Taja raha za kuwa single ili wenye ndoa wajifunze

Taja raha za kuwa single ili wenye ndoa wajifunze

unakua huru, unakula mbususu kila aina hakuna kuulizwa

maziwa kedekede yanini kufuga ling'ombe ?
Mkuu.,..asa huoni kuwa aliyefuga ng'ombe ndiye anayefaidi zaidi fresh maziwa
 
Alaf hii hali nakuaga nayo yaani nikiwa idle nawaza kuparuana tu ila nikiwa biz na chenj ipo mfukoni hata ham ya kula sina ni juic tu na upepo baharin sitak fujo
Unakuwa na mawazo ya kibakhresa[emoji23][emoji23]
 
baada ya mda 'unaichoka' tatizo, unamuona kama dada yako
ndiyo maana ME wa ndoani ndiyo wanaoongoza kwa 'mechi' zanje
Inawezekana Kuna ukweli hapa....coz naskia wake za watu....ndio viumbe rahis Sana kuliwa[emoji23][emoji23]
 
Salaaam magreat thinkers

Leo tukiwa tunaendelea kusononeka baada ya shule kufunguliwa nimewaletea baadhi za faida za kuwa single ( bila kuoa)

1. Tuliosingle tunajiamini, watu waliosingle wanajiamini kila idara kutokana na uzoefu wa kukwepa mitego kadha wa kadha kutoka kwa wadada mfano.....hizi kelele za tozo huwezi kuzisikia kwasisi tulio single

2: Ni wazee wa kuspend, kumwagilia mioyo: ni ngumu mtu aliyesingle kumkuta anajibana kimatumizi always tuna ile kauli ya tumia pesa ikuzoee......lazima tumwagilie moyo

3. Waliosingle ni handsome..that's y ni wagumu kudate ....ili kuepuka kusambaza species zenye mionekano kama yao

Ongezea faida walizo nazo watu waliosingle( only positive )
..............View attachment 2346407Najipikia mwenyewe kwa hiyo chakula changu hakina shombo za mikono. Unajua shombo za mikono wewe?
 
Vpi kuhusiana na haya maswali

1Mume wangu, gesi 2.imeisha.........mchele umeisha.
3.Mtoto anaumwa
4.Nguo za sikukuu
5.Mama yangu ( mke) utamjengea lin nyumba

6Nywele nutabadilisha lini 75k 1per 1week??????
Utakuja kuoa kweli mtani?kama hayo maswali tuu unaona mzigo!!...
 
Back
Top Bottom