Taja sifa za mashabiki wa Simba ( MAKOLo)

Makolo Wana sifa ya kulalamika
Yalivo mbumbumbu yanasahau mapema
Wewe!hebu toa mwiko akili zikujie,akili zimewaganda na mawazo ya kina hamnazo,timu ya wananchi,wananchi gani wanaokaribia miaka 30 bila kufika makundi CACCL?NYINYI mpaka mtoe mwiko muweke pembeni bila kusahau mdako,rede,mwenge na madonga kwenye nembo yenu ndipo angalau akili zitakaa sawa
 
Mkuu.....naona umechanganya wali, kande, pilau,. Kwenye sahani moja[emoji23][emoji23]
Hapana, hakuna tofauti kati ya Yanga na ccm😆

Tunalalamika hatuna maendeleo kwa miaka yote pamoja na kwamba ccm wanashinda kimaghumashi.

Wananchi nao wanashinda kimaghumashi Lakini kimataifa ni sifuri.

Maendeleo hayana maghumashi, na mechi za kimataifa vilevile hazina maghumashi😄

Halafu fuatilia kama wananchi haibebwi na ccm.
 
Usipanic mkuu.....toa ushauri kwa MAKOLo
 
Akili utazitoa wapi na pale utopoloni wapo wawili tu wenye akili,YEBO YEBO KUINGIA TU MAKUNDI MTIHANI,subiri uletewe ww
Kombe la shirikisho lazima litue bongo
 
Siasa na mpira .....havijawahi kuwa pamoja
 
Yanga,gongowazi,yeboyebo,utopolo,nyani fc,kinyes fc,wabingwa wa somo la hadith,visasili na hekaya za kufikirika kwamba ni siku timu ya gongowaz itafika hata makundi ya vilabu vizee visivyo na malengo tofauti na kuifunga simba tu
 
Sifa nyingine ya Makolo ni WAPUMBAVU.
 
Yanga,gongowazi,yeboyebo,utopolo,nyani fc,kinyes fc,wabingwa wa somo la hadith,visasili na hekaya za kufikirika kwamba ni siku timu ya gongowaz itafika hata makundi ya vilabu vizee visivyo na malengo tofauti na kuifunga simba tu
[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…