OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kuhusu Kakoko uwe na akiba ya maneno,ni ushauri tu nakupatia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliongozwa na chuki tu sio utaaalamu,ni mmoja kati ya majitu ya hovyo kabisaWatanzania sio wajinga hata kidogo japokuwa wengi wao ni elimu ya kawaida tu maana hata mimi ni Std 7.
Mungu ametubaliki uwezo wa kujua kusoma na kuandika ndio maana na kudadavua mambo mengi.
Deusdedith Kakoko alikuwa smart akaeleza ukweli kuwa taifa la Tanzania halina manufaa na mkataba mbovu wa kifisafi wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo. Kilichompata Mungu anajua.
Kwaiyo nkusaidieje MATAGA?inawezekana mwezi mmoja tu baadae ikawa zamu yako.
usimsifu mbio baba yako,ukasahau kwamba anakimbizwa
kuteseka na kula raha ni swala mtambuka,usikariri.Kwaiyo nkusaidieje MATAGA?
Kipindi watu wanateseka mlikuwa mnafurahi tu.
Now kibao kimegeuka onjeni yaliyokuwa yanawafika wenzenu.
Endelea kujifariji.kuteseka na kula raha ni swala mtambuka,usikariri.
watu walikata tamaa kwenye umasikini wao,ni rahisi sana kufarijika kwa vitu vidogo vidogo,kama wewe mkuu.
yaani unaamini kuna mtu anapata tabu sasa hivi kwa sababu mama yuko agaist na magufuli[emoji16].
Watanzania sio wajinga hata kidogo japokuwa wengi wao ni elimu ya kawaida tu maana hata mimi ni Std 7.
Mungu ametubaliki uwezo wa kujua kusoma na kuandika ndio maana na kudadavua mambo mengi.
Deusdedith Kakoko alikuwa smart akaeleza ukweli kuwa taifa la Tanzania halina manufaa na mkataba mbovu wa kifisafi wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo. Kilichompata Mungu a
WaleManagement bora ni ile jumuishi. Ndicho kinachoendelea TPA kwa sasa, uongozi uliopita ulikosa skills za kiuongozi.
Mradi wa Bagamoyo ni mpana sana na rais kasema tunaenda kujadiliana na hao wawekezaji hajasema kama tumeshakubaliana kipi kifanyike.
Watanzania sio wajinga hata kidogo japokuwa wengi wao ni elimu ya kawaida tu maana hata mimi ni Std 7.
Mungu ametubaliki uwezo wa kujua kusoma na kuandika ndio maana na kudadavua mambo mengi.
Deusdedith Kakoko alikuwa smart akaeleza ukweli kuwa taifa la Tanzania halina manufaa na mkataba mbovu wa kifisafi wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo. Kilichompata Mungu anajua.
Kwa Kakoko nakushaur uache akiba ya maneno, namini alichokipata ndicho alichokua akistahiliWatanzania sio wajinga hata kidogo japokuwa wengi wao ni elimu ya kawaida tu maana hata mimi ni Std 7.
Mungu ametubaliki uwezo wa kujua kusoma na kuandika ndio maana na kudadavua mambo mengi.
Deusdedith Kakoko alikuwa smart akaeleza ukweli kuwa taifa la Tanzania halina manufaa na mkataba mbovu wa kifisafi wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo. Kilichompata Mungu anajua.
Kwani Kakoko ni nyanyako?Watanzania sio wajinga hata kidogo japokuwa wengi wao ni elimu ya kawaida tu maana hata mimi ni Std 7.
Mungu ametubaliki uwezo wa kujua kusoma na kuandika ndio maana na kudadavua mambo mengi.
Deusdedith Kakoko alikuwa smart akaeleza ukweli kuwa taifa la Tanzania halina manufaa na mkataba mbovu wa kifisafi wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo. Kilichompata Mungu anajua.
Mbona hakuelewa kuhusu magofu ya chato airport kama yatakuwa na manufaa kwa taifa.Watanzania sio wajinga hata kidogo japokuwa wengi wao ni elimu ya kawaida tu maana hata mimi ni Std 7.
Mungu ametubaliki uwezo wa kujua kusoma na kuandika ndio maana na kudadavua mambo mengi.
Deusdedith Kakoko alikuwa smart akaeleza ukweli kuwa taifa la Tanzania halina manufaa na mkataba mbovu wa kifisafi wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo. Kilichompata Mungu anajua.
Watanzania sio wajinga hata kidogo japokuwa wengi wao ni elimu ya kawaida tu maana hata mimi ni Std 7.
Mungu ametubaliki uwezo wa kujua kusoma na kuandika ndio maana na kudadavua mambo mengi.
Deusdedith Kakoko alikuwa smart akaeleza ukweli kuwa taifa la Tanzania halina manufaa na mkataba mbovu wa kifisafi wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo. Kilichompata Mungu anajua.
Bashite ana ishi kwa hisani ya mamaKweli kabisa.
Leo hii mtu kama Sabaya yupo lupango!
Makonda mzee wa kula raha kuliko mtu yeyote hata kusikika hasikiki.
Daah hatari sana.
Mahakama ya mafisadi haifungi wanaccmNani alikujibu jeuri. Kama alifanya ufisadi mbona hawakumfikisha katika Court?
Huyo ni kada mwenzako wa ccm ujue! Utaharibu Hali ya hewa humu Sasa hivi!Mpumbavu kama wewe nashangaa unachangia
Kila siku nakusisitizia tumia common sense.Kwa hiyo kilicho muondoa pale bandarini ni huo Mradi wa Bagamoyo, au ni ufisadi wake alio ufanya? Weka ushahidi basi badala tu ya kuwahukumu hao Takukuru kwa hoja nyepesi.
Halafu pia uache tabia yako ya kujibu wachangia mada jeuri! Sawa?