mankachara
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 6,152
- 3,473
Samsung A7 2018
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chuma kamili hicho....
nna uhakika mwaka 2050 kuna vitoto vitakuwa vinacheza kuchimbachimba chini vitaikuta hyo simu ikiwa bado na chaji jiwe mbili [emoji23]View attachment 1042318
Sent using Jamii Forums mobile app
Ya hovyo sana, nilikuwa nayo 2013 ilinizingua, haikubali huduma zote za (* service), mfano, mpesa, tigo pesa! Pia huwezi kupakua app kutoka nje ya "market place" yake km android. Yenyewe inatumia windows!Hivi wenzangu mshatumia Lumia800!?
Mkuu utawapanikisha vijana,hawajui mambo ya contract haya.Samsung S series zote nimetumia kasoro S10 ndo naisubiri... kwa upande wa iPhone nimeipenda iPhone XS na ndiyo naitumia...
All the time nimekua fan wa two brands Samsung na IPhone na hutumia models zote Za kila mwaka mfano now nina Samsung S9 plus na iPhone XS...
Uzoefu ni kwamba hazisumbui pia ni value for money.
Tecno L9 plus, ukichaji umechaji, unasahau hata mahali ulipoiweka chaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Urongoo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tekno T 630.ni ya batan lakin you tube fresh,kudownload chochote ni fasta.ila siku hizi hazitengenezwi.Ni za watu wa kipato cha chini.ilikua inauzwa 35,000 hadi 40000
Sent using Jamii Forums mobile app
wewe ndo hujaijua.ntaweka picha hapaUrongoo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi wenzangu mshatumia Lumia800!?
hiyooo t 630Urongoo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ahsante kwa picha
yaaap!hiyo kipindi hicho niko sekondari ndo naaingia nayo jf kwa kubrowse saafi kabisa.baadae nikanunua samsung J2 japo now betri inaanza kuchoka tofauti na zaman.AAhsante kwa picha
Si unatumia ikiwa kwenye chargeryaaap!hiyo kipindi hicho niko sekondari ndo naaingia nayo jf kwa kubrowse saafi kabisa.baadae nikanunua samsung J2 japo now betri inaanza kuchoka tofauti na zaman.
Sent using Jamii Forums mobile app
nilikuwa nafanya hivo mwanzo maana material mengi ya chuo yalikuwa kwenye simu.baadae nikaambiwa nikaacha lakin tayari betri liliathirika.hapa natafuta namna ya kunua betri nyingine tu.Si unatumia ikiwa kwenye charge