TAKUKURU mchunguzeni Mkuu wa Wilaya Morogoro, anaitumia ofisi yake vibaya

Arudishe pesa yake bana.

Mnazingua sana nyie. Yaani mtu atumie ada za wanae kuwakopea kisha asipate hata dusko?
 
Arudishe pesa yake bana.

Mnazingua sana nyie. Yaani mtu atumie ada za wanae kuwakopea kisha asipate hata dusko?

Sasa si angefuata utaratibu? Kwanini aseme anatoa msaada halafu aje kudai tena na cha juu nje ya utaratibu?
 
Msando mzee wa deal. Watu hawajui pesa anatoa wapi! Acheni wivu mwacheni DC apige kazi acheni majungu! Kama alitoa pesa zake kusaidia watu sasa akizidai kuna ubaya gani? kwani ye padri!! wamlipe tu.

Wamlipe kwa utaratibu upi? Si angetangqza zabuni kisha pesa ikopwe kwa jina la serikali, leo alipwe kwa makubaliano yapi? Hivi unaelewa hata unachotetea kweli 😃😃
 
Haikuwa busara kuanzisha mradi ule pale kwenye like Soko Kwa sababu kutokana na hivyo vibanda vya Msando Frem zisizo Ndani ya Soko kuu zimekosa wateja na pia kuongeza msongamano

Inavyoonekana alibuni mradi ili ajinufaishe kupitia ofisi ya serikali. Watu wamemshtukia. Kama alitoa msaada akaushe, ila kama ni mkopo angedeclare mapema na kufuata taratibu za kisheria.
 
Haikuwa busara kuanzisha mradi ule pale kwenye like Soko Kwa sababu kutokana na hivyo vibanda vya Msando Frem zisizo Ndani ya Soko kuu zimekosa wateja na pia kuongeza msongamano
Vile vibanda angepeleka soko la nane nane au angetafuta eneo mafiga stendi maana wengi wao wale ni wauza mitumba na walikuwa na wateja wao tayari vile vibanda vimechafua taswira ya soko
 
Vile vibanda angepeleka soko la nane nane au angetafuta eneo mafiga stendi maana wengi wao wale ni wauza mitumba na walikuwa na wateja wao tayari vile vibanda vimechafua taswira ya soko

Alijenga kisiasa na inaonekana tayari alikuwa na hesabu zake kichwani.
 
Mwacheni Msando alambe asali,Sasa inawezekana vipi msimamizi wa mzinga akose asali?
 
Kwa hiyo mnataka afilisiwe na benki! ? Hivi mnadhani anahitaji Jimbo la Morogoro, kweli?
 
Dada beth umeniuliza kwann nimesema hkn mchaga boya mm nimezaliwa kazkazni nawajuwa vzr Sana hvyo nimesema tukae nao kwa umakini

Yeye na kina mawala na mawakili wengine wameupata utajiri kwa ishu za kitapeli Zaid

Nikadhani unasifia wizi na dhuluma kumbe unatoa tahadhari. Safi.
 
Siku huyu bwana alivyongazwa kuwa Ni mkuu wa wilaya nilishtuka Sana yaani mtu aache dili zake zinazomuingizia mabilioni ya pesa aende kuwa dc ameacha the don na mke mzuri kweli kwenda kuwa dc Tena wa morogoro niliona Kuna kitu kitafanyika mnk huyu jamaa pesa anazo eti Sasa huu udc kwake CYO kitu Ni Kama cheo tu Ila akiki zake zote zipo ktk dili zake za uwakili
 
Niliwahi kusikia pia kuwa hakuwa mwaminifu kwenye masuala ya fedha. Leo yanapoibuka haya basi yasipuuzwe. Vibanda zaidi ya 500 ni vingi sana kama kiongozi atavitumia kwa maslahi yake binafsi. Suala hili lazima lifanyiwe kazi haraka.
Nimepita hapo karibuni yaani vibanda vingi havitumiki vimeachwa tu,hela imeenda bure.
 

Inasikitisha sana kijana wa umri wake kutokuaminika kiasi hiki. Unaweza kudhani anachukiwa lakini wanaomfahamu wengi wanasema hiki unachokisema hapa.
 
Vile vibanda vimeharibu taswira nzima ya soko, alafu 106 kwa mbao na mabati yale hapana, parefu sana. Pia afunguke km kweli alitoa msaada wenye maaharti ya kuwa mkopo kwa Manispaa ya Moro. Hata hivyo serikali haifati utaratibu huo wa ujenzi ktk kuanzisha project yeyote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…