TAKUKURU mnatumika vibaya ipo siku ukweli utajulikana. Mlitumiwa na wanasiasa wa CCM 'kum-harass' Deusdeth Kakoko ili mhalalishe mradi wa kifisadi

TAKUKURU mnatumika vibaya ipo siku ukweli utajulikana. Mlitumiwa na wanasiasa wa CCM 'kum-harass' Deusdeth Kakoko ili mhalalishe mradi wa kifisadi

Watanzania sio wajinga hata kidogo japokuwa wengi wao ni elimu ya kawaida tu maana hata mimi ni Std 7.

Mungu ametubaliki uwezo wa kujua kusoma na kuandika ndio maana na kudadavua mambo mengi.

Deusdedith Kakoko alikuwa smart akaeleza ukweli kuwa taifa la Tanzania halina manufaa na mkataba mbovu wa kifisafi wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo. Kilichompata Mungu anajua.
Aliongozwa na chuki tu sio utaaalamu,ni mmoja kati ya majitu ya hovyo kabisa
 
inawezekana mwezi mmoja tu baadae ikawa zamu yako.

usimsifu mbio baba yako,ukasahau kwamba anakimbizwa
Kwaiyo nkusaidieje MATAGA?

Kipindi watu wanateseka mlikuwa mnafurahi tu.

Now kibao kimegeuka onjeni yaliyokuwa yanawafika wenzenu.
 
Kwaiyo nkusaidieje MATAGA?

Kipindi watu wanateseka mlikuwa mnafurahi tu.

Now kibao kimegeuka onjeni yaliyokuwa yanawafika wenzenu.
kuteseka na kula raha ni swala mtambuka,usikariri.

watu walikata tamaa kwenye umasikini wao,ni rahisi sana kufarijika kwa vitu vidogo vidogo,kama wewe mkuu.

yaani unaamini kuna mtu anapata tabu sasa hivi kwa sababu mama yuko agaist na magufuli[emoji16].
 
kuteseka na kula raha ni swala mtambuka,usikariri.

watu walikata tamaa kwenye umasikini wao,ni rahisi sana kufarijika kwa vitu vidogo vidogo,kama wewe mkuu.

yaani unaamini kuna mtu anapata tabu sasa hivi kwa sababu mama yuko agaist na magufuli[emoji16].
Endelea kujifariji.

Najua nyakati hizi ni ngumu sana kwenu.
 
Watanzania sio wajinga hata kidogo japokuwa wengi wao ni elimu ya kawaida tu maana hata mimi ni Std 7.

Mungu ametubaliki uwezo wa kujua kusoma na kuandika ndio maana na kudadavua mambo mengi.

Deusdedith Kakoko alikuwa smart akaeleza ukweli kuwa taifa la Tanzania halina manufaa na mkataba mbovu wa kifisafi wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo. Kilichompata Mungu a

Management bora ni ile jumuishi. Ndicho kinachoendelea TPA kwa sasa, uongozi uliopita ulikosa skills za kiuongozi.

Mradi wa Bagamoyo ni mpana sana na rais kasema tunaenda kujadiliana na hao wawekezaji hajasema kama tumeshakubaliana kipi kifanyike.
Wale
Watanzania sio wajinga hata kidogo japokuwa wengi wao ni elimu ya kawaida tu maana hata mimi ni Std 7.

Mungu ametubaliki uwezo wa kujua kusoma na kuandika ndio maana na kudadavua mambo mengi.

Deusdedith Kakoko alikuwa smart akaeleza ukweli kuwa taifa la Tanzania halina manufaa na mkataba mbovu wa kifisafi wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo. Kilichompata Mungu anajua.

Watanzania sio wajinga hata kidogo japokuwa wengi wao ni elimu ya kawaida tu maana hata mimi ni Std 7.

Mungu ametubaliki uwezo wa kujua kusoma na kuandika ndio maana na kudadavua mambo mengi.

Deusdedith Kakoko alikuwa smart akaeleza ukweli kuwa taifa la Tanzania halina manufaa na mkataba mbovu wa kifisafi wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo. Kilichompata Mungu anajua.
Kwa Kakoko nakushaur uache akiba ya maneno, namini alichokipata ndicho alichokua akistahili
 
Nimeona clip ya kakoko anaongelea mradi wa bandari ya bagamoyo, yule jamaa ni kichwa aisee......utumbuaji wake lazima utakuwa na makandokando.
 
Watanzania sio wajinga hata kidogo japokuwa wengi wao ni elimu ya kawaida tu maana hata mimi ni Std 7.

Mungu ametubaliki uwezo wa kujua kusoma na kuandika ndio maana na kudadavua mambo mengi.

Deusdedith Kakoko alikuwa smart akaeleza ukweli kuwa taifa la Tanzania halina manufaa na mkataba mbovu wa kifisafi wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo. Kilichompata Mungu anajua.
Kwani Kakoko ni nyanyako?
 
You will be opening the Pandora box the day he is taken to court . Sidhani kuna watu wengi watapendezwa au kuamini box likifunguliwa. Kama yeye ni mzalendo ana uhuru wa kusema.
 
Watanzania sio wajinga hata kidogo japokuwa wengi wao ni elimu ya kawaida tu maana hata mimi ni Std 7.

Mungu ametubaliki uwezo wa kujua kusoma na kuandika ndio maana na kudadavua mambo mengi.

Deusdedith Kakoko alikuwa smart akaeleza ukweli kuwa taifa la Tanzania halina manufaa na mkataba mbovu wa kifisafi wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo. Kilichompata Mungu anajua.
Mbona hakuelewa kuhusu magofu ya chato airport kama yatakuwa na manufaa kwa taifa.
Mradi wa bagamoyo Bandari ungekuwa ni Chato ungeshakamilika acheni wivu pwani nayo ipendeze.
 
Watanzania sio wajinga hata kidogo japokuwa wengi wao ni elimu ya kawaida tu maana hata mimi ni Std 7.

Mungu ametubaliki uwezo wa kujua kusoma na kuandika ndio maana na kudadavua mambo mengi.

Deusdedith Kakoko alikuwa smart akaeleza ukweli kuwa taifa la Tanzania halina manufaa na mkataba mbovu wa kifisafi wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo. Kilichompata Mungu anajua.

Hayo ni mambo ya CCM, mtajua wenyewe
 
Katiba ya Sasa ilimkingia kifua! Laiti tungekuwa na katiba mpya unayoipinga 24/7 huenda usingeandika Uzi huu kwani majibu na mkataba wa ujenzi ungekwisha uona! Katiba mpya ni Sasa au siyo?
 
Kwa hiyo kilicho muondoa pale bandarini ni huo Mradi wa Bagamoyo, au ni ufisadi wake alio ufanya? Weka ushahidi basi badala tu ya kuwahukumu hao Takukuru kwa hoja nyepesi.

Halafu pia uache tabia yako ya kujibu wachangia mada jeuri! Sawa?
Kila siku nakusisitizia tumia common sense.
 
Mleta Thread Kaja Na Vitendea Kazi Kama:-
Omo,JIK,Foma Gold,Dettol Kumsafisha Kakoko
😁😀😂😃😄😅😆😃😃😂😂😄
 
Back
Top Bottom