Tetesi: Tajiri Alietekwa Anajiandaa Kueleza Dunia Kila Kitu, waandishi Kuitwa Muda wowote sasa

Samahani wewe ni timu wahuni au timu kiroboto?
 
Funguka bro unatuacha hewani
 
tajiri mwenye mlio wa Ng’ombe
Ukishamsikia Ngómbe analia
Mooooooooooooo,
Mooooooooooooo,
Mooooooooooo
"akanyanyua mkia juu, ndugu yangu kimbia!!!!!.....
naomba kuwasilisha
 
Sawa na wengine wote wajitokeze.
Ila Roma wanasema walimfanya kitu kitu kibaya hawezi kusimulia
 
361 Kuna bar pale.
Ebu funguka kidogo acha uoga
 
Hii code imekuwa ngumu mnoo kwangu kuiUnlock mwenye supportive documents tafadhali
 
Hizi ndio habari tunazopenda kusikia na kukaa gizani
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Lusinde una vituko kuanzia bungeni mpk hapa JF
Hahaa kweli wewe nyumbu. Mmepigwa chenga ya mwili mmejaa kila kukicha kumsakama magufuli the dead ambae hana madhara tena kwenu. Kama ccm sio mfumo mbona kila kiongizi akija analinda maslahi ya ccm na sio taifa? Unaakili kwenye masabuli ama?
 

Mooooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…