Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
- Thread starter
- #161
Mkuu hii Kitu ni endless circle....kitaa ninachoishi hapa ...wengi walikua single wakaoa then now wapo single Tena.......hawataki mambo ya ndoa...Aisee, hii ni logic gani sasa!!? Wenye ndoa hawana cha kujifunza kutoka kwa masingle. Ama hujui mtu mwenye ndoa alianza kwanza kama single? Wewe ndio unapaswa ujifunze kwa walio kwenye ndoa utoe tongotongo
Unajua ni kwnn[emoji23][emoji23]