Bitoz Jobiso
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 925
- 1,202
Huna akili mimi nimekaa kkoo na nimefanya biashara kkoo nawajua wauza vitenge wote pamoja ni mushi acha uboya wewe kama umeuza mali ya urithi tulia imeenda hiyoNimekuambia kuwa binti yake ndiyo mtambo wa hela kama huamini sikulazimishi. Ila ukisoma posts za watu kuanzia mwanzo utagundua kuwa analipa hela kati ya saa 12 jioni na usiku. Jiulize kwa nini?
Kama ni juhudi basi jaribu na wewe kama utamfikia
Ule ujumbe uliokuwa pale ukumbini si uliuona lakn jamaa ana watu 😄Ndio huyo mkuu nilikuwepo
SABA ni muungano wa majina ya partners wawili mmoja yuko hai...hao jamaa utajiri wao hapo kariakoo hakuna wa kuwafikia hata nusu,arusha wana ghorofa 3,kariakoo najua zaidi ya 4....mbezi african lile ghorofa kubwa la vioo pembeni lina boa bank lakwaoSema alikuwa mchaga. Ila sasa ni marehemu, COVID-19 ilipita naye kizembe mwaka 2021
Mazalau , wahuni lazima pindisha , siko apa nikutake nikusaidie maa hata mie sikusaidiwa na mtu , mazalau ipo siku mtajutaNaomba niulize nikiweka nyumba collateral bank naruhusiwa kuiuza niwalipe bank ? Na kilichobaki nibaki nacho. Dunia imevaa kimini mjinga ndio mtaji wa mwenye mali.
Kwenye upuuzi kama huu unahtaji akili gan. Mi huyo hao watu unaowasema nimekuwa nao kwenye biashara hapo kkoo Zaid ya miaka 30. Hakuna hata njembe ya ukweli ulichosema. Japo najua kuwa tajiri kwa TZ ujiandae kupewa jina lolote kutoka kwa wavivu.Huna akili
Jiran wapi nikukamate.Wewe si umamuona kwenye biashara zake Kariakoo, sasa tunakujuza sisi tunaoishi jirani yake
Huyu ni mnywaji Konyagi mwenzangu......si muumini wa dini za kuletewa na kumfanya mtu kuwa mjinga.Unatumia kinywaji gani?? Umetoa kitu kizuri ambacho wajinga hawawezi kukuelewa
Kwenye upuuzi kama huu unahtaji akili gan. Mi huyo hao watu unaowasema nimekuwa nao kwenye biashara hapo kkoo Zaid ya miaka 30. Hakuna hata njembe ya ukweli ulichosema. Japo najua kuwa tajiri kwa TZ ujiandae kupewa jina lolote kutoka kwa wavivu.
Nilikua namjibu huihui2Kwenye upuuzi kama huu unahtaji akili gan. Mi huyo hao watu unaowasema nimekuwa nao kwenye biashara hapo kkoo Zaid ya miaka 30. Hakuna hata njembe ya ukweli ulichosema. Japo najua kuwa tajiri kwa TZ ujiandae kupewa jina lolote kutoka kwa wavivu.
Huyu ni mnywaji Konyagi mwenzangu......si muumini wa dini za kuletewa na kumfanya mtu kuwa mjinga.
A
Asante sana dada yangu yaani nilitaka nikae kimya lakini sikutaka watu waangamie kwa kukosa maarifa.
Sorry bossNilikua namjibu huihui2
Ngoja nipate pesa kwanza nitakuja kujisalimisha huko mbeleni[emoji848]Mambo haya huishia mpaka damu ya mtu au watu imwagike.
Mmesahau ya kina Ndama ana AM?
AM sasa katubu, kajisalimisha kwa Muumba wake:
Alex Massawe abadili dini na kusilimu
Alex Massawe, mtu maarufu sana Tanzania, ameamua kusilimu baada ya kuyafahamu mema ya Uislam kupitia kwa mwanawe ambae alikuwa Amesilim kabla yake huko nchini Afrika Kusini. Allahu Akbar.www.jamiiforums.com
Taarifa yako haijitoshelezi sie kuchangiaTajiri wa Kariakoo ajulikanaye kama Primi Mushi kununua na kutapeli nyumba za watu K/koo na maeneo mengine nchin yuko nyuma ya nan?
Wanabodi kama uzi ulivyokaa hapo juu huyu ni mfanyabiashara wa vitengee Karikoo lkn speed yake ya kuwafua watu nyumba K/Koo inatisha yuko nyuma ya nani?
Kwasasa anamiliki zaidi ghorofa 10 Karikoo na nyumba za chini za kumwaga hapa miezi miwili iliyopita Maulid Kitenge alirusha habar mzee mmoja wa K/Koo akilalamika kutapeliwa ghorofa yenye floor 7 mtaa wa Nyamwezi na Narungombe je ni haki mtu kuchukua ghorofa K/Koo kwa deni la billion 1 je, Mushi yuko juu ya sheria?
Je, nyumba alochukua Kipata na Congo ni haki embu jamani tuangalie sisi wanyonge twende wapi
Umesahau na Mpepo Bar hii ilikuwa pale mtaa wa Nyamwezi na Donge hapo ilipo Cathe Hotel.massawe tumbo anajenga gorofa kwenye kiwanja cha mjane likoma na masasi bila ruhusa ya mahakama na fremu zote zmeshakuliwa bila nyumba kuisha halafu usema unajua kutafuta
alemuzia emma nyumba alimuambia akijenga gorofa asiweke bar na kamari lkn kawapangisha cleoptra casino na galsport
kabla wachagga k/koo walikuwa wanaishi wastraabu hakuna bar wala makari lkn nyumba zao zote zin bar na kamari bar ya kwanza ilijegwa na mchagga hugo kisima mtaaa livingstone zikikaja frontline bar new vunjo nk nk na sasa emmma ndio dealer wa bia na pombe kali wilaya yote ya ilala na fursa hii wameitumia baada ya wapemba na waarabu kukataa makubuni ya betting kupangisha nyumba zao so ya makapuni ya na tafuta nyumba za wachagga kkoo
Em acha mambo yako mzee!Hii dawa yakumkopesha mtu ili ukichukue alichoweka zamana ninayo.
Unamfananisha na Makoi wa mwika na nkomiloNisimjue yule mtu kibushuti mweusi!
Mzee Hugo Kissima ni tajiri tokea ujana wake..ndio mwenye safari Jewellers,Safari Resort kimara tokea miaka ya sabini ndio mwenye Hugoz Moshi Mjini...Yule mzee ni Mkax na ana hela balaaUmesahau na Mpepo Bar hii ilikuwa pale mtaa wa Nyamwezi na Donge hapo ilipo Cathe Hotel.
Lakini DDC Kariakoo nayo si ilikuwa Bar?mbona hujaitaja au kwa sababu ilimilikiwa na umma ninyi mkiwepo?