Taja raha za kuwa single ili wenye ndoa wajifunze

Hamna raha, labda tumsikilize Akinyele na Fvck Me for Free
 
Upike isipike ni tumbo lako tu ,lakininolewe Kila siku unakaribishwa na jiko ni lazima sio ombi.....ipite siku ukapiga ndo Ile unaambiwa uyuwanamke anakiburi....shwain...
Mkuu....sasa kupika kwa wanawake ni nature yenu.....why uone kama ni mzigo????
 
Na bora hata wa zamani sasa hawa university holder .....sijui kama tutafika nao
 
Mkuu .....sasa hapo kidini ni sawa tu na upo single....ila unaendelea kufaidi papuchiiii[emoji23][emoji23]
 
Vp kuhusu wale ambao wameingia ndoani directly......(kulazimishwa)
 
Naona umeandika uzi huku ukiwa umesahau walio na ndoa waliwahi kuwa single...

Uzi wako hauna logic
Vp kuhusu wale ambao wameingia ndoani directly......(kulazimishwa

Bila kufaidi usingle uliokomaa

Kumbuka......hapa tunazungumzia hali ya kuto oa/ kuolewa but hamna ambacho unakosa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…