Mwanongwa
JF-Expert Member
- Feb 15, 2023
- 611
- 567
Mpaka mjirekebishe ndiyo nitaacha kuwasakama.
Halmashauri ya Jiji la Mbeya kama inawezekena badilisheni mfumo wa kukusanya taka au tafuteni kampuni nyingine ya kukusanya taka.
Hawa JKT wamefeli kabisa, kwanza magari yao mengi ni mabovu sana tena sana.
Ukipita Kwenye mitaa mingi ya Jiji hili imekuwa na uchafu mwingi sana, mitaa kama Isanga, Ilemi, Mama John, Soko la Sido na mitaa mingine mingi uchafu umetapakaa haswa.
Najua mnachukia ila acha ukweli niwaambie.
Mitaa ya Forest ya Zamani
Mitaa ya Soko la Sido
Halmashauri ya Jiji la Mbeya kama inawezekena badilisheni mfumo wa kukusanya taka au tafuteni kampuni nyingine ya kukusanya taka.
Hawa JKT wamefeli kabisa, kwanza magari yao mengi ni mabovu sana tena sana.
Ukipita Kwenye mitaa mingi ya Jiji hili imekuwa na uchafu mwingi sana, mitaa kama Isanga, Ilemi, Mama John, Soko la Sido na mitaa mingine mingi uchafu umetapakaa haswa.
Najua mnachukia ila acha ukweli niwaambie.
Mitaa ya Forest ya Zamani
Mitaa ya Soko la Sido