Hapo ndipo sioni mana ya Takukuru tuhuma za bil.12 za Mbowe wako kimya na hizi watakaa kimya! Si bora ifutwe,Hivi zile tuhuma za Mbowe kupokea Bilioni 10 kutoka kwa Lowasa ili aruhusiwe kugombea Urais uchunguzi ulishafanyika?
Utendaji kazi wa vyombo primitive ndio unaohitaji ushahidi kwa anayetoa tuhuma. Ushahidi unatafutwa na vyombo competent vya kukusanya ushahidi kwa wenzetu. Wao wenzetu unapeleka tuhuma wao wanafanyia kazi tuhuma kwa utaalam advanced.Takukuru huwa wanafuatilia tuhuma zenye ushahidi.Mbowe alitakiwa apeleke hizo tuhuma na ushahidi wote TAKUKURU sio kubwabwaja tu bungeni maneno matupu yasiyo na ushahidi wowote kama maneno ya mlevi kwenye kilabu cha mbege.
Hivi kufikia mbunge anahongwa milioni kumi takukuru kazi yao nini hasa.
Hivi siku hizi hakina usalama wa taifa bungeni kama ilivyo kuwa kwa nyerere?
Hivi mpaka sasa takukuru na police hawajajua kwamba wabunge wamohingwa kwa maagizo ili wspitishe mswada mbovu wa habari.?
Hii ingerikuwa kwa wenzetu tayari watu wangekuwa wameshajiuzulu kabisa.
Tunaambiwa nchi haina pesa na wanabana matumizi lakini zakuhonga Wabunge na lipumba zinapatikana .
Mimi nitakuwa wa mwisho kuamini hii serikali ni ya wanyonge..
Inawezekana yeye ndio katoa siri .....BasheHapo ndipo UKAWA wanavyovurugwa!
Kumekuwa na tuhuma nyingi kuwa Taasisi ya Kuzuia Rushwa ni Toothless bull dog na kwamba taifa linapoteza fedha nyingi kuiendesha wakati haina tija yeyote. Na haya yamesemwa mpaka na wabunge wenyewe.
Kuna tuhuma ambazo zimekuja kama swali bungeni leo kuhusu wabunge wa CCM kupewa rushwa ya milioni 10 katika kikao alichohudhuria PM na Kinana ili mswada wa habari na mpango wa maendeleo upite.
Ni tuhuma mbaya na chafu sana kupata kutokea tokea Uhuru kwa serikali kwa ujumla wake kutoa hongo kwa kundi moja la wabunge walio wengi.
Haijalishi kama ni milioni 10 au 5, zote ni rushwa na ninauhakika wapo wabunge wamepokea lakini nafsini mwao hawajapendezwa na jambo hilo na hapo ndio pakuanzia.
Kufuta aibu hii ya kitaifa TAKUKURU watangaze kufuatilia jambo hili na kuchukua hatua hata kama itabidi serikali yote iathirike.
Nchi zingine hata rais au mfalme kwenye rushwa anachunguzwa iweje hapa waogopwe?
Na kama Rais atazuia uchunguzi huo basi ni kuwa rushwa hiyo ina baraka zake, na jee kumbe naye pamoja na kauli zake zote ni mtoa rushwa?
TAKUKURU ikishindwa ivunjwe haina maana kuwepo
Mkuu hoja hapo ni wabunge wa ccm kuhongwa milion 10Hivi zile tuhuma za Mbowe kupokea Bilioni 10 kutoka kwa Lowasa ili aruhusiwe kugombea Urais uchunguzi ulishafanyika?
Hayo Mambo ya wakubwa wewe huwezi juaSIDHANI KAMA KUNARUSHWA..RUSHWA GANI UNAWEZA KUSAIGNI ILI UPOKEE RUSHWA. UNAMUFAHAMU MAGUFURI?? MILLION KUMI KWA KILA MBUNGE NI SH NGAPI? SIO MCHEZO..MBOWE AWE MAKINI ASIJE AKAANGAMIZWA KWA KUDANGANYWA
Samahani mkuu, wakati unaandika ulikua umekalia NINI!? KWani Takukuru si ndio kazi yao kutafuta ushahidi ili waupeleke mahakamani? AuTakukuru huwa wanafuatilia tuhuma zenye ushahidi.Mbowe alitakiwa apeleke hizo tuhuma na ushahidi wote TAKUKURU sio kubwabwaja tu bungeni maneno matupu yasiyo na ushahidi wowote kama maneno ya mlevi kwenye kilabu cha mbege.
Swala si kuamini, ndo maana mleta Uzi unasema Takukuru wachunguze kupata ukweli. Jambo dogo kamahilo nalo linaonekana gumu?Achana propaganda na siasa za kibunge hizo
Wewe kweli kwa akili ya kawaida tus
Kweli unaweza amini kuwa serikali
Inaweza kuhonga mil 10 kila mbunge
Kwa kupitisha muswada wa habari?
Hata kama sio milioni 10 kama alivyosema Mbowe bali ni 5 bado ni rushwa tuu.SIDHANI KAMA KUNARUSHWA..RUSHWA GANI UNAWEZA KUSAIGNI ILI UPOKEE RUSHWA. UNAMUFAHAMU MAGUFURI?? MILLION KUMI KWA KILA MBUNGE NI SH NGAPI? SIO MCHEZO..MBOWE AWE MAKINI ASIJE AKAANGAMIZWA KWA KUDANGANYWA
We ndio nani wa kuamuru bunge livunjwe kwa story za vijiweni za Mbowe! Ebo!Kumekuwa na tuhuma nyingi kuwa Taasisi ya Kuzuia Rushwa ni Toothless bull dog na kwamba taifa linapoteza fedha nyingi kuiendesha wakati haina tija yeyote. Na haya yamesemwa mpaka na wabunge wenyewe.
Kuna tuhuma ambazo zimekuja kama swali bungeni leo kuhusu wabunge wa CCM kupewa rushwa ya milioni 10 katika kikao alichohudhuria PM na Kinana ili mswada wa habari na mpango wa maendeleo upite.
Ni tuhuma mbaya na chafu sana kupata kutokea tokea Uhuru kwa serikali kwa ujumla wake kutoa hongo kwa kundi moja la wabunge walio wengi.
Haijalishi kama ni milioni 10 au 5, zote ni rushwa na ninauhakika wapo wabunge wamepokea lakini nafsini mwao hawajapendezwa na jambo hilo na hapo ndio pakuanzia.
Kufuta aibu hii ya kitaifa TAKUKURU watangaze kufuatilia jambo hili na kuchukua hatua hata kama itabidi serikali yote iathirike.
Nchi zingine hata rais au mfalme kwenye rushwa anachunguzwa iweje hapa waogopwe?
Na kama Rais atazuia uchunguzi huo basi ni kuwa rushwa hiyo ina baraka zake, na jee kumbe naye pamoja na kauli zake zote ni mtoa rushwa?
TAKUKURU ikishindwa ivunjwe haina maana kuwepo
Rushwa yenye baraka za ccm , ambayo Mwenyekiti wake ndio mamlaka ya uteuzi wa mkurugenzi wa Takukuru haitachunguzwa kamwe .Kumekuwa na tuhuma nyingi kuwa Taasisi ya Kuzuia Rushwa ni Toothless bull dog na kwamba taifa linapoteza fedha nyingi kuiendesha wakati haina tija yeyote. Na haya yamesemwa mpaka na wabunge wenyewe.
Kuna tuhuma ambazo zimekuja kama swali bungeni leo kuhusu wabunge wa CCM kupewa rushwa ya milioni 10 katika kikao alichohudhuria PM na Kinana ili mswada wa habari na mpango wa maendeleo upite.
Ni tuhuma mbaya na chafu sana kupata kutokea tokea Uhuru kwa serikali kwa ujumla wake kutoa hongo kwa kundi moja la wabunge walio wengi.
Haijalishi kama ni milioni 10 au 5, zote ni rushwa na ninauhakika wapo wabunge wamepokea lakini nafsini mwao hawajapendezwa na jambo hilo na hapo ndio pakuanzia.
Kufuta aibu hii ya kitaifa TAKUKURU watangaze kufuatilia jambo hili na kuchukua hatua hata kama itabidi serikali yote iathirike.
Nchi zingine hata rais au mfalme kwenye rushwa anachunguzwa iweje hapa waogopwe?
Na kama Rais atazuia uchunguzi huo basi ni kuwa rushwa hiyo ina baraka zake, na jee kumbe naye pamoja na kauli zake zote ni mtoa rushwa?
TAKUKURU ikishindwa ivunjwe haina maana kuwepo
Kamanda wa kubadili gia angani ndo ameshawabia hivyo, hapo huwaambii kitu mpaka kamanda atengue!Achana propaganda na siasa za kibunge hizo
Wewe kweli kwa akili ya kawaida tu
Kweli unaweza amini kuwa serikali
Inaweza kuhonga mil 10 kila mbunge
Kwa kupitisha muswada wa habari?