Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
Afya mgogolo inaruhusuMwanaume unaona raha kuwa single! Aaah [emoji2959][emoji2959]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afya mgogolo inaruhusuMwanaume unaona raha kuwa single! Aaah [emoji2959][emoji2959]
Ukiumwa unatumia njia gani kujiuguza,..???Ukiwa single, ukitaka kwenda Dubai, unaenda unabaki mpaka subuhi
Element Samaki Samaki, unaenda unabaki mpaka asubuhi
Uhuru Peak Point, Jangwani, Sea breeze unaenjoy tu!
Hakuna anayekupangia cha kufanya, kukuhoji, unavaa utakavyo, simu yako inabaki bila password, unakuwa huna hasira za hapa na pale, kabla ya kulala unavuta kimoja au unaelekea kwa wale dada zetu, huongi, ni rahisi kujenga
Yaani ni raha sana...Sasa hivi natokea KWETU PAZURI, nshalewa, naenda kujitupa kitandani mpaka saa 11, hakuna wa kuniuliza
Jamani niko single, Nainjoy... Japo sina kitu, Maisha ndo yale yale
Njoo nikutoe upwekeSingle unakuwa free but very lonely kweli.
Though najitahidi kuwa bize sana but it's so lonely
You can'tNjoo nikutoe upweke
Sasa sii ungesema tuu huwezi...kimombo cha nini tena🤣🤣🤣You can't
Sasa hapo ndio kuna uwanja mpana kwa mtu wa dizain hiyo na anakuwa na sababu zake za kutoka kuoa hadi kurudi kuwa single. Sababu za watu wa aina hii zipo za Msingi, na wengine wanarudi kuwa single bila sababu za msingi sana.Vp wale walioa lkn warudi kuwa single¿?¿
Njia za kuondoa lonelinessSingle unakuwa free but very lonely kweli.
Though najitahidi kuwa bize sana but it's so lonely
🤣🤣🤣🤣 Kakatishana tamaaa tuu.Anaonyesha Msisitizo mkuu [emoji23][emoji23]
Sasa mkuu....wew unaona Bora lipi hapoSasa hapo ndio kuna uwanja mpana kwa mtu wa dizain hiyo na anakuwa na sababu zake za kutoka kuoa hadi kurudi kuwa single. Sababu za watu wa aina hii zipo za Msingi, na wengine wanarudi kuwa single bila sababu za msingi sana.