Sio story za wahuni anaowazungumzia kirobotohizi ni stori za bavicha za vijiweni !![emoji28]., bavicha sijui lini oblangata zenu zitajazwa na akili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio story za wahuni anaowazungumzia kirobotohizi ni stori za bavicha za vijiweni !![emoji28]., bavicha sijui lini oblangata zenu zitajazwa na akili.
Samahani wewe ni timu wahuni au timu kiroboto?Yani bavicha wananishangaza sana. Jamani adui yenu ni ccm hawa viongozi ni muda tuu. Magufuli is gone but ccm is still kuwafirigisha. Kuweni na agenda inayoeleweka. Ccm wanawajaza upepo kidogo kwa gia ya kuwa na mpasuko mnajaa, mnasahau agenda ya katiba mpya.
Funguka bro unatuacha hewaniHawezi sema kitu, ikitokea akisema basi pembeni lazima akae yule polisi mwenye bar kule chanika, ama huyu mmiliki wa sheli na kiwanja flani hivi cha bata ambacho kipo ndani ya kambi ya magwanda kimkakati kwenye barabara aliyozindua mwendazake kabla hajapewa hekalu!
Mwingira amesababisha mmeharisha damu kweri-kweri !Aaaah wapi, huyo ni mhuni aliyeshughulikiwa kihuni.
Ukishamsikia Ngómbe analiatajiri mwenye mlio wa Ng’ombe
Mooooooo!Eti tajiri mwenye mlio wa ng'ombe 😂😂
361 Kuna bar pale.Hawezi sema kitu, ikitokea akisema basi pembeni lazima akae yule polisi mwenye bar kule chanika, ama huyu mmiliki wa sheli na kiwanja flani hivi cha bata ambacho kipo ndani ya kambi ya magwanda kimkakati kwenye barabara aliyozindua mwendazake kabla hajapewa hekalu!
Huyo hawezi kupanda jukwaani walimfanya vibayaMzimbabwe nae ajiandae
Hii code imekuwa ngumu mnoo kwangu kuiUnlock mwenye supportive documents tafadhaliHawezi sema kitu, ikitokea akisema basi pembeni lazima akae yule polisi mwenye bar kule chanika, ama huyu mmiliki wa sheli na kiwanja flani hivi cha bata ambacho kipo ndani ya kambi ya magwanda kimkakati kwenye barabara aliyozindua mwendazake kabla hajapewa hekalu!
Na alishughulikiwa na Jiwe kweri-kweri yaani[emoji13][emoji13] hatomsahau chuma JPM, atakumbukwa milele na majority of Tanzanians and Africa!Mwingira amesababisha mmeharisha damu kweri-kweri !
Hahaa kweli wewe nyumbu. Mmepigwa chenga ya mwili mmejaa kila kukicha kumsakama magufuli the dead ambae hana madhara tena kwenu. Kama ccm sio mfumo mbona kila kiongizi akija analinda maslahi ya ccm na sio taifa? Unaakili kwenye masabuli ama?
Tajiri atamtaja aliyemvalisha khanga!mbona hamumpeleki mahakamani mpaka sasa??
Mlio wa Ng'ombe - mooooEti tajiri mwenye mlio wa ng'ombe [emoji23][emoji23]
Watu wana maneno sana yaani NYIEEE!!!Eti tajiri mwenye mlio wa ng'ombe [emoji23][emoji23]
Tajiri anayelia kama ng’ombe naye kasema ili nafsi yake iwe huru kuanzia sasa ataanika kila kitu.
Mambo ndio yameanza hivi itajulikana tu mbivu na mbichi.
Ameahidi kutaja waliosuka mpango mzima wa yeye kutekwa, alipopelekwa, walivodai mambo mbalimbali na sababu ya kutekwa.
Kasema hatoacha kitu kwani alikusanya taarifa za kutosha juu ya sakata lake hilo.
Alianza Zitto, kafuata Mwingira sasa atafuata tajiri mwenye mlio wa Ng’ombe hatoficha kitu na dunia lazima ijue hao watu walikua watu wa namna gani.