Taja tabia yako/mazoea yako fulani hivi ambayo huyapendi na unasumbuka kuiacha/kuyaacha please don't be shy someone might give you a solution here

Taja tabia yako/mazoea yako fulani hivi ambayo huyapendi na unasumbuka kuiacha/kuyaacha please don't be shy someone might give you a solution here

Wakuu bado napambana nishinde hii tabia ya kuonea huruma wanawake. Ukiachilia mbali wapenzi wanaonipiga vizinga ila kuna hawa single maza huwa wakiniambia shida zao najikuta tu nimesaidia. Nimejitahidi kuwa mgumu lakini naona ni kama vile kitu kipo damuni. Au nifungue charity organisation?
Mungu kakutuma wewe,hongera,

Mwanangu anathema anaomba chipsi[emoji23]
 
Mie dada wa kazi hata nimfokee hachukulii serious 🤣🤣🤣 Nikitaka nimseme serious hadi nialike watu wenye heshima zao🤣🤣🤣
Hapa nipo mbali naye atanikusanyia matukio yote ya home. 🤣🤣🤣
Dada mmbea sijaona!!!🙌
Na ndo anayeniharibu na content zake
 
Kama bandiko linavyojieleza sisi km binadamu tunatabia binafsi au mazoea fulani ambayo sisi wenyewe hatupendezewi nayo sasa huu uzi ni wa kila mtu kutaja tabia au mazoea yk ambayo unatamani uachane nayo ila imekuwa ngumu sana.

Tafadhali kuwa muwazi huwezi jua ukasaidiwa kupitia hapahapa jamii forum

Nianze na mm mimi, 'ninatabia fulani ya kukaa upweke yaani muda mwingi natamani kuwa peke yangu peke yangu mahusiano yangu mengi yanafeli sababu ya hii tabia yangu sijui itaachana nayo vipi'...?
Aisee nainjoi kuwa pekeangu lakn kiukwel nakwama mambo mengi pia
 
H
Mwepesi kulia mimi na sipendi ila ndo ivo tena. Af hii topic ni kama ishawahi letwa hapa. Jambo dogo tu hua linanifanya nilie. Zamani kidogo ilikua hata nikitafuta kitu nisipokiona ntalia.(wakati nikiwa mdogo ndo ilikua balaa) nkianza kutafuta hadi chozi litatoka. Lingine kutokua serious sana kwenye mambo mbalimbali. Kila kitu nachukulia simple hata jambo lenye kuhitaji umakini sana. Sijui hapa natokaje. Hasa kulia jana tu hapa nimelia.
Ii tabia nzur sana akiws nayo mtoto wa kike
 
Mie dada wa kazi hata nimfokee hachukulii serious 🤣🤣🤣 Nikitaka nimseme serious hadi nialike watu wenye heshima zao🤣🤣🤣
Inamaana wewe ni mpole sana..
 
Tabia yangu nikumuahidi mtu jambo nisiloweza kulitimiza,tena naweza kumuahidi kwakusisitizi hii tabia imekuwa sugu mno saana kwangu

Huwa najipanga kuiacha lakini najipata nashindwa kabisa
kitu ambacho najuwa kabisa siwezi ila naweza nikakuahidi
watu wangu wa karibu wananilakamikia saana kuhusu hii tabia ila kwangu imekuwa ngumu kuiepuka

Hahahaah kama ya chama letu. Wewe unafaa sana kwenye sihasa [emoji23]
 
Utani na masihara, mtu anaweza kunitongoza asijue km nimemkubali au nimemkataa. Nishatukanwa na men wengi baada ya kugundua simaanishi kile nilichowakubalia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Niko hivo sipendi kununa, unaweza kukasirika me nikawa nacheka SITUNZI HASIRA

Bila shaka ushaliwa kimasihara pia. Hili halina ubisha kwa watu wa kariba yako. Nasubiria uthibitisho [emoji23]
 
Bila shaka ushaliwa kimasihara pia. Hili halina ubisha kwa watu wa kariba yako. Nasubiria uthibitisho [emoji23]
Kimasihara sijawahi always nakua mbele ya muda, nikishaisoma akili yako na unachokiwaza nakuchana makavu huku nakucheka. Halafu na magonjwa yaliyojaa nifanye michezo ya walevi kweli?!!
 
Back
Top Bottom