Wewe!hebu toa mwiko akili zikujie,akili zimewaganda na mawazo ya kina hamnazo,timu ya wananchi,wananchi gani wanaokaribia miaka 30 bila kufika makundi CACCL?NYINYI mpaka mtoe mwiko muweke pembeni bila kusahau mdako,rede,mwenge na madonga kwenye nembo yenu ndipo angalau akili zitakaa sawaMakolo Wana sifa ya kulalamika
Yalivo mbumbumbu yanasahau mapema
Akili utazitoa wapi na pale utopoloni wapo wawili tu wenye akili,YEBO YEBO KUINGIA TU MAKUNDI MTIHANI,subiri uletewe wwMakubwa yapi mkuu.....kombe gani la CAF makolo wamechukua????
Hapana, hakuna tofauti kati ya Yanga na ccm😆Mkuu.....naona umechanganya wali, kande, pilau,. Kwenye sahani moja[emoji23][emoji23]
Usipanic mkuu.....toa ushauri kwa MAKOLoWewe!hebu toa mwiko akili zikujie,akili zimewaganda na mawazo ya kina hamnazo,timu ya wananchi,wananchi gani wanaokaribia miaka 30 bila kufika makundi CACCL?NYINYI mpaka mtoe mwiko muweke pembeni bila kusahau mdako,rede,mwenge na madonga kwenye nembo yenu ndipo angalau akili zitakaa sawa
Siasa na mpira .....havijawahi kuwa pamojaHapana, hakuna tofauti kati ya Yanga na ccm[emoji38]
Tunalalamika hatuna maendeleo kwa miaka yote pamoja na kwamba ccm wanashinda kimaghumashi.
Wananchi nao wanashinda kimaghumashi Lakini kimataifa ni sifuri.
Maendeleo hayana maghumashi, na mechi za kimataifa vilevile hazina maghumashi[emoji1]
Halafu fuatilia kama wananchi haibebwi na ccm.
@Labani og wewe ni kituko tuHamia yanga mzee....
Sifa nyingine ya Makolo ni WAPUMBAVU.Ndg Wana JF ...
Utafiti nilioufanya mwaka jana, niligundua mashabiki wa Simba ni sawa na waaumini wa ufufuo na uzima. Huwezi kushindana nao kwa kubishana.
Hizi Ni baadhi ya sifa za makolo
1. Wepesi wa kumtafuta mchawi (3rd part) pale timu Inafanya vibaya, watamtafuta wakumuwajibisha fasta.....mfano one day tutashuhudia yule CEO akiitisha press ya kumtimua Mwamedi[emoji23]
2. Waongeaji na wanakele Sana that's y wakifungwa unaweza kuta jiji limetulia
3. Wana too much expectations than uwezo walionao ( dharau na viburi)
Sifa za wananchi
1. Wavumilivu, hata timu ifanye vibaya watajipa muda kwaajili ya kuruhusu kufanya mabadiliko. Mfano issue ya prof. Nabi bado anaungwa mkono ingawa timu haikufanya vzr
Je! Unazifahamu sifa zipi za mashabiki wa Simba ( makolo)View attachment 2401039
[emoji23][emoji23]Yanga,gongowazi,yeboyebo,utopolo,nyani fc,kinyes fc,wabingwa wa somo la hadith,visasili na hekaya za kufikirika kwamba ni siku timu ya gongowaz itafika hata makundi ya vilabu vizee visivyo na malengo tofauti na kuifunga simba tu