Tajiri wa Machame Safari, Clemence Mbowe akiona cha moto

Tajiri wa Machame Safari, Clemence Mbowe akiona cha moto

Fred Mwakitundu

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
227
Reaction score
382
Mfanyabiashara Maarufu Clemence Mbowe anayemiliki mabasi ya Machame Safari amepata pigo baada ya mahakama kuamuru alipe shilingi Milioni 20 kama fidia kutokana na kuvamia eneo lisilo lake na kuanza ujenzi wa kituo cha mafuta kwa wamiliki halali wa eneo hilo David Kimambo na Donald Kimambo huku mahakama hiyo ikifuta hati ya umiliki wa viwanja vitatu alivyokuwa anavyovimiliki katika eneo hilo lililopo Kiboriloni Moshi.

Msingi wa kufutwa kwa hati hizo ni baada ya kubainika kuwa hakuwa na nyaraka zozote za umilki wa eneo hilo lenye ukubwa wacekari robo eka anavyodiwa kuuziwa mwaka 2008 ambako tayari alikuwa ameanza ujenzi wa k ituo cha mafuta.

Uamuzi wa kufutwa kwa hati ya viwanja hivyo umetolewa hvi karibu na Hakimu Mkazi Mfawidhi Bernizhita Maziku ambaye alikubaliana na hoja zilizomo kwenye rufaa ya wamiliki halali wa eneo hilo David Kimambo na Donald Kimambo.
 
Tuna shida kubwa sana, ile sumu tuliyolishwa kwa miaka 6, mama ndio anajiribu kuiflash itoke kwenye miili yetu, sumu ya kufurahia tajiri mwenye mibasi yake lukuki akitoa fidia ya 20million.

Hizo huwa wanaziweka kwenye gari tu karibu na gia pale, za emergency ndogo ndogo kama hizo.
Sure. Ni hela ndogo mnoo kwao..tena hiyo 20m anaweza mtuma houseboy nyumban akaichukue tu.
 
Back
Top Bottom