baby success
JF-Expert Member
- Jul 14, 2022
- 548
- 1,799
Hakuna fasihi hapo mkuu yaani namaanisha nikitaka kuchaji simu yangu popote nawezaUmemaanisha nini hapa mkuu......tupe madini ( kubeba chaja ya simu kwny mkoba))
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna fasihi hapo mkuu yaani namaanisha nikitaka kuchaji simu yangu popote nawezaUmemaanisha nini hapa mkuu......tupe madini ( kubeba chaja ya simu kwny mkoba))
Umeambiwa life is too short just enjoy itEti kambi kokote[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] enjoy life, yolo
Mkuu ...mbna rate kubwa inaonyesha wanaume walio kwenye ndoa ndio hufariki mapema kuliko those singles????Biblia inasema tuishi na wake kwa akili, kwa hiyo sisi wenye wake tuna akili,ndio maana tumeoa, ukiwa huna akili huwezi kuishi na mwanamke. Over.
Hebu fafanua hapo kwenye UburuAmani , Uburu , Ni rahisi kupangilia bajeti kama ni mtu wa malengo , Wako focused , Wengi walio single ni wale ambao walipitishwa ubatizo wa moto na wapenzi wao.. hii inawapa nafasi ya kijijua zaidi na kurelflect what went Wrong kwenye previous relationship .
Wengine wataongezea....
NB :Hakuna mtu anaependa kuwa single kama amekamilika ni hali tu ya kukosa mtu sahihi at right time
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Kama hapa naumwa hakuna hata wa kunibembeleza kunywa dawa[emoji23][emoji23][emoji23]Wee mbona upo single hutaki kidume wapapase tako skonsi
utaleta maada yako na ww.Mwenye ndoa atajifunzaje Jambo ambalo ameshalipitia?
Akili zingine bhana!
Mtu kabla hajaoa alikuwa single, anajua in and out ya kuwa single alafu kisa kaoa uje umueleze faida ya kuwa single. Kweli?
Wenye ndoa ndio wanapaswa kusema wanachokipata ndoani ili single wajifunze.
Na Hilo suala kuna member humu alianzishiaga Uzi
Pole mrembo unaumwa nini tenaKama hapa naumwa hakuna hata wa kunibembeleza kunywa dawa[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka kibabeKama hapa naumwa hakuna hata wa kunibembeleza kunywa dawa[emoji23][emoji23][emoji23]
Kabisa pesa Yako unaila peke yako,hakuna wakukwambia pesa ya mboga Wala bamia....maisha burudaniPesa yangu naila peke angu hamna w kuniuliza uko wapi mda huu nakula ninacho taka