Tajiri wa Kariakoo ajulikanaye kama Primi Mushi kununua na kutapeli nyumba za watu Kariakoo na maeneo mengine nchini yuko nyuma ya nani?

Tajiri wa Kariakoo ajulikanaye kama Primi Mushi kununua na kutapeli nyumba za watu Kariakoo na maeneo mengine nchini yuko nyuma ya nani?

Kuna wakopeshaji wengine wachawi huwa wanaloga mkopaji ili asiweze kulipa wachukue mali zake
WE KAMA UNACHUA NI HELA YA KICHAWI KIHEREHERE GANI KINAKUPEKA KUKOPA. KAA NA UMASKINI WAKO. LAKINI HATA HIVYO HELA KWA WAJINGA NI KAMA UCHAWI MAANA WANAWEHUKA ILA IKIISHA NDO AKILI INAKAA SAWA
 
Primo Mushy ni Mfanya biashara anaetumia akili na ushauri mzuri wa kitaalamu ikiwemo wanasheria. Hawezi fanya ujinga na ndio maana hata kichaa wa kisukuma mwendazake hakumgusa. Acha uchawi mleta mada. Akili maskini huzaa umaskini.
magufuli mkuu alimweka lupango wkt wa jiwe alikuwa mpole kama nn
jiwe alikuwa huko sahihi alivyodeal nao
 
Mimi nmekuelewa mkuu asielewa atakua ni mbwa amekaa paaale[emoji1485]
Duina yote ndio iko hivyo..bila njia hizo huwezi kupata mali..utaendelea kutia huruma huku wenzako wakifurahia maisha.

Suala la sijui motoni sijui peponi ni wewe na imani yako.

Kanuni ya maisha ni watu kula watu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Siku zetu za kuishi ni miaka 70 ikizidi 80,mtu unaiba manyumba ya watu,kana kwamba utaishi nayo milele,mbaya zaidi hata ukija yaacha Kwa laana iliyopo huja kupotea tu Kwa jinsi yoyote,kizazi chako hugeuka cha walevi,Malaya na mabaya yote mwishowe Mali na nyie wote mnaangamia and the all wealth turn O. This is within 60 coming years.
Endelea kujifariji..

#MaendeleoHayanaChama
 
Yaani hii ni dhulma.
Kuna watu washenzi sana.
biashara ya eletronics k/koo wameidominate hawataki kabila lingine kabisa na ukingia wanakufanyia vitina unavilisika
mr uk ==mushi
lampard electronics =frank mushi
homebase =ford shiyo
bravo eletronics mtoto wa mwlimu rafaeli
rising eletronics ==alyoce kimbori
sean biano = mallya
mashariki power na good vision = chuwa
g star eletronics massawe
singsung ===mkibosho nk nk
bruhm ==alyoce shayo
 
alikuwepo kuringe, morio na macha ndio wachagga wamenunua nyumba nyingi kariakoo na kujengesha kwa mikataba ya kitapeli wazair simba wa viwanda na biashara katuita wazawa k/koo diamond jublee kututaka tusiuze nyumba zetu lkn ndugu zangu wazaromo hawakusikia sasa kuna mitaa inaitwa kibosho kariakoo
Mtaa ukiitwa Kibosho inakukera Nini?
Huoni kama wanabidii namikakati ya kuuteka mji?

Je mikakati unaweza kuivunja kwa kulialia?. Hilo jengo analo tuhumiwa kutaperi amejihusishaje nalo kabla ya kulinyakua mojakwamoja?
 
Ukweli uko wazi Mchaga kwenye pesa ana akili kuliko kawaida.

Na ndo kabila lenye kuzagaa nchini na nje ya nchi katika tamaduni za kibiashara.
Tofauti kabisa na Wazaramo na Makabila Mengine.
Penye ukweli tuseme.
Wazaramo na wamanyema miaka nenda rudi si walikuwa na majumba
Huko ya urithi,kwanini hawakutaka kuchukua mikopo benki wasimame wao kama wao!

Ova
 
Safi umegonga msumari wa moyo
Biashara ya kukopesha Tanzania ni kufilisika.
Hata ukimkopesha mtu bila riba na uwezo anao kukurudishia hela yako ni mbinde.
Nadhani ni bora kuwawekea riba kubwa tu.
Kwa sababu hata ukiweka riba ndogo hawakulipi kwa wakati na wanavunja makubaliano.
Mtu anakuja kukopa kwenye kulipa anaanza bibi yangu amefiwa na shangazi yake, atakupa hadithi hatari.
 
mkuu lampard eletronics ni mtoto wa 90
bravo eletronics ni wa 80 mwishon mkuu hawa wapo kwenye vyama hivyo wanakopeshana mitaji na kuonyeshana viwanda huko china

Noma Sana
Hapo dawa Yao ni kuzaa na mabinti zao.

Watu wengi hasa wa kanda ya ziwa wamegundua mbinu hiyo, wengi wanaoa na kuzaa na Wachaga.

Mbinu hiyo itawadhibiti kivyovyote
 
TAJIRI WA KARIAKOO AJULIKANAYE KAMA PRIMI MUSHI KUNUNUA NA KUTAPELI NYUMBA ZA WATU K/KOO NA MAENEO MENGINE NCHIN YUKO NYUMA YA NAN?

Wanabodi kama uzi ulivyokaa hapo juu huyu ni mfanyabiashara wa vitengee karikoo lkn speed yake ya kuwafua watu nyumba K/Koo inatisha yuko nyuma ya nani ?

Kwasasa anamiliki zaidi ghorofa 10 Karikoo na nyumba za chini za kumwaga hapa miezi miwili iliyopita Maulid Kitenge alirusha habar mzee mmoja wa K/Koo akilalamika kutapeliwa ghorofa yenye floor 7 mtaa wa Nyamwezi na Narungombe je ni haki mtu kuchukua ghorofa K/Koo kwa deni la billion 1 je, Mushi yuko juu ya sheria?

Je, nyumba alochukua Kipata na Congo ni haki embu jamani tuangalie sisi wanyonge twende wapi
Mnyonge unamiliki ghorofa floor 7?hivi unawajua wanyonge WEWE?
 
Likes nyingi kuliko likes za mtoa uzi
Screenshot_20220920_111316.jpg
 
Kina mwengine tena somebody kuringe nae naskia ni hivyo hivuo,,
Yaani wabangladesh sijui kwanini ni wezi weziiiii
Wezi tu, matajiri wengi wezi tu
Upo hapa unaimba ”WEZI TU WEZI TU” kwanini usiende kuwakamata au kutoa arifa wakakamatwa?au na wewe ukaibe uwe tajiri kama wao?

Kuwachukia hakukufanyi ufanikiwe tena ndo kutazidi kukufanya uwe maskini.
 
huwez kuchukua nyuma yenye zaid ya dhamani billion 14 kwa billion moja huyu jamaa kapewa stop order na mahakama lkn kadharau na wanaolalamika ni wengi kutapeliwa na huyu jamaa
Kwa nini asiiuze sasa akapata hizo bilioni 14 ili alipe deni la watu?
 
Pole LDA company...and Associate....
..Mna Bahati sana kukutana na Primi..angalau ana utu
..Mngekutana na Tumbo (najua unajua naongea nn) mngejuta
..Mna bahati pia Macha (Hans) amefilisika
..uombe MUNGU sana na kuringe (Masai) kahamia moshi ila kanunua corner bar na unaiona ilivyo...
Ushukuru Mzee Asenga MUNGU Alimchukua (wa King Palace)
Na Ole wenu Mzee Kacheli wa Mti Mmoja angekuwepo

Wewe na wenzio hamuwajui wakibosho....hawa kina primi na kina Kiria ni kizazi cha kistaarabu mno...

Ungekutana na kina mzee Kidumbuyo mallya ungejinyonga...

Hawa kina Beda kileo wanawachekea mnakaa kwa uhuru...

LDA... wewe na mzee wako mngekua mmetangulia mbele za haki...nenda muulize gharib na kaka yake said watakueleza huyo Alex Massawe na msofe Hapo kariakoo walinyanyua mkono...bro...

Unawajua G7? Je unawajua KuDa?

Je ukikutana na kina mama wakina sinyaa wa vipodozi we si utawehuka...

Makoi wa mwika je...wanalipa hela ya clearing na tax 2b kama wanacheza...

Bro hiyo ni premier league....

Lala upumzike mpeni primi 1.7 b mpewe mali yenu,kuna mfipa mmoja pale karibu na city style sinza alirudisha hela akarudishiwa ghorofa lake bro...primi ana nyumba hapa dar hazipungui 250 pale mwenge ghorofa ni lake mikocheni ana ghorofa kama nane....

Bado mna bahati sana...pambaneni nyumba za benki hazina lawama benki zinawaita wenyewe..sijui kwann hakwenda na Tumbo swahiba wake...mngenyooka...pole sana mkuu
Hahaha muache mama yangu sinyaa mama kubwaaa... mamangu amepinda yulee pooh mbaka...
 
alikuwepo jamaa anaitwa kuringe alipoingia magufuli alikimbia kwenda moshi ndio mwenye red stones club huyu p mushi wkt wa magufuli alikuwa kimya alipokufa anapandisha n=magorofa kama matatu kwa pamoja jiwe alikuwa yuko sahihi kuwachukia hawa jamaa
Wewe ni failure... problem is you.

Sasa wakati unakopa hukujua kwamba ukishindwa kulipa dhamana inachukuliwa?

Inaonekana unachuki na wachaga huna lolote. Hao watu unawachafua humu ni wapambanaji na wala sio walipata pesa zao kwa wizi.. mbona wewe usiibe ukawa tajiri??

Wewe ndo una matatizo
 
Hivi hizi Mali wakifa wanaenda nazo au?!!!
Kuna ambae hatafuti mali?

Huyo uliyem-quote muulize yeye anapotoka asubuhi anaenda kutafuta nini?shida yeye ameji-limit akipata hesabu yake aliyoizoea kwa siku kama ni mapema anaenda kunyoosha miguu bar hao anaowasingizia wizi hapa wakifikisha kiwango chao walichozoea wanabaki kwenye game mpaka muda wao waliouzoea wakitoka wanaenda kulala nyumbani bar wanakaa jumapili tu tena kwa masaa.

Na wao hawaweki kikomo ktk utafutaji that's why wanafanikiwa na Mungu anakupa kadiri ya usivyoridhika na kwa juhudi unazofanya ukiridhika na 100,000/= yako wewe utakuwa wa laki kila siku na usiporidhika na million kumi yako kila siku utakuwa wa million kumi ndo maana unaona gap kubwa kati yako na hao watu.
 
Back
Top Bottom