G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,795
- 36,704
Najua kuwa mlengwa mkuu ameshajulikana na hapa Lema alicheza kama Pele.
Ilikuwa ni suala la muda tu kwa wabunge waliopita wa CHADEMA kuanza kukumbwa na mshike mshike wa fedha za mfuko wa jimbo. Kama mlikuwa hamjui basi hii ndiyo sababu kubwa ya wao kuangushwa na mamlaka huko majimboni.
Tuwaombee nusura ila yajayo kwao yanafurahisha.
TAKUKURU leo amesema wanaanza kuvichunguza vyama vya siasa kwa wabunge wao waliopita katika bunge la 11 kabla ya uchaguzi mkuu wa Octoba mwaka huu ambao uliamua hatima yao ya ubunge, kuhusu fedha za mfuko wa jimbo walizokuwa wakipewa wakati wakilitumikia bunge la 11 kama zilitumika kwa usahihi.
Ilikuwa ni suala la muda tu kwa wabunge waliopita wa CHADEMA kuanza kukumbwa na mshike mshike wa fedha za mfuko wa jimbo. Kama mlikuwa hamjui basi hii ndiyo sababu kubwa ya wao kuangushwa na mamlaka huko majimboni.
Tuwaombee nusura ila yajayo kwao yanafurahisha.
TAKUKURU leo amesema wanaanza kuvichunguza vyama vya siasa kwa wabunge wao waliopita katika bunge la 11 kabla ya uchaguzi mkuu wa Octoba mwaka huu ambao uliamua hatima yao ya ubunge, kuhusu fedha za mfuko wa jimbo walizokuwa wakipewa wakati wakilitumikia bunge la 11 kama zilitumika kwa usahihi.