Tajiri kijana awaponda masikini wanaojadili sakata la bandari

Tajiri kijana awaponda masikini wanaojadili sakata la bandari

Kasiano Muyenzi

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2018
Posts
13,858
Reaction score
22,729
SISI MATAJIRI HATUJASIKIA KUHUSU BANDARI KUUZWA "CHIEF GODLOVE

"Sisi Matajiri Hatujasikia kuhusu Bandari Kuuzwa lakini Kila siku tunasikia Maskini Ohhh Bandari Inauzwa Hivi Mpo serious kweli?'

"Wewe Toka umezaliwa Hujawahi Hata Kununua Gari Hata kuagiza baiskeli au Pikipiki kuipitisha Bandarini unakaa mtaani Unajadili Bandari Ina Uzwa Hivi una Akili kweli Wewe! Badala ya Kwenda kutafuta Pesa Unakaa kijiweni Kujadili Bandari Kwani utakula Bandari?

"Kwani Hiyo Bandari ndio inakuletea Chakula Nyumbani, au kwamba Wewe Huwa unaenda Kuchukua Hela Kila siku Pale Bandarini? Huo muda mnaotumia kujadili kuhusu Bandari si mtoke Mkatafute Hela " Mwanamitandao na Tajiri Kijana Chief Godlove [emoji2788]

1692958936178.jpg
 
SISI MATAJIRI HATUJASIKIA KUHUSU BANDARI KUUZWA "CHIEF GODLOVE

"Sisi Matajiri Hatujasikia kuhusu Bandari Kuuzwa lakini Kila siku tunasikia Maskini Ohhh Bandari Inauzwa Hivi Mpo serious kweli?'

"Wewe Toka umezaliwa Hujawahi Hata Kununua Gari Hata kuagiza baiskeli au Pikipiki kuipitisha Bandarini unakaa mtaani Unajadili Bandari Ina Uzwa Hivi una Akili kweli Wewe! Badala ya Kwenda kutafuta Pesa Unakaa kijiweni Kujadili Bandari Kwani utakula Bandari?

"Kwani Hiyo Bandari ndio inakuletea Chakula Nyumbani, au kwamba Wewe Huwa unaenda Kuchukua Hela Kila siku Pale Bandarini? Huo muda mnaotumia kujadili kuhusu Bandari si mtoke Mkatafute Hela " Mwanamitandao na Tajiri Kijana Chief Godlove [emoji2788]

Kapu moja na akina mwijaku huyu
 
SISI MATAJIRI HATUJASIKIA KUHUSU BANDARI KUUZWA "CHIEF GODLOVE

"Sisi Matajiri Hatujasikia kuhusu Bandari Kuuzwa lakini Kila siku tunasikia Maskini Ohhh Bandari Inauzwa Hivi Mpo serious kweli?'

"Wewe Toka umezaliwa Hujawahi Hata Kununua Gari Hata kuagiza baiskeli au Pikipiki kuipitisha Bandarini unakaa mtaani Unajadili Bandari Ina Uzwa Hivi una Akili kweli Wewe! Badala ya Kwenda kutafuta Pesa Unakaa kijiweni Kujadili Bandari Kwani utakula Bandari?

"Kwani Hiyo Bandari ndio inakuletea Chakula Nyumbani, au kwamba Wewe Huwa unaenda Kuchukua Hela Kila siku Pale Bandarini? Huo muda mnaotumia kujadili kuhusu Bandari si mtoke Mkatafute Hela " Mwanamitandao na Tajiri Kijana Chief Godlove [emoji2788]

Maskini Wana matatizo sana
 
Sidhani kama ana akili za kutosha na sidhani kama anastahili kuwa kwenye kundi linaloitwa la matajiri kwakuwa utajiri huendana na ufahamu na kujielewa.
Matajiri wote Wanaotumia Bandari kuanzia kina Mo Hadi Rostam wanaunga mkono ubinafshwaji ila nyie maskini Sasa 🤣🤣

Utasikia urithi Wetu 😁 😁 maskini wewe unatakiwa uhangaike na Kujikwamua kwanza
 
Back
Top Bottom