Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Alafu matajiri wanasaidiana balaa...sie masikini sasa!Hela ya vocha imuwakishe tajiri hahaha huwajui matajiri wewe ..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu matajiri wanasaidiana balaa...sie masikini sasa!Hela ya vocha imuwakishe tajiri hahaha huwajui matajiri wewe ..
Hata mi nimefurahi hawa wenye nazo madhulmati siwapendiUmefurahi mwenyewe!
Hivi kwanini matajiri ni madhulmatiHivi kwanini masikini wamejaa chuki na roho kutu?
Na utaishia kapuku hivyo hivyo had unazikwaHata mi nimefurahi hawa wenye nazo madhulmati siwapendi
Bora nife kapuku lakini sipo tayari kudhulumu mtuNa utaishia kapuku hivyo hivyo had unazikwa
Hapo ishu sio 20M hapo ardhi yao imerudi, unazani hilo eneo lina thamani gani?Umasikini mbaya jamanii, kwahiyo ww unaona 20m ni hela ya kumuumiza kichwa tajiri?
Kwenye maisha ya utafutaji haya mambo hutokea..huenda alinunua kiwanja mali ya mtu hajadhulumu huyoBora nife kapuku lakini sipo tayari kudhulumu mtu
Mbona mnawaza hiyo faini tu hamuwazi hao jamaa kupata haki yao (kiwanja)Ela ndogo sana kwake iyo juzi tu kaingiza yutong nne
Hapo kituo cha mafuta kinatakiwa kuondolewa kwenye aridh isiyo halali,atalipa gharama za kesi,atalipa 20m, hati tatu zimefutwa, eneo hilo alinunua kitapeli na fedha zimepotea, jina lake kama tajiri limechafuka kWa kuchukua mali za yatima.Ela ndogo sana kwake iyo juzi tu kaingiza yutong nne
Huwa wanakuwa wazee wa kanisa ukiwa na fedhaHawa matajiri wa kichagga hawa!! Kanisani wana siti zao tena wanaitw a waheshimiwa na michango wanatoa.mikubwa kweli ila.wanapenda sana kuvamia na.kudhulumu ardhi za walalahoi
Labda hata account hawana. Cha msingi hapo ni kwamba sio jambo jema kupora mali ya mtu mwingine. Wangeweza kumalizana kwa amani. Ubabe una gharama zake piaSie tunafurahiii...
Ukute hata kwa ac huna hata 3m
Hamjui tu...haya mambo hutokeaLabda hata account hawana. Cha msingi hapo ni kwamba sio jambo jema kupora mali ya mtu mwingine. Wangeweza kumalizana kwa amani. Ubabe una gharama zake pia
Haya mambo kwenye maisha ya utaftaji yapo sanaLabda hata account hawana. Cha msingi hapo ni kwamba sio jambo jema kupora mali ya mtu mwingine. Wangeweza kumalizana kwa amani. Ubabe una gharama zake pia
Siku vita ya ukabila itatokea, sukumawar#&chagawar. sijui nani ataamuaPesa inatoka kwa mchaga inaenda kwa mchaga wasukuma hoooiii.