TAKUKURU waonesha Rushwa ya ngono ilivyokithiri vyuoni

Nilijua tutawekewa ka video pia

Ova
 
Mnawaonea wahadhiri tu kuna wale wafundisha mazoezi wanawake nao wanatafuna wake za watu hatareee fireeeee.


Ndukiiiii [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Kabisa tena iyo ipo sana wale wamama wanagongwa sana na ile mijamaa yenye mbavu za tembo wanajiita walimu wa mazoezi ongereni sana wanaume mnaowapeleka wake zenu Jim wakati viwanja vya mazoezi vimejaa kama vyote
 
Wapo ambao wanawawekea mitego makusudi ili kuwalazimisha hiyo ni mbaya. Zipo zile wao wanapewa tuu. Huo ni ukarimu ila usiathiri taaluma.
 

Nini kifanyike kukomesha haya
 
Serikali itangaze zawadi nono kwa atakaye kuja na suluhisho kwenye tatizo hili
 
Serikali nayo ijaribu kuwaboreshea maruprup! Kuna mhadhiri mmoja alisema wahadhiri tuna mazingira magumu kiuchumi na hapa chuo wanakuja mabinti wazuri mno kiasi kwamba ukiamua kumtongoza kwa pesa zako basi ukavunje benk na mahtaji ya familia yako uyape kisogo! Maana atakudai ada, matumizi na vingine vingi! So njia nyepesi ni kumalizana nae kwenye coursework!
Hivyo kungeangaliwa upya interraction ya mwalimu na mwanafunzi kwenye hizo coursework!
 
Nina mke wangu anasoma Udom dah aiseee sijui atamaliza salama chuo au Ndio chakula cha wahadhiri
Kama haliwi na ma lecture Basi analiwa na viwana chuo wanyoa viduku au maafisa wa wizara pala dodoma
 
Tufanyeje sasa mkuu?

Watu wanaoa jamii yao humu humu,hawawezi oa people from Mars..wafanyeje?

Wasioe sasa sababu tu Wahadhiri walikula?

Hii ndio Tragedy of Commons
Binafsi sina solution, ya hili. Hapa kila mtu anajifariji kivyake.

Wote tuna pita humo humo lakini ukimuuliza mkeo kabla yangu nani alikuwepo, atakwambia HAKUNA na ukimuuliza bikira ilitokaje atakwambia alipanda mti akapata ajali kisha ikawa imetoka hivyo, anyhow atakudanganya tu.

Mimi nasema wanawake ni mama zetu, bibi na dada zetu. Tuwaheshimu tu walivyo.

Hata wale vyangudoa wa kinondoni ,buguruni na sinza, wakitaka kuolewa anahama mji tu utasikia mtu kanasa, harusi na mwisho ndoa.

Kuna dada kaolewa Arusha huko na alikuwa changu Dar es Salaam, niliwahi kukutana naye akanambia, aliacha uchangu akaamua kuolewa.

Kumbe wanaaamua tu, usijali mimi najiaminisha mke wangu ni safi hakuguswa kabla yangu, that's it.
 
Hawa takukuru bwana nishida tyuuu,Hawa watu wanakazi nyingine na hisi siyo kupambana na rushwa.minaona hiki kitengo kifutwe
 
Mimi sidhani kama mtu mzima huwa analazimishwa kufanya jambo baya.
Na kama unasema huwa wanatoa ngono kwa sababu ya kutishiwa kufelishwa ni wanafunzi wangapi waliwahi kwenda kushitaki na kuweka wazi?
Safi, wakikataa kwa nguvu zao zote wanaweza hata kupewa mtihani ukasahihishwa na jopo la wahadhiri wengine
 
Sio kutoa ngono nakwambia hujakutana na hzo scenario zilivo so usione wanawake wanalalamika ukafikiria ni vichaa, shukuru hujakutana na hyo kadhaa na uombe Mungu isije mkuta mwanao au ndugu

Mimi naishi jirani na chuo kimoja jina kapuni. Marafki zangu wengi ni wahadhiri na mara nyingi nakua nao kwenye ulabu.

Ni kweli kwamba kuna cases za wahadhiri kutumia ubabe kupata ngono, ila in my opinion hizo ni very rare cases. Labda ni asilimia chini ya 5 ndio wanafanya hivyo. Ila kwa hali halisi ilivyo sasa, kwa necha ya mabinti wa vyuo, mhadhiri akitaka kula mwanafunzi hahitaji kutumia nguvu yoyote. Kwanza wanafunzi ndio wanapenda sana kuliwa na malecturer! Nakumbuka wakati tunasoma wanafunzi wakike walikua wanapigana vikumbo kutoka na malecturer huku wakija kujisifu darasani na kuonyesha picha za mitoko, zawadi na meseji wanazotumiana. Kwa jinsi navyoona ma lecturer walivyo na access ya wanawake wengi wanaowasumbua, ni nadra sana kumkuta anahangaika kufosi penzi la mwanafunzi.

Wewe ukitaka kujua aina ya wanafunzi wa vyuo tulio nao sasa, nenda kwenye night clubs. Wanafunzi ndio wateja wakuu wa sehemu za starehe kiasi kwamba kipindi vyuo vikifungwa (kama sasa) club kunadorora kabisa mpaka vifunguliwe tena. Ingia instagram kwenye page zao uone picha wanazopost humo. Mabinti wa vyuo wanapenda starehe kupita maelezo na wanaliwa na kila mtu sio wahadhiri tu, wanaliwa na bodaboda, madereva teksi, wapiga picha, wauza maduka ya nguo na vipodozi, wafanyakazi wa benki, wafanyabiashara, vigogo serikalini na mpaka sisi wenyewe mtaani huku ndio tunapoponea maana hawana gharama wale mradi uwe na usafiri mkali wa kwenda kum "pick" chuo.
 
Safi, wakikataa kwa nguvu zao zote wanaweza hata kupewa mtihani ukasahihishwa na jopo la wahadhiri wengine
Yes,ni mwanafunzi mmoja tu wa NIT ndio aliwahi kujitokeza na kushitaki kuombwa ngono na yule mhadhiri alishitakiwa na vyombo vya sheria.
Hao wengine waliobaki wanapenda wenyewe.
 
Wahadhiri wa vituo vya mazoezi!
Mnawaonea wahadhiri tu kuna wale wafundisha mazoezi wanawake nao wanatafuna wake za watu hatareee fireeeee.


Ndukiiiii πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…