King 999
JF-Expert Member
- Aug 15, 2019
- 5,872
- 8,374
Tule tuvidudu tunaitwa "NDENGELA"Kunyonyesha tuvidudu tunatoelea mtoni unakuwa na manyonyo makubwa kama Mdada,kumbe uvimbe ule unatokana na sumu ya kung'atwa.ukilala ukaamka huna matiti tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tule tuvidudu tunaitwa "NDENGELA"Kunyonyesha tuvidudu tunatoelea mtoni unakuwa na manyonyo makubwa kama Mdada,kumbe uvimbe ule unatokana na sumu ya kung'atwa.ukilala ukaamka huna matiti tena
😂😂😂Tule tuvidudu tunaitwa "NDENGELA"
Kama ulipitwa ni wewe, channel e ya south africa ilikuwa ikifika saa 7, saa za east africa wanaanza kuonesha sinema za ngono.Mimi sitosahau nilivyoambiwa mkiwa na dish la TV nyumbani kwenu basi mtaona sinema za X kwani huko Ulaya hivyo ni vitu vya kawaida sana, yaani baba, mama na watoto mnakaa sebuleni kuangalia watu wakinyanduana
TV channel hiyo ilikuwa inaitwaje?Kama ulipitwa ni wewe, channel e ya south africa ilikuwa ikifika saa 7, saa za east africa wanaanza kuonesha sinema za ngono.
Ukute kwenu mlikuwa hamna hiyo channel
Ilikuwa inaitwa channel e ipo South Africa, ilikuwa inapatikana kwenye madish makubwa yale ya fta, katika lnb ya ku kale kadogo. Zamani nilikuwa nikifunga madish haya makubwa ya fta ya futi 6 na futi 8 yale ya nyavu, yalikuwa yakitumia decorder za fta. Ilikuwa channel za bongo unazipata kwenye lnb kubwa then anayetaka hiyo vhannel e unamuwekea lnb ndogo unapata hiyo channel na wengi walikuwa wakipenda hiyo channel kwa sababu usiku kuanzia saa 7 wanaweka movie zenye maudhui ya ngono.TV channel hiyo ilikuwa inaitwaje?
Kumbe moviesusiku kuanzia saa 7 wanaweka movie zenye maudhui ya ngono