ruralofficer
JF-Expert Member
- Apr 4, 2014
- 2,494
- 3,630
1.Homeland
2.Power
3.Vikings.
4.Money Heist
5.If loving you is wrong
2.Power
3.Vikings.
4.Money Heist
5.If loving you is wrong
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha tuko pamoja kwenye homeland.Ingawa kifo cha brody kilinihuzunisha mnoHakuna series bora kwangu kama
1.Homeland- mpaka nairudia, nangojea season 08.
2. The excorcist.
Mkuu umemsahau negotiator mwenyewe "Berlin"Nairobi, Helisnk, Tokyo, Moscow hahahaha bila kumsahau Professor the Master mind.
Sikutegemea Brody Afe Ukiangalia Hata Kwenye Series Cover Yupo Pamoja Na Carry.Hahaha tuko pamoja kwenye homeland.Ingawa kifo cha brody kilinihuzunisha mno
Baada ya brody kunyongwa nilikaa kama mwezi hivi kutafuta pozi la kuendelea na next seasons.Sikutegemea Brody Afe Ukiangalia Hata Kwenye Series Cover Yupo Pamoja Na Carry.
Kifo kingine kilichoniuma ni cha yule jamaa aliyejitoa muhanga kumuokoa rais wa USA, akiwa pamoja na carry kwenye ndinga ya Suburban Chevrolet.
Ni kweli mkuu, kumbe uliishia njiani hukumaliza hadi season 07?Baada ya brody kunyongwa nilikaa kama mwezi hivi kutafuta pozi la kuendelea na next seasons.
Ila waarabu wanauwezo mkubwa sana kuigiza with reference to (series ya tyrant)
Yule alicheza movie ya AK 47?Sikutegemea Brody Afe Ukiangalia Hata Kwenye Series Cover Yupo Pamoja Na Carry.
Kifo kingine kilichoniuma ni cha yule jamaa aliyejitoa muhanga kumuokoa rais wa USA, akiwa pamoja na carry kwenye ndinga ya Suburban Chevrolet.
Anaitwa Peter Quinn
View attachment 1104414
Niliendelea yaan nilipoz kwa mudaNi kweli mkuu, kumbe uliishia njiani hukumaliza hadi season 07?
Nasubiria Season 08, Inaelezwa ndio itakuwa ya mwisho, Dah mpaka nipate another gripping spy series of the same it will take me a millennium.Niliendelea yaan nilipoz kwa muda
Mi pia sijaiangalia na sijisikii kuitamani kwa sababu nakuaga na tatizo moja, movie au series ikiwa maarufu Sana kwenye vyombo vya habari na mitandaoni mi nikija kuiangalia najikuta hainivutii kabisa Kama Black Panther niliitafuta kwa nguvu kuiangalia hata sikuimaliza nikaifuta siku hiyo hiyohivi nipo peke yangu au tupo wengi ambao hatujaangalia hata kipande kimoja cha game of thrones ?
Okay,bahati mbaya naangalia online na sijapata site ambayo ina english version.Yeah ipo, mimi nimeangalia ya english mkuu, kwenye VLC kuna option ya lugha pale, ukiclick english language, unakula yai mkuu.
Nitajaribu kuitafuta na kuichek mkuu.Song I gook series zake zote tamuu sana hauchoki angalia tena na tena na tena tofauti k-drama zingine unaweza usitamani rudia maana wanarudiaga mulemule tofauti vimajina vyao tu
Song II gook ni jina halisi la chumongNitajaribu kuitafuta na kuichek mkuu.