Samson Ernest
JF-Expert Member
- Aug 28, 2014
- 557
- 858
Oeni na oleweni acheni kujifariji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna raha, labda tumsikilize Akinyele na Fvck Me for FreeSalaaam magreat thinkers
Leo tukiwa tunaendelea kusononeka baada ya shule kufunguliwa nimewaletea baadhi za faida za kuwa single ( bila kuoa)
1. Tuliosingle tunajiamini, watu waliosingle wanajiamini kila idara kutokana na uzoefu wa kukwepa mitego kadha wa kadha kutoka kwa wadada mfano.....hizi kelele za tozo huwezi kuzisikia kwasisi tulio single
2: Ni wazee wa kuspend, kumwagilia mioyo: ni ngumu mtu aliyesingle kumkuta anajibana kimatumizi always tuna ile kauli ya tumia pesa ikuzoee......lazima tumwagilie moyo
3. Waliosingle ni handsome..that's y ni wagumu kudate ....ili kuepuka kusambaza species zenye mionekano kama yao
Ongezea faida walizo nazo watu waliosingle( only positive )
..............View attachment 2346407
Mkuu....sasa kupika kwa wanawake ni nature yenu.....why uone kama ni mzigo????Upike isipike ni tumbo lako tu ,lakininolewe Kila siku unakaribishwa na jiko ni lazima sio ombi.....ipite siku ukapiga ndo Ile unaambiwa uyuwanamke anakiburi....shwain...
Na bora hata wa zamani sasa hawa university holder .....sijui kama tutafika naomwanamke akishapandishwa cheo kuwa Mke kuna tabia fulani inaibuka ghafla kujifanya siyo Mwanamke tena yule wa siku za nyuma ambaye alukiwa unamkula hata barabarani au mnabusiane kwenye gari au hata mkiwa mnakunywa zenu kvant mnashangalia yaani anakuwa na principal za kipuuzi muda wote.. Sijui shida inaanzia wapi.. Ila Ukweli Mashangazi wanaharibu wanawake pindi wakiolewa na hawa mashuga mami wa kittchen paart eti Ukiwa unakuna nazi uwe unakatika, sijui akiwa sebuleni pita na kanga moja ..Haya mafundisho ya wanawake wa Kibongo sijui walisomeaga wapi Mwanamke kupita na kanga moja au kukuna nazi unakata kiuno ndiyo kudumisha ndoa
Mkuu .....sasa hapo kidini ni sawa tu na upo single....ila unaendelea kufaidi papuchiiii[emoji23][emoji23]Huyo ni mke sasa, ngoja nikupe mfano, unaweka ndani pisi bila kuioa so mnaishi tu na ina kazi yake so mambo ya gas kuisha sio rahisi maana wote mnaondoka asubuhi kurudi jioni.
Mfano mwingine, unadate na demu mwenye geto lake, na kazi yake, wewe ni kwenda kupiga kila siku,mara moja moja unaenda na ka dumu ka mafuta na kagunia ka mchele, ni cheap
Vp kuhusu wale ambao wameingia ndoani directly......(kulazimishwa)Mwenye ndoa atajifunzaje Jambo ambalo ameshalipitia?
Akili zingine bhana!
Mtu kabla hajaoa alikuwa single, anajua in and out ya kuwa single alafu kisa kaoa uje umueleze faida ya kuwa single. Kweli?
Wenye ndoa ndio wanapaswa kusema wanachokipata ndoani ili single wajifunze.
Na Hilo suala kuna member humu alianzishiaga Uzi
Ni kweli lakini tunakwepa gharama kaka😁, ukila ki masihara unajikuta kwa siku moja tu elfu 50 imeishaMkuu .....sasa hapo kidini ni sawa tu na upo single....ila unaendelea kufaidi papuchiiii[emoji23][emoji23]
Hapana, wapo wanawake wazuri na wanaompenda Mungu.Kwa maisha haya ........na wanawake hawa washika vifungu vya sheria[emoji23][emoji23]??
Hili nalo neno+kumleta yeyote labda tu maza house akuzingue
Vp kuhusu wale ambao wameingia ndoani directly......(kulazimishwaNaona umeandika uzi huku ukiwa umesahau walio na ndoa waliwahi kuwa single...
Uzi wako hauna logic