilia bajeti kama ni mtu wa malengo , Wako focused , Wengi walio single ni wale ambao walipitishwa ubatizo wa moto na wapenzi wao.. hii inawapa nafasi ya kijijua zaidi na kurelflect what went Wrong kwenye previous relationship .
Wengine wataongezea....

NB :Hakuna mtu anaependa kuwa single kama amekamilika ni hali tu ya kukosa mtu sahihi at right time

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
Tunajidangaya tu,kuwa single ni expensive sana, unajikuta una mechi zile za fasta unalipia lodge kila siku,msosi na demu lazima umpe hata ten ya nauli,

Bora kuwa na mahusiano ya kudumu,unapata papuchi muda wowote
Vpi kuhusiana na haya maswali

1Mume wangu, gesi 2.imeisha.........mchele umeisha.
3.Mtoto anaumwa
4.Nguo za sikukuu
5.Mama yangu ( mke) utamjengea lin nyumba

6Nywele nutabadilisha lini 75k 1per 1week??????
 
Amani , Uburu , Ni rahisi kupangilia bajeti kama ni mtu wa malengo , Wako focused , Wengi walio single ni wale ambao walipitishwa ubatizo wa moto na wapenzi wao.. hii inawapa nafasi ya kijijua zaidi na kurelflect what went Wrong kwenye previous relationship .
Wengine wataongezea....

NB :Hakuna mtu anaependa kuwa single kama amekamilika ni hali tu ya kukosa mtu sahihi at right time

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu una maanisha waliosingle ni watu waliopigwa vitu vizito
 
raha ya kuwa single kwa mwanamke hachagui pa kulala popote kambi tu... ila faida kwa mwanaume wanaweza changia mwanamke mmoja na marafiki zake na asione wivu wowote
Hii ni kweli kabisa mkuu....demu akija geto hata kama una godoro tu.....atakubali kulala

Lkn ukishamuoa lazma ataanza kudai vitu classic vya ndani[emoji23][emoji23]
 
Hii ni kweli kabisa mkuu....demu akija geto hata kama una godoro tu.....atakubali kulala

Lkn ukishamuoa lazma ataanza kudai vitu classic vya ndani[emoji23][emoji23]
mwanamke akishapandishwa cheo kuwa Mke kuna tabia fulani inaibuka ghafla kujifanya siyo Mwanamke tena yule wa siku za nyuma ambaye alukiwa unamkula hata barabarani au mnabusiane kwenye gari au hata mkiwa mnakunywa zenu kvant mnashangalia yaani anakuwa na principal za kipuuzi muda wote..

Sijui shida inaanzia wapi.. Ila Ukweli Mashangazi wanaharibu wanawake pindi wakiolewa na hawa mashuga mami wa kittchen paart eti Ukiwa unakuna nazi uwe unakatika, sijui akiwa sebuleni pita na kanga moja ..Haya mafundisho ya wanawake wa Kibongo sijui walisomeaga wapi Mwanamke kupita na kanga moja au kukuna nazi unakata kiuno ndiyo kudumisha ndoa
 
Vpi kuhusiana na haya maswali

1Mume wangu, gesi 2.imeisha.........mchele umeisha.
3.Mtoto anaumwa
4.Nguo za sikukuu
5.Mama yangu ( mke) utamjengea lin nyumba

6Nywele nutabadilisha lini 75k 1per 1week??????
Huyo ni mke sasa, ngoja nikupe mfano, unaweka ndani pisi bila kuioa so mnaishi tu na ina kazi yake so mambo ya gas kuisha sio rahisi maana wote mnaondoka asubuhi kurudi jioni.

Mfano mwingine, unadate na demu mwenye geto lake, na kazi yake, wewe ni kwenda kupiga kila siku,mara moja moja unaenda na ka dumu ka mafuta na kagunia ka mchele, ni cheap
 
Mwenye ndoa atajifunzaje Jambo ambalo ameshalipitia?

Akili zingine bhana!

Mtu kabla hajaoa alikuwa single, anajua in and out ya kuwa single alafu kisa kaoa uje umueleze faida ya kuwa single. Kweli?

Wenye ndoa ndio wanapaswa kusema wanachokipata ndoani ili single wajifunze.
Na Hilo suala kuna member humu alianzishiaga Uzi
 
Back
Top Bottom