Umefurahi mwenyewe!
Hii ilimtokea dokta remi Bukoba sema walikaa na mmiliki wa eneo kwa sasa amepanga na anamlipa pango yule Mmiliki maana aliuziwa kwa kutapeliwa na ile familia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umefurahi mwenyewe!
Haya mambo kwenye maisha ya utaftaji yapo sana
Namanisha alinunua kiwanja chenye magumashi...inatokea..unakua hujui .Unatafuta kwa kudhulumu wengine? That is not kutafuta. Huko ni kuiba
Teh teh teh.Milioni 3 yote hiyo!!
Sema hana kabisa Akaunti ya Bank.
Inaonekana huyu mleta uzi hajawahi kukamata pesa, Anafikili Basi Aina ya Yutong inauzwa laki moja na nusu.Million 20 imuwakishe chamoto? upo serious kweli?
Kama alidhulumu hata mm kimefurahiUmefurahi mwenyewe!
Inakusaidia nini ?mtu humjui😅Kama alidhulumu hata mm kimefurahi
Eboo!!Ukiona tu jina Mbowe ujue kwisha kazi yani hapo ni ujanja ujanja tu
[emoji3][emoji3][emoji3]Only 20m? Ndo kakiona cha mtoto? Umaskini mbaya sana.
ameandika kwa bashasha utadhani ni jambo zuri[emoji36]Umefurahi mwenyewe!
Tafuta pesa.. Acha wivu wa kitoto dogo.Hapo kituo cha mafuta kinatakiwa kuondolewa kwenye aridh isiyo halali,atalipa gharama za kesi,atalipa 20m, hati tatu zimefutwa, eneo hilo alinunua kitapeli na fedha zimepotea, jina lake kama tajiri limechafuka kWa kuchukua mali za yatima.
Nafsi yake imesuuzika..nashukuru Mungu sina roho ya kumuonea kijicho tajiri aisee..tena huwa nataman niwe rafikiameandika kwa bashasha utadhani ni jambo zuri[emoji36]
Hahahaa unajifariji mwenyewe..tajiri unachafuaje jina kwa.mfano? Tunachafukaga sisi wa chini...Hapo kituo cha mafuta kinatakiwa kuondolewa kwenye aridh isiyo halali,atalipa gharama za kesi,atalipa 20m, hati tatu zimefutwa, eneo hilo alinunua kitapeli na fedha zimepotea, jina lake kama tajiri limechafuka kWa kuchukua mali za yatima.
Matajiri wa kichaga wamejaa wizi na dhuluma.