Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
Jinai haina mwisho. Labda asirudi.Lema alitafuna hela zote za jimbo na bado amekimbia na kuacha deni la million 400
Sent from my Infinix X622 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jinai haina mwisho. Labda asirudi.Lema alitafuna hela zote za jimbo na bado amekimbia na kuacha deni la million 400
Sent from my Infinix X622 using JamiiForums mobile app
Lema alitafuna hela zote za jimbo na bado amekimbia na kuacha deni la million 400
Sent from my Infinix X622 using JamiiForums mobile app
Waanzie kwa wale wa mitaa ya kijani,hapo tutaona nia yao njema kwa taifa hili na isiwe sababu ya kutaka kuhalalisha yale ya karibuni.Najua kuwa mlengwa mkuu ameshajulikana na hapa Lema alicheza kama Pele.
Ilikuwa ni suala la muda tu kwa wabunge waliopita wa CHADEMA kuanza kukumbwa na mshike mshike wa fedha za mfuko wa jimbo. Kama mlikuwa hamjui basi hii ndiyo sababu kubwa ya wao kuangushwa na mamlaka huko majimboni.
Tuwaombee nusura ila yajayo kwao yanafurahisha.
TAKUKURU leo amesema wanaanza kuvichunguza vyama vya siasa kwa wabunge wao waliopita katika bunge la 11 kabla ya uchaguzi mkuu wa Octoba mwaka huu ambao uliamua hatima yao ya ubunge, kuhusu fedha za mfuko wa jimbo walizokuwa wakipewa wakati wakilitumikia bunge la 11 kama zilitumika kwa usahihi.
Hapa mpango ni kuhalalisha mambo,iwe kwa halali am haramu. Ili mradi kilichofanyika ionekane ilitokea kwa sababu.Naona tumewatoa wabunge wa upinzani wote bungeni lakini bado tunapata shida sana, naona kama hatujalizika vile
Najua kuwa mlengwa mkuu ameshajulikana na hapa Lema alicheza kama Pele.
Ilikuwa ni suala la muda tu kwa wabunge waliopita wa CHADEMA kuanza kukumbwa na mshike mshike wa fedha za mfuko wa jimbo. Kama mlikuwa hamjui basi hii ndiyo sababu kubwa ya wao kuangushwa na mamlaka huko majimboni.
Tuwaombee nusura ila yajayo kwao yanafurahisha.
TAKUKURU leo amesema wanaanza kuvichunguza vyama vya siasa kwa wabunge wao waliopita katika bunge la 11 kabla ya uchaguzi mkuu wa Octoba mwaka huu ambao uliamua hatima yao ya ubunge, kuhusu fedha za mfuko wa jimbo walizokuwa wakipewa wakati wakilitumikia bunge la 11 kama zilitumika kwa usahihi.
Watang'oa na kuuza Nini?Vijana wa kitaa watang'oa na kuuza screpa.
Kabla ya hapo naomba ije takukuru ya huko nje ije kuchungiza hii ya kwetu kwanza ndio tujidhiirishe na utendaji kazi waoNajua kuwa mlengwa mkuu ameshajulikana na hapa Lema alicheza kama Pele.
Ilikuwa ni suala la muda tu kwa wabunge waliopita wa CHADEMA kuanza kukumbwa na mshike mshike wa fedha za mfuko wa jimbo. Kama mlikuwa hamjui basi hii ndiyo sababu kubwa ya wao kuangushwa na mamlaka huko majimboni.
Tuwaombee nusura ila yajayo kwao yanafurahisha.
TAKUKURU leo amesema wanaanza kuvichunguza vyama vya siasa kwa wabunge wao waliopita katika bunge la 11 kabla ya uchaguzi mkuu wa Octoba mwaka huu ambao uliamua hatima yao ya ubunge, kuhusu fedha za mfuko wa jimbo walizokuwa wakipewa wakati wakilitumikia bunge la 11 kama zilitumika kwa usahihi.
Takukuru ni Washenzi tuNajua kuwa mlengwa mkuu ameshajulikana na hapa Lema alicheza kama Pele.
Ilikuwa ni suala la muda tu kwa wabunge waliopita wa CHADEMA kuanza kukumbwa na mshike mshike wa fedha za mfuko wa jimbo. Kama mlikuwa hamjui basi hii ndiyo sababu kubwa ya wao kuangushwa na mamlaka huko majimboni.
Tuwaombee nusura ila yajayo kwao yanafurahisha.
TAKUKURU leo amesema wanaanza kuvichunguza vyama vya siasa kwa wabunge wao waliopita katika bunge la 11 kabla ya uchaguzi mkuu wa Octoba mwaka huu ambao uliamua hatima yao ya ubunge, kuhusu fedha za mfuko wa jimbo walizokuwa wakipewa wakati wakilitumikia bunge la 11 kama zilitumika kwa usahihi.
Waanze na maofisa wa TRA makao makuu mabingwa wa kuwabambikia kesi kubwa wafanyabiashara kuwakomoa kufunga biashara zao kufunga Account zao kienyeji kihuni kutengeneza mazingira ya RushwaNajua kuwa mlengwa mkuu ameshajulikana na hapa Lema alicheza kama Pele.
Ilikuwa ni suala la muda tu kwa wabunge waliopita wa CHADEMA kuanza kukumbwa na mshike mshike wa fedha za mfuko wa jimbo. Kama mlikuwa hamjui basi hii ndiyo sababu kubwa ya wao kuangushwa na mamlaka huko majimboni.
Tuwaombee nusura ila yajayo kwao yanafurahisha.
TAKUKURU leo amesema wanaanza kuvichunguza vyama vya siasa kwa wabunge wao waliopita katika bunge la 11 kabla ya uchaguzi mkuu wa Octoba mwaka huu ambao uliamua hatima yao ya ubunge, kuhusu fedha za mfuko wa jimbo walizokuwa wakipewa wakati wakilitumikia bunge la 11 kama zilitumika kwa usahihi.
Pia waanze kuwachunguza maofisa wa TRA vinara wa kufunga account biashara za watu Serikali inakosa pesa huku wao wakijinufaisha binafsi kwa njia za RushwaWaanze na rambirambi za wahanga wa TETEMEKO LA ARDHI KAGERA.
Waliiba ela nyingi wakashindwa kuzitolea maelezo.account
Sijui wanataka kulazimisha guerrilla war?Wameshindwa kuua upinzani sasa wanaendela kuleta vioja.
Badala wachunguzwe TRA kwa kulikosesha Taifa mapato kwa baadhi ya watumishi wake kujinufaisha binafsi wanaenda kuhangaika na vitu visivyo na tija kwa TaifaNchi ya wambea deni mbona wadai hawapeleki kesi mahakamani? Au wanamwogopa ni uzushi za kitoto😂 hakuna wa kulaumu sasa ni kutafuta uchawi yaani mtu kawa mbunge miaka 10 eti unaanza kuchunguza mwaka wa kumi na moja ili upate vitu ambavyo watu hawakumbuki tena mbunge akiwa hayupo!
Kwa hiyo upinzani mnaogopa nini, mnajua mlifanya hujuma katika hiyo pesa?
Nachojua hata wabunge wa CCM nao watakumbwa na hilo, cha kushangaza kudhibiti pesa za umma nalo ni kosa?
Vijna wa upinzani sasa mmechoka kiakiri.
Kama walitumia vibaya wazilipe tu kisha maisha yaendelee na kama walikula bila kubakiza wacha yawakute.
Hivi huo mfuko wanaowajibika ni chama au mbunge? Kwanza huwa nipesa ngapi?
Hivi huo mfuko wanaowajibika ni chama au mbunge? Kwanza huwa nipesa ngapi?
Peleka ushahidi ili kuokoa muda wa uchunguzi.Waliokuwa wakipokea fedha za mfuko wa jimbo ni Lema peke yake?Lema alitafuna hela zote za jimbo na bado amekimbia na kuacha deni la million 400
Sent from my Infinix X622 using JamiiForums mobile app
Mwaka huu Wakurugenzi wataponaje dhidi ya hizi tuhuma?Inaonekana wapi targeted na walio wengi watatumbuliwa.Kura walizojazia sasa watazilipia gharama.Fedha za jimbo zinamlenga Mkurugenzi,kwasababu taratibu za matumizi zinaratibiwa na Mkurugenzi.
Mbunge yeye ni muibuaji tu wa mradi.
Shetani hajawahi kumshinda MunguNajua kuwa mlengwa mkuu ameshajulikana na hapa Lema alicheza kama Pele....