OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Abdul ni yule mtoto wa mama AbdulSio mziki Lisu anahoja za kitoto akidhani watu wataingia mtego kijinga Anamtaja Abdul bila kufafanua huyo Adul ni nani na huyo mama Abdul ni nani ana utoto wa kisheria akidhani atakamatwa halafu skigika mahakamani aseme kwani mimi nilisema Abdul au mama Abdul yupi wapi nilisema mtoto wa Raisi Mama Samia anashinda kedi halafu anaanza kujitia kutamba ohh nimewabwaga mahakamani
Kesi ya kijinga hiyo nani ampeleke mahakamani hayuko ndio.maana kaachwa aendeleee kubweka ya huyo Abdul na mama.Abdul wake awateke wenye akili ndogo kama mleta mada