Taja raha za kuwa single ili wenye ndoa wajifunze

Taja raha za kuwa single ili wenye ndoa wajifunze

Ukiwa single unakuwa na uhuru sana, yaani yale mambo sijui dem/bwana atanionaje hayapo kabisa. Tunaenda popote tunapotaka mda wowote huulizwi unarudi saa ngapi, huambiwi urudi saa ngapi na wala hakuna mtu utamuacha amenuna huku nyuma wakt we unahangaika na mambo yako.

Ila kitu pekee kinaumiza ukiwa single ni upweke, yani kuna muda unatamani uwe na mtu wa ku take care of you lakini huna. Watu wanakuona you are wilding too hard kumbe uko ndani upweke nao unachangia[emoji38][emoji38]
 
Hapo nakua muoga .....unaweza kata Moto ....mtu kujua[emoji23][emoji23]
Hata nikirudi saa nane za usku hakuna makelele na mtu. Hata ni lale na viatu fresh tu. Ila nikiugua nauchukia usingle
 
Kuwa single hakuna faida kubwa.
Isipokuwa pale unapogundua kuwa umefanya chaguo lisilo sahihi, ndipo unatamami kuwa single kwakuwa utakuwa una uhuru wa kuishi unavyotaka( ukiwa kwenye ndoa huwezi kuamua kuishi unavyotaka).
-Faida ni kuepuka bugudha na hasara mbaya
Mfano:
(1) Kuna jamaa mmoja alikatwa uume na mke wake( hasara kubwa kupita maelezo)
(2) Kuna jamaa alimwagiwa mafuta ya moto na kisha kufa.
(3) Kuna wanaume wanapewa kipigo na wake zao.
(4) kuhangaika kusuluhisha migogoro ya ndoa badala ya kufanya shughuli zingine ( Mfano: mume dini nyingine, halafu mwanamke mlokole).
(5) Ukosefu wa uaminifu huweza kupelekea maamuzi mabaya yanayo hatarisha maisha yako(Mfano: ukiua)
Kwahiyo, hasara hizo zingeepukwa kama jamaa hao kama wangekuwa single.
Kati ya wote.....aliyekatwa mashine...alikula hasara heavyweight
 
Hamnavitu special lkn Kwa mm navoona ni upweke tu unaweza ukawa unakilakitu ndani unapika lkn ukashindwa kula ukatamni maybe ningekuwa na mtu hapa tule
Somtym uko bored ukatamni kuongea na mtu ukawa lonely tu

Kuna kuwa na bahat ya kuwa na mpenz Yuko bright akakusogeza sehemu hta isiwe pesa hta mawazo tu mkashare idea ni hivo

Kunamwili kuhitaji kuwa karibu na mtu kiss romance hug sidhn km ukinunua Malaya mtakiss [emoji23] mm naona upweke tu
Noted[emoji23][emoji23]
 
Kuwa single ni kiwango cha juu cha umaskini,kujichelewesha na mwisho kbs lazma ujute
 
Huwa inatokana na nn kumchoka mwenzio hatua hiyo[emoji23]sihami Kwa mama aisee km ndo ivo
Lack of creativity
Kila siku kutumia style moja
Kila siku kumpikia maharage
 
Me naona kuwa single unajitesa how come udeki nyumba mwanaume na kupika hizo ni kazi za mwali..ila umempate mwali asiye na mapungufu ya kishenzi mfano matusi umalaya na kupenda kesi kingine mama mkwe asikuingilieni kukupigia pigia simu kuomba hela ovyo.
Mkuu kwenye kupika tuna gesi

Kupiga deki ....now tuna carpets
 
Ukiwa single unakuwa na uhuru sana, yaani yale mambo sijui dem/bwana atanionaje hayapo kabisa. Tunaenda popote tunapotaka mda wowote huulizwi unarudi saa ngapi, huambiwi urudi saa ngapi na wala hakuna mtu utamuacha amenuna huku nyuma wakt we unahangaika na mambo yako.


Ila kitu pekee kinaumiza ukiwa single ni upweke, yani kuna muda unatamani uwe na mtu wa ku take care of you lakini huna. Watu wanakuona you are wilding too hard kumbe uko ndani upweke nao unachangia
emoji38.png
emoji38.png
Upweke mbaya sana
Lack of creativity
Kila siku kutumia style moja
Kila siku kumpikia maharage
Khe Sasa huachi Hela ya nyama na mboga za majani au mm ndo sijaelewa
 
Faida ya kuwa single. Ni kuwa unakuwa kama mwehu,chizi ,mtu aliechanganyikiwa,akipita mwanamke yeyote unamuita ita bila staha, unakuwa huna ratiba maalum, unaongea peke yako, unakula huku unatembea,kuoga mpaka ukumbuke,kiufupi kuwa single yan kuwa hujaoa unaonekana muhuni.na kwa mwanamke unaonekana una hila au malaya ,kiufupi hizo ndio faida za single
Duuuuh mkuu....umeshaoa tyr mbna unatutukana[emoji23][emoji23]
 
Mkuu kwenye kupika tuna gesi

Kupiga deki ....now tuna carpets
Uko sahihi afu wanaosema eti ukiwa na ndoa hakuna Gharama eti unamgonga Bure mke Mimi nawapinga coz mke atakaa kimya unamgonga TU ila siku akikutoka anakutoka kirungu Cha kweli..utasikia na shida la laki mbili na ukicheki umechukua mshahara wa millioni utaona acha nimpe mke...ila malaya wa elfu kumi hata ukimla Mara kumi kwamwezi umetumia laki...assume geust NI ghetto lako..halafu akija NI ngono TU kula kila mtu kwao...pia siku nyingine unamgonga then unamkopa unamwelekeza una buku tano
 
Vpi kuhusiana na haya maswali

1Mume wangu, gesi 2.imeisha.........mchele umeisha.
3.Mtoto anaumwa
4.Nguo za sikukuu
5.Mama yangu ( mke) utamjengea lin nyumba

6Nywele nutabadilisha lini 75k 1per 1week??????
hiv hizi sample mnazitoa wap? yan unia,bie hiv hapo hapo utaomba tuachane. yan ashindwe kumjengea baba yako mm ndio niweze
 
Walishakuwaga single! Huwezi mpa experience, alishapita usingle sasa ana ndoa, mnajudanganyaga tu, bado ndoa ni jambo jema, Nina 15 kwenye ndoa, sijawahi kujuta
Mkuu ...vtu gan ambavyo wew unafaidi....alafu sisi hatupati???
 
Uko sahihi afu wanaosema eti ukiwa na ndoa hakuna Gharama eti unamgonga Bure mke Mimi nawapinga coz mke atakaa kimya unamgonga TU ila siku akikutoka anakutoka kirungu Cha kweli..utasikia na shida la laki mbili na ukicheki umechukua mshahara wa millioni utaona acha nimpe mke...ila malaya wa elfu kumi hata ukimla Mara kumi kwamwezi umetumia laki...assume geust NI ghetto lako..halafu akija NI ngono TU kula kila mtu kwao...pia siku nyingine unamgonga then unamkopa unamwelekeza una buku tano
For sure maisha ...yanakuwa simple sana
 
Back
Top Bottom