Tajiri mzee Bakhressa kama 40% ya wana Yanga SC nchini watasusia kununua bidhaa zako, sisi 60% ya wana Simba SC tutanunua tu

Tajiri mzee Bakhressa kama 40% ya wana Yanga SC nchini watasusia kununua bidhaa zako, sisi 60% ya wana Simba SC tutanunua tu

Tanzania hakuna hamasa yoyote ya kudusia chakula au huduma muhimu iliwahi au itakaa ifanikiwe, iwe imetengenezwa na Wana harakaki, wanasiasa au wanasport.haiwezekani kamwe kwa bongo badala yake Wana I markerk iuze zaidi. NJAA HAINA BAUNSA
 
Hata 100% ya wana yanga wakisusia kununua bidhaa za azam nina uhakika azam haitayumba hata kidogo.
Na ukisusa za azam unakutana na za MO sasa utachagua wewe[emoji1]
 
Unajua awa Matajiri wanajisahau nakuona watu awaelewi michezo wanayo fanya kuhusu utajiri wao. Matajiri wengi nchi hii hawafanyi biashara Halali, wengi ni wakwepa Kodi na ndio base ya utajiri wao Sasa wanakuja kusumbua jamii Kwa pesa zinazotokana na kui ibia jamii.
Awa Matajiri ukiwabana walipe Kodi Halali bila kuwabambikia wengi hawatoboi na biashara zinakufa kifo Cha Mende.
Sanasana watahamisha mitaji kwenda nchi nyingine yenye chupri.
Una maanisha; kumbe hapa nchini kodi halali haimfanyi mfanyabiashara kuendelea! Sasa hapo si ndiyo unawachongea wanaoitoza?
 
Hii mitandao imeaminisha wapumbavu kuwa wana nguvu kubwa kuliko uhalisia.

Utakuta jitu lipo kijiweni linashindilia maandazi ya Bakhressa mixer energy drink huku akiangalia mpira kwenye king'amuzi cha azam halafu anakwambia tugomee kununua bidhaa za Bakhressa.

Mtu anashabikia jambo bila hata kujua hizo bidhaa zenyewe ni zipi.

Kuna ushabiki na upumbavu na kwa hapa kwetu wengi ni majuha wanaojiita mashabiki.
Na bado wanategemea wapate mgao toka azam tv ili kujiendesha.... mashabiki wa yanga bwana😭😭😭 ombeni tuwaazime akili kidogo jaman
 
Yani wasusie kununua ngano na maji ya kunywa. leo umetoa boko
 
Nchi imejaa masikini hawezi kutokea MTU akasusia maandazi ya Azam.


Hakuna masikini WA kususia king'amuzi cha Azam cha bei nafuu akanunue DStv yenye Vifurushi vya bei ghali. Ni raia wachache Sana wenye huo uwezo na huwezi kuwakuta Mtandaoni wanatangaza kususia.

MTU anaishi buguruni Kwa mfuga mbwa anashindia miguu na vichwa vya kuku Kwa ufukara Leo anasema atasusia bidhaa za Azam [emoji1787].. it'sa joke


Hao ni Samaki ndani ya maji , kilio Chao machozi yanafyekwa na maji.
 
Unajua awa Matajiri wanajisahau nakuona watu awaelewi michezo wanayo fanya kuhusu utajiri wao. Matajiri wengi nchi hii hawafanyi biashara Halali, wengi ni wakwepa Kodi na ndio base ya utajiri wao Sasa wanakuja kusumbua jamii Kwa pesa zinazotokana na kui ibia jamii.
Awa Matajiri ukiwabana walipe Kodi Halali bila kuwabambikia wengi hawatoboi na biashara zinakufa kifo Cha Mende.
Sanasana watahamisha mitaji kwenda nchi nyingine yenye chupri.
Kama mmeshindwa kuwashtaki wakina Mwigulu Bakhrresa mtamuweza
 
Na bahati mbaya ninavyojua ni kwamba 99% ya wana Yanga SC ni Choka Mbaya (Masikini) kama mimi tu GENTAMYCINE hivyo hakuna mwenye Ubavu wa kutokununua bidhaa zako zozote kuanzia Maandalizi, Nazi, Juice, Unga, Chapati, Mafuta na kadhalika.

Sasa kwa mfano Wewe Mzee wa Yanga SC na rafiki yangu mkubwa Said Motisha una Ubavu gani wa kuacha kununua bidhaa zozote za Kampuni ya Azam?

Sometimes Watu wa Yanga SC mna Mambo ya Kitoto na Kipuuzi mno. Jirekebisheni tafadhali sawa?

Mnaboa.....!!!!
Kisa mambo ya usajili kwenye mpira! Kama hizi habari ni kweli basi bongo zao zimejaa makamasi
 
Waanze kutoangalia mpira kupitia azam Tv kama wana ubavu.
Sometimes ukishakosa akili unaweza jikuta unatoa kauli mtu akikwambia urudie mara ya pili unaona aibu mwenyewe.
 
Huitaji kugomea biashara zao, kinachotakiwa Kwa mwananchi popote alipo ni kutoa taarifa za ukwepaji wa Kodi ya Serikali Kwa kampuni yoyote ya Azam.
Nina uhakika haitachukua miaka 2 kampuni nyingi kama si zote zitakua zimefilisika.
Wewe kweli ni redio....
 
Huitaji kugomea biashara zao, kinachotakiwa Kwa mwananchi popote alipo ni kutoa taarifa za ukwepaji wa Kodi ya Serikali Kwa kampuni yoyote ya Azam.
Nina uhakika haitachukua miaka 2 kampuni nyingi kama si zote zitakua zimefilisika.
unaripoti wapi unadhani hawajulikani
 
Na bahati mbaya ninavyojua ni kwamba 99% ya wana Yanga SC ni Choka Mbaya (Masikini) kama mimi tu GENTAMYCINE hivyo hakuna mwenye Ubavu wa kutokununua bidhaa zako zozote kuanzia Maandalizi, Nazi, Juice, Unga, Chapati, Mafuta na kadhalika.

Sasa kwa mfano Wewe Mzee wa Yanga SC na rafiki yangu mkubwa Said Motisha una Ubavu gani wa kuacha kununua bidhaa zozote za Kampuni ya Azam?

Sometimes Watu wa Yanga SC mna Mambo ya Kitoto na Kipuuzi mno. Jirekebisheni tafadhali sawa?

Mnaboa.....!!!!
Umesahau yanga ndo inamashabiki wangi
 
Unajua awa Matajiri wanajisahau nakuona watu awaelewi michezo wanayo fanya kuhusu utajiri wao. Matajiri wengi nchi hii hawafanyi biashara Halali, wengi ni wakwepa Kodi na ndio base ya utajiri wao Sasa wanakuja kusumbua jamii Kwa pesa zinazotokana na kui ibia jamii.
Awa Matajiri ukiwabana walipe Kodi Halali bila kuwabambikia wengi hawatoboi na biashara zinakufa kifo Cha Mende.
Sanasana watahamisha mitaji kwenda nchi nyingine yenye chupri.

Lakini si pesa yao wanayotengeneza kwa akili na nguvu zao wewe nini kinakusumbua. Punguza chuki kwa watu usiowajua. Leo ukiambiwa uoneshe ushahidi namna wanavyokwepa kodi utathibitisha vipi.

Acha chuki, heshimu mafanikio ya mtu, furahia maisha yako ulipo
 
Back
Top Bottom