Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Vyama vya siasa mkoani Manyara, vimeiomba taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa takukuru mkoa wa manyara kuweka utaratibu wa kutoa mrejesho wa watuhumiwa wanaokutwa na hatia ya kuomba au kupokea rushwa wakati wa kampeini na uchaguzi ili kufahamu adhabu wanazozipata .
Pia, Soma: Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Hayo yamesemwa leo na viongozi wa vyama vya siasa kikiwemo chama cha mapinduzi(ccm), chama cha demokarasia na maendeleo (chadema) katika kikao kilichoandaliwa na taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa takukuru kwa leongo la kutoa elimu kwa vyama vya siasa juu ya vitu vya kuzingatia kabla, wakati na baada ya uchaguzi.
Kwa upande wake mkuu wa Takukuru mkoa wa manyara Bahati Haule, amewataka viongozi wa vyama vya sisasa mkoani hapa kutojishughulisha na vitendo vya rushwa kabla, wakati na baada ya uchaguzi.
Pia, Soma: Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Hayo yamesemwa leo na viongozi wa vyama vya siasa kikiwemo chama cha mapinduzi(ccm), chama cha demokarasia na maendeleo (chadema) katika kikao kilichoandaliwa na taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa takukuru kwa leongo la kutoa elimu kwa vyama vya siasa juu ya vitu vya kuzingatia kabla, wakati na baada ya uchaguzi.
Kwa upande wake mkuu wa Takukuru mkoa wa manyara Bahati Haule, amewataka viongozi wa vyama vya sisasa mkoani hapa kutojishughulisha na vitendo vya rushwa kabla, wakati na baada ya uchaguzi.