Diason David
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 7,557
- 7,367
Nenda kwa wahindinilikuwa nafanya hivo mwanzo maana material mengi ya chuo yalikuwa kwenye simu.baadae nikaambiwa nikaacha lakin tayari betri liliathirika.hapa natafuta namna ya kunua betri nyingine tu.
Sent using Jamii Forums mobile app