TAKUKURU wanamgwaya Tundu Lissu kumuhoji kuhusu rushwa ya Abdul

TAKUKURU wanamgwaya Tundu Lissu kumuhoji kuhusu rushwa ya Abdul

Sio mziki Lisu anahoja za kitoto akidhani watu wataingia mtego kijinga Anamtaja Abdul bila kufafanua huyo Adul ni nani na huyo mama Abdul ni nani ana utoto wa kisheria akidhani atakamatwa halafu skigika mahakamani aseme kwani mimi nilisema Abdul au mama Abdul yupi wapi nilisema mtoto wa Raisi Mama Samia anashinda kedi halafu anaanza kujitia kutamba ohh nimewabwaga mahakamani

Kesi ya kijinga hiyo nani ampeleke mahakamani hayuko ndio.maana kaachwa aendeleee kubweka ya huyo Abdul na mama.Abdul wake awateke wenye akili ndogo kama mleta mada
Abdul ni yule mtoto wa mama Abdul
 
Sio mziki Lisu anahoja za kitoto akidhani watu wataingia mtego kijinga Anamtaja Abdul bila kufafanua huyo Adul ni nani na huyo mama Abdul ni nani ana utoto wa kisheria akidhani atakamatwa halafu skigika mahakamani aseme kwani mimi nilisema Abdul au mama Abdul yupi wapi nilisema mtoto wa Raisi Mama Samia anashinda kedi halafu anaanza kujitia kutamba ohh nimewabwaga mahakamani

Kesi ya kijinga hiyo nani ampeleke mahakamani hayuko ndio.maana kaachwa aendeleee kubweka ya huyo Abdul na mama.Abdul wake awateke wenye akili ndogo kama mleta mada
Umeandika ujinga tupu.kwa hiyo Abdul humjui?
 
Mara kadhaa Makamu Mwenyekiti wa Chadema amedai mtoto wa Rais Samia aitwai Abdul alikwenda nyumbani kwake akiwa na kiongozi wa mmoja wa Chadema kwa ajili ya kumpa rushwa ili alegeze misimamo yake dhidi ya serikali.

Tundu Lissu hakuishia hapo bali amesema Abdul alimweleza kuwa amekwisha gawa rushwa kwa viongozi wengine kadhaa wa Chadema kwa hiyo yeye hatakuwa wa kwanza! Lissu ameweka wazi kuwa rushwa aliyotaka kupewa ni kununuliwa gari.

Pamoja na maelezo yote haya TAKUKURU wamekaa kimya bila kuchukua ya kumuhoji. Je hawajasikia? Na kama wamesikia wanasubiri nini kupata ukweli zaidi na kuchukua hatua za kisheria?
Wanamhoji Tundu Lissu kama mtoa rushwa au mpokea rushwa?
 
Tundu Lissu akili kubwa. Ukimuhoji lazima aibu itamwangukia huyo Abdul na Maza wake.
Kwahiyo hakuna wa kukubali aibu imwendee Maza
Wakimuhoji lazima ugali wao Maza ataumwaga
Lissu kuchangiwa/kugaiwa gari na raia ambae hana cheo kwenye chama cha kisiasa wala hana cheo serikalini ni jambo ambalo CHADEMA walipigia kampeni.

Mm nahisi wamuhoji mambo mawili, moja lengo binafsi la mtoa gari, na ni nani na nani viongozi wengine wa CHADEMA waliotajwa kupewa "rushwa" na Huyo 'an-duli'. Ambapo pia sio rahisi kulithibitisha hilo mahakamani na serikali kupitia TAKUKURU wataishia kupata hasara tu kwa kumlipa 'an-duli'.
 
Mara kadhaa Makamu Mwenyekiti wa Chadema amedai mtoto wa Rais Samia aitwai Abdul alikwenda nyumbani kwake akiwa na kiongozi wa mmoja wa Chadema kwa ajili ya kumpa rushwa ili alegeze misimamo yake dhidi ya serikali.

Tundu Lissu hakuishia hapo bali amesema Abdul alimweleza kuwa amekwisha gawa rushwa kwa viongozi wengine kadhaa wa Chadema kwa hiyo yeye hatakuwa wa kwanza! Lissu ameweka wazi kuwa rushwa aliyotaka kupewa ni kununuliwa gari.

Pamoja na maelezo yote haya TAKUKURU wamekaa kimya bila kuchukua ya kumuhoji. Je hawajasikia? Na kama wamesikia wanasubiri nini kupata ukweli zaidi na kuchukua hatua za kisheria?
Wahoji nini na wakati ni kweli? Kwa Lisu kuna CCTV camera Abdul alifuata nini pale?
 
Sio mziki Lisu anahoja za kitoto akidhani watu wataingia mtego kijinga Anamtaja Abdul bila kufafanua huyo Adul ni nani na huyo mama Abdul ni nani ana utoto wa kisheria akidhani atakamatwa halafu skigika mahakamani aseme kwani mimi nilisema Abdul au mama Abdul yupi wapi nilisema mtoto wa Raisi Mama Samia anashinda kedi halafu anaanza kujitia kutamba ohh nimewabwaga mahakamani

Kesi ya kijinga hiyo nani ampeleke mahakamani hayuko ndio.maana kaachwa aendeleee kubweka ya huyo Abdul na mama.Abdul wake awateke wenye akili ndogo kama mleta mada
Usijitoe ufahamu, alishamtaja wazi kabisa kuwa ni Abdul Ameir Hafidh mtoto wa Samia Suluhu Hassan.
 
Wanamhoji Tundu Lissu kama mtoa rushwa au mpokea rushwa?
Tundu Lissu ametoa tuhuma za Abdul kusambaza rushwa kwa viongozi wa Chadema na kwamba tayari kuna viongozi wamepokea. Kwa hiyo ahojiwe kuhusu tuhuma hizo zinazochafua CCM na serikali!
 
Tundu Lissu ametoa tuhuma za Abdul kusambaza rushwa kwa viongozi wa Chadema na kwamba tayari kuna viongozi wamepokea. Kwa hiyo ahojiwe kuhusu tuhuma hizo zinazochafua CCM na serikali!
Mtoa taarifa ndiye huojiwa au anayetuhumiwa?
 
Mara kadhaa Makamu Mwenyekiti wa Chadema amedai mtoto wa Rais Samia aitwai Abdul alikwenda nyumbani kwake akiwa na kiongozi wa mmoja wa Chadema kwa ajili ya kumpa rushwa ili alegeze misimamo yake dhidi ya serikali.

Tundu Lissu hakuishia hapo bali amesema Abdul alimweleza kuwa amekwisha gawa rushwa kwa viongozi wengine kadhaa wa Chadema kwa hiyo yeye hatakuwa wa kwanza! Lissu ameweka wazi kuwa rushwa aliyotaka kupewa ni kununuliwa gari.

Pamoja na maelezo yote haya TAKUKURU wamekaa kimya bila kuchukua ya kumuhoji. Je hawajasikia? Na kama wamesikia wanasubiri nini kupata ukweli zaidi na kuchukua hatua za kisheria?
Wanaogopa kumuangushia jumba bovu Mama Dulla
 
Mtoa taarifa ndiye hutakiwa kutoka maelezo kwa Jamuhuri kabla hatua za ukamataji hazijaanza!
Naweza kukubaliana nawe, ila tatizo langu nafuata njia aliyokuwa alitumia mwanasayansi na mwanafalsafa mmoja Mfaransa Rene Descartes. Njia hii aliita 'methodical doubt' kwamba atatlia mashaka claims zote kama kuwe na uthibitisho kwamba ni za kweli. Na kwa msingi huo, nitaamini kama maelezo yako ni ya kweli ukiniwekea kifungu cha sheria na sheria inayosema hivyo.
 
Naweza kukubaliana nawe, ila tatizo langu nafuata njia aliyokuwa alitumia mwanasayansi na mwanafalsafa mmoja Mfaransa Rene Descartes. Njia hii aliita 'methodical doubt' kwamba atatlia mashaka claims zote kama kuwe na uthibitisho kwamba ni za kweli. Na kwa msingi huo, nitaamini kama maelezo yako ni ya kweli ukiniwekea kifungu cha sheria na sheria inayosema hivyo.
Mimi siyo mwanasheria lakini nafahamu uendeshaji wa kesi wa Wafaransa na huu tunaofuata sisi wa Waingereza ni tofauti. Wafaransa wewe unayelalamika ndiye unaendesha kesi lakini Waingereza Jamuhuri ndiyo inayoendesha kesi kwa niaba ya mlalamikaji, kwa hiyo unaweza kuona tofauti hiyo!
 
Mimi siyo mwanasheria lakini nafahamu uendeshaji wa kesi wa Wafaransa na huu tunaofuata sisi wa Waingereza ni tofauti. Wafaransa wewe unayelalamika ndiye unaendesha kesi lakini Waingereza Jamuhuri ndiyo inayoendesha kesi kwa niaba ya mlalamikaji, kwa hiyo unaweza kuona tofauti hiyo!
Nilichosema si procedure ya uendeshaji wa kesi mahakamani, ni njia aliyotumia huyo mwanasayansi na mwanafalsafa, na ambayo hata mimi ninayotumia, kujiridhisha nisije nikadanganywa au kudanganyika. Mimi nimekuomba kifungu cha sheria au sheria ya hapa kwetu inayosema hivyo ulivyodai.
 
Mara kadhaa Makamu Mwenyekiti wa Chadema amedai mtoto wa Rais Samia aitwai Abdul alikwenda nyumbani kwake akiwa na kiongozi wa mmoja wa Chadema kwa ajili ya kumpa rushwa ili alegeze misimamo yake dhidi ya serikali.

Tundu Lissu hakuishia hapo bali amesema Abdul alimweleza kuwa amekwisha gawa rushwa kwa viongozi wengine kadhaa wa Chadema kwa hiyo yeye hatakuwa wa kwanza! Lissu ameweka wazi kuwa rushwa aliyotaka kupewa ni kununuliwa gari.

Pamoja na maelezo yote haya TAKUKURU wamekaa kimya bila kuchukua ya kumuhoji. Je hawajasikia? Na kama wamesikia wanasubiri nini kupata ukweli zaidi na kuchukua hatua za kisheria?
Huo ni mtego, TAKUKURU wameshausoma na wanaukwepa.

Ukiona choo kwenye ndoto hata kama umebanwa vipi ogopa kukiendea.
 
Back
Top Bottom