Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
Unialike?😀
Mm sio mdau wa hayo mambo kheri nife na genye kuliko hayo mambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unialike?😀
Unakufaje na genye mrembo wakati mtoto umeumbika upo sexy, kwanza yule ex wako leo kanichimba biti eti bado mpo pamoja. Ebu niambie ukweli bado mnadate?Unialike?😀
Mm sio mdau wa hayo mambo kheri nife na genye kuliko hayo mambo
Usingle basi tuu uwe wa kipindi kisichozidi miezi sita...zaidi ya hapo ni majanga tuuAmani , Uburu , Ni rahisi kupangilia bajeti kama ni mtu wa malengo , Wako focused , Wengi walio single ni wale ambao walipitishwa ubatizo wa moto na wapenzi wao.. hii inawapa nafasi ya kijijua zaidi na kurelflect what went Wrong kwenye previous relationship .
Wengine wataongezea....
NB :Hakuna mtu anaependa kuwa single kama amekamilika ni hali tu ya kukosa mtu sahihi at right time
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Hata nikirudi saa nane za usku hakuna makelele na mtu. Hata ni lale na viatu fresh tu. Ila nikiugua nauchukia usingleSalaaam magreat thinkers
Leo tukiwa tunaendelea kusononeka baada ya shule kufunguliwa nimewaletea baadhi za faida za kuwa single ( bila kuoa)
1. Tuliosingle tunajiamini, watu waliosingle wanajiamini kila idara kutokana na uzoefu wa kukwepa mitego kadha wa kadha kutoka kwa wadada mfano.....hizi kelele za tozo huwezi kuzisikia kwasisi tulio single
2: Ni wazee wa kuspend, kumwagilia mioyo: ni ngumu mtu aliyesingle kumkuta anajibana kimatumizi always tuna ile kauli ya tumia pesa ikuzoee......lazima tumwagilie moyo
3. Waliosingle ni handsome..that's y ni wagumu kudate ....ili kuepuka kusambaza species zenye mionekano kama yao
Ongezea faida walizo nazo watu waliosingle( only positive )
..............View attachment 2346407
Kuwa single hakuna faida kubwa.Salaaam magreat thinkers
Leo tukiwa tunaendelea kusononeka baada ya shule kufunguliwa nimewaletea baadhi za faida za kuwa single ( bila kuoa)
1. Tuliosingle tunajiamini, watu waliosingle wanajiamini kila idara kutokana na uzoefu wa kukwepa mitego kadha wa kadha kutoka kwa wadada mfano.....hizi kelele za tozo huwezi kuzisikia kwasisi tulio single
2: Ni wazee wa kuspend, kumwagilia mioyo: ni ngumu mtu aliyesingle kumkuta anajibana kimatumizi always tuna ile kauli ya tumia pesa ikuzoee......lazima tumwagilie moyo
3. Waliosingle ni handsome..that's y ni wagumu kudate ....ili kuepuka kusambaza species zenye mionekano kama yao
Ongezea faida walizo nazo watu waliosingle( only positive )
..............View attachment 2346407
Mbna Sina x humuUnakufaje na genye mrembo wakati mtoto umeumbika upo sexy, kwanza yule ex wako leo kanichimba biti eti bado mpo pamoja. Ebu niambie ukweli bado mnadate?
Hamnavitu special lkn Kwa mm navoona ni upweke tu unaweza ukawa unakilakitu ndani unapika lkn ukashindwa kula ukatamni maybe ningekuwa na mtu hapa tuleMkuu.....unadhani waliosingle vitu gan special wanavikosa
Mbona ghafla sana😀marriage is the biggest scam of all time. hongereni sana vijana ambao mmechagua kuwa single. nawaonea wivu sana.
Huwa inatokana na nn kumchoka mwenzio hatua hiyo😂sihami Kwa mama aisee km ndo ivobaada ya mda 'unaichoka' tatizo, unamuona kama dada yako
ndiyo maana ME wa ndoani ndiyo wanaoongoza kwa 'mechi' za nje
raha ya nyama ni kubadili bucha
Sophy trust me sitakuchoka tuyajenge Basi PMHuwa inatokana na nn kumchoka mwenzio hatua hiyo[emoji23]sihami Kwa mama aisee km ndo ivo
Kwangu haijawahi kuwa ghafla...siku zote hayo ndio maoni yangu kuhusu ndoa.Mbona ghafla sana[emoji3]
😂Alafu mwisho unione kama dada aaha ngoja Niendelee kula ugali Kwa bi Mkubwa kwanzaSophy trust me sitakuchoka tuyajenge Basi PM
Salaaam magreat thinkers
Leo tukiwa tunaendelea kusononeka baada ya shule kufunguliwa nimewaletea baadhi za faida za kuwa single ( bila kuoa)
1. Tuliosingle tunajiamini, watu waliosingle wanajiamini kila idara kutokana na uzoefu wa kukwepa mitego kadha wa kadha kutoka kwa wadada mfano.....hizi kelele za tozo huwezi kuzisikia kwasisi tulio single
2: Ni wazee wa kuspend, kumwagilia mioyo: ni ngumu mtu aliyesingle kumkuta anajibana kimatumizi always tuna ile kauli ya tumia pesa ikuzoee......lazima tumwagilie moyo
3. Waliosingle ni handsome..that's y ni wagumu kudate ....ili kuepuka kusambaza species zenye mionekano kama yao
Ongezea faida walizo nazo watu waliosingle( only positive )
..............View attachment 2346407
Am not single my friend 🤣🤣🤣