fantastic philip
Senior Member
- Oct 17, 2015
- 195
- 688
Sio kweli.... na wewe unatumia ubongo wako kuamini hilo kabisa... uuze hotel kwa 3b kulipa deni la 300m ....hakuna taasisi ya kifedha ambayo ingeshindwa kumpa mtu 300m mwenye Collateral ya 6b... acheni kuwa wajinga wajinga wakati mnaakili timamu.
Ukishapata kesi ya uhujumu uchumi mali zako haziwez Kua dhamana tena