ki2c
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 7,719
- 14,506
Warejee kwenye mkataba.Poleni Sana.
Mmeshamaliza shida zenu sasa mnataka nimpe shida aliyewasaidia mkopo.😀😀
Bakini kwenye Mkataba wenu.
Kama anakiuka mkataba Basi ni Tapeli kama hakiuki basi Acha achue hata magorofa yote nchi nzima Kwa watu wajinga