Tajiri wa Machame Safari, Clemence Mbowe akiona cha moto

Tajiri wa Machame Safari, Clemence Mbowe akiona cha moto

Haya mambo hutokea,wangekaa chini waone
Wanayamaliza vp..
Mambo kuelewana tu

Ova
 
Mtu anamiliki yutong kumi na kuendelea million 20 ni kitu gani kwake?una pepo la umaskini Mkuu.
 
Mtu anamiliki yutong kumi na kuendelea million 20 ni kitu gani kwake?una pepo la umaskini Mkuu.
Ukisikia yutong utadhani ni mali kumbe zimechoka na nauli tsh 15,000 kwa KMS 650. Hii biashara inafanywa bila mahesabu.
 
Yaani mtu anamiliki mabasi lukuki anapigwa faini ya milioni 20 watu mnafurahia duh, umaskini mbaya sana ukijumlisha na chuki kama ya marehemu Malaika Mkuu wa kule kitovuni inakuwa taaaabu kweli kweli. Tafuteni maisha vijana msishadadie mambo ya watu kwanza hayana tija kwako eti akiona cha moto, wakati wewe hata buku ya bundle unagongea
 
20M ndo imuonyeshe Cha Moto? Ni hela ndogo sana kwake japokua hata buku ina thamani
 
Back
Top Bottom