Tajiri wa Kariakoo ajulikanaye kama Primi Mushi kununua na kutapeli nyumba za watu Kariakoo na maeneo mengine nchini yuko nyuma ya nani?

Tajiri wa Kariakoo ajulikanaye kama Primi Mushi kununua na kutapeli nyumba za watu Kariakoo na maeneo mengine nchini yuko nyuma ya nani?

Wengi wanamadawa hao hizo Dili alikuwa nao Babu Sombeki wa Pale Moshi. Hata akikukopesha shilingi 1000 hutaweza rudisha hadi achukue Mali zako. Mungu atusaidie kwa kweli.
Kwa nini mkope pesa nyingi hivyo kwa MTU binafsi c muende bank ,
Dawa ya deni siku zote hua ni kulipa

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 

Dar es Salaam-based multimillionaire Hans Macha gains $1.5 million from stake in CRDB Bank​

Hans Macha.
Tanzania’s leading banking group, CRDB Bank Plc, has returned impressive gains to shareholders and proved to be one of the best performing stocks on the Dar es Salaam Stock Exchange.

Among these fortunate shareholders are the renowned Rajabali brothers and Hans Macha, a reclusive businessman who owns a stakes in the lender worth more than $5 million.

According to data obtained by Billionaires.Africa, Macha, who owns a fractional 1.25-percent stake in the bank, has seen the market value of his shareholding rise by Tsh3.6 billion ($1.55 million) since the start of 2022 due to a double-digit increase in the CRDB share price on the bourse.

Shares in the Tanzanian banking group were trading at Tsh390 ($0.167) as of press time, unchanged from their opening price at the start of trading, as investors continue to closely monitor macroeconomic data and market-wide sentiment on the Dar es Salaam Stock Exchange.

CRDB shares have risen 39.3 percent since the beginning of the year, from Tsh280 ($0.121) per share on Dec. 31 to Tsh390 ($0.167) at the time of writing.

The increase in the bank’s valuation can be attributed to investor reactions to the bank’s stellar performance in the first quarter of 2022, when profit exceeded Tsh90 billion ($38 million).

The market value of Macha’s 1.25-percent stake in the bank has increased by Tsh3.6 billion ($1.55 million) as a result of the surge in the bank’s share price, from Tsh9.17 billion ($3.93 million) at the start of the year to Tsh12.78 billion ($5.48 million) at the time of writing this report.

The increase in the market value of his shareholding solidifies Macha’s position as one of the Dar es Salaam Stock Exchange’s wealthiest investors. His equity positions in publicly traded companies also include a two-percent stake in Maendeleo Bank, a leading financial institution in Tanzania that provides banking products and services to micro, small, and medium-sized business owners.
 
TAJIRI WA KARIAKOO AJULIKANAYE KAMA PRIMI MUSHI KUNUNUA NA KUTAPELI NYUMBA ZA WATU K/KOO NA MAENEO MENGINE NCHIN YUKO NYUMA YA NAN?

Wanabodi kama uzi ulivyokaa hapo juu huyu ni mfanyabiashara wa vitengee karikoo lkn speed yake ya kuwafua watu nyumba K/Koo inatisha yuko nyuma ya nani ?

Kwasasa anamiliki zaidi ghorofa 10 Karikoo na nyumba za chini za kumwaga hapa miezi miwili iliyopita Maulid Kitenge alirusha habar mzee mmoja wa K/Koo akilalamika kutapeliwa ghorofa yenye floor 7 mtaa wa Nyamwezi na Narungombe je ni haki mtu kuchukua ghorofa K/Koo kwa deni la billion 1 je, Mushi yuko juu ya sheria?

Je, nyumba alochukua Kipata na Congo ni haki embu jamani tuangalie sisi wanyonge twende wapi
Habari imekaa kimajungu, haina facts ina umbea tu
 
TAJIRI WA KARIAKOO AJULIKANAYE KAMA PRIMI MUSHI KUNUNUA NA KUTAPELI NYUMBA ZA WATU K/KOO NA MAENEO MENGINE NCHIN YUKO NYUMA YA NAN?

Wanabodi kama uzi ulivyokaa hapo juu huyu ni mfanyabiashara wa vitengee karikoo lkn speed yake ya kuwafua watu nyumba K/Koo inatisha yuko nyuma ya nani ?

Kwasasa anamiliki zaidi ghorofa 10 Karikoo na nyumba za chini za kumwaga hapa miezi miwili iliyopita Maulid Kitenge alirusha habar mzee mmoja wa K/Koo akilalamika kutapeliwa ghorofa yenye floor 7 mtaa wa Nyamwezi na Narungombe je ni haki mtu kuchukua ghorofa K/Koo kwa deni la billion 1 je, Mushi yuko juu ya sheria?

Je, nyumba alochukua Kipata na Congo ni haki embu jamani tuangalie sisi wanyonge twende wapi
Kama kesi haijaenda MAHAKAMANI au imeshaenda MAHAKAMANI nitakusaidia kupitia mkuuu!!!!Tuwasiliane ndugu yangu
 
Dawa ya deni kulipa kama ulimkopa lazma ulipe

Hivi inaingiaje akilini mtu aje tu buana jengo hilo kuanzia sasa langu? Na anapataje nyaraka?
Matapeli wengine nyaraka wanazichomoa Bank ki Mchongo na watu wa Bank wasio waaminifu na kuwapa matapeli kwa ujira mdogo sana,hasa hii inatokea mwenye Mali anapofariki!!
 
Pole LDA company...and Associate....
..Mna Bahati sana kukutana na Primi..angalau ana utu
..Mngekutana na Tumbo (najua unajua naongea nn) mngejuta
..Mna bahati pia Macha (Hans) amefilisika
..uombe MUNGU sana na kuringe (Masai) kahamia moshi ila kanunua corner bar na unaiona ilivyo...
Ushukuru Mzee Asenga MUNGU Alimchukua (wa King Palace)
Na Ole wenu Mzee Kacheli wa Mti Mmoja angekuwepo

Wewe na wenzio hamuwajui wakibosho....hawa kina primi na kina Kiria ni kizazi cha kistaarabu mno...

Ungekutana na kina mzee Kidumbuyo mallya ungejinyonga...

Hawa kina Beda kileo wanawachekea mnakaa kwa uhuru...

LDA... wewe na mzee wako mngekua mmetangulia mbele za haki...nenda muulize gharib na kaka yake said watakueleza huyo Alex Massawe na msofe Hapo kariakoo walinyanyua mkono...bro...

Unawajua G7? Je unawajua KuDa?

Je ukikutana na kina mama wakina sinyaa wa vipodozi we si utawehuka...

Makoi wa mwika je...wanalipa hela ya clearing na tax 2b kama wanacheza...

Bro hiyo ni premier league....

Lala upumzike mpeni primi 1.7 b mpewe mali yenu,kuna mfipa mmoja pale karibu na city style sinza alirudisha hela akarudishiwa ghorofa lake bro...primi ana nyumba hapa dar hazipungui 250 pale mwenge ghorofa ni lake mikocheni ana ghorofa kama nane....

Bado mna bahati sana...pambaneni nyumba za benki hazina lawama benki zinawaita wenyewe..sijui kwann hakwenda na Tumbo swahiba wake...mngenyooka...pole sana mkuu
Hao G7 inaonyesha ni hatari
 
Pole LDA company...and Associate....
..Mna Bahati sana kukutana na Primi..angalau ana utu
..Mngekutana na Tumbo (najua unajua naongea nn) mngejuta
..Mna bahati pia Macha (Hans) amefilisika
..uombe MUNGU sana na kuringe (Masai) kahamia moshi ila kanunua corner bar na unaiona ilivyo...
Ushukuru Mzee Asenga MUNGU Alimchukua (wa King Palace)
Na Ole wenu Mzee Kacheli wa Mti Mmoja angekuwepo

Wewe na wenzio hamuwajui wakibosho....hawa kina primi na kina Kiria ni kizazi cha kistaarabu mno...

Ungekutana na kina mzee Kidumbuyo mallya ungejinyonga...

Hawa kina Beda kileo wanawachekea mnakaa kwa uhuru...

LDA... wewe na mzee wako mngekua mmetangulia mbele za haki...nenda muulize gharib na kaka yake said watakueleza huyo Alex Massawe na msofe Hapo kariakoo walinyanyua mkono...bro...

Unawajua G7? Je unawajua KuDa?

Je ukikutana na kina mama wakina sinyaa wa vipodozi we si utawehuka...

Makoi wa mwika je...wanalipa hela ya clearing na tax 2b kama wanacheza...

Bro hiyo ni premier league....

Lala upumzike mpeni primi 1.7 b mpewe mali yenu,kuna mfipa mmoja pale karibu na city style sinza alirudisha hela akarudishiwa ghorofa lake bro...primi ana nyumba hapa dar hazipungui 250 pale mwenge ghorofa ni lake mikocheni ana ghorofa kama nane....

Bado mna bahati sana...pambaneni nyumba za benki hazina lawama benki zinawaita wenyewe..sijui kwann hakwenda na Tumbo swahiba wake...mngenyooka...pole sana mkuu
Manyumba yote hayo hayana maana. Kwa nini ameamua kudhulumu kibanda cha biashara Mbezi Makonde karibu na Police Post? Ninashawishika kuamini kuwa Kuringe utajiri wake ni USHIRIKINA kwa kuwa hata yeye hana raha na mafedha yote aliyonayo
 
Ogopa ujinga na njaa/shida
Wanasema shida haina adabu.

Unaweza uza Gari la million 50 Kwa bei ya milioni 10 kisa shida.

Mtoa mada inaonekana walikabiliwa na shida Fulani sasa wakawa wanahitaji pesa za haraka
Mungu akawasaidia kukutana na Mushi, wakachekeana na kumshukuru alivyowapa mkopo😀😀 wakaandikishana na kuekeana mkataba, wakasema haina shida 😂😂 tutajulia mbele Huko ilimdi shida yetu Kwa sasa imepata Sawa.
Unaambiwa walimshukuru Sana huyo Mushi.
Licha ya mushi kuwaambia na kusisitiza mmesoma vizuri mkataba, wakasema ndio.

Muda wa marejesho😂😂😂
Mushi mbaya
Mushi Tapeli
Mushi arudi kwao Moshi😀
Primu Mushi ana utajiri wa majini tu. Ndiyo maana mwanaye mmoja wa kike ni zombie
 
Mambo haya huishia mpaka damu ya mtu au watu imwagike.

Mmesahau ya kina Ndama ana AM?

AM sasa katubu, kajisalimisha kwa Muumba wake:

 
Tatizo mnakopa, mnaweka rehani hati zenu kwa makubaliano msipolipa linachukuliwa...

Hakuna atayekusaidia hapa, kama umeonewa nenda mahakamani
Baadhi ya watanzania ni wajinga sana wakiona mtu anasonga mbele kutajirika heti yuko nyuma ya nani?kweli wanaenda wenyewe kukopa na kuweka hati hizo pesa wanatumbua mala mjengo unaenda watu wanashidwa kufahamu nguvu ya kiuchumi waliyonayo wachaka kwa tz hii kwa wabatu hakuna kabila linalo tia mguu
 
huwez kuchukua nyuma yenye zaid ya dhamani billion 14 kwa billion moja huyu jamaa kapewa stop order na mahakama lkn kadharau na wanaolalamika ni wengi kutapeliwa na huyu jamaa
Wapumbavu tangu lini masikini akashinda na tajiri?walie tu
 
Kwanini sasa nyie wenye nyumba mnaweka nyumba ya billion 14 kwenye mkopo wa billion 1 ambayo pia mnashindwa kuilipa??
Baadhi ya wamiliki wa majengo kariakoo walilithi hawa jui thamani ya pesa wala nyumba nyumba nyingi za familia wanakopa wanaanza biashara wakidhani biashara kila mtu anaweza
 
Back
Top Bottom