TAKUKURU yaanza kuichunguza CHADEMA kwa tuhuma za matumizi mabaya ya fedha

Induce positivity in your mind just once, if it's just allegation why jumping to conclusions?

General Mbungo katoka kutuambia kuhusu TFF juzi tu na kesi bado inaendelea. Mbona kule hukusema katumwa au ndio kila jambo lifanyikalo kwenu ninyi ni siasa?
 
Reactions: mmh
Uko sahihi, tatizo ni mbowe na ile fukuza fukuza yake. Nimemsikiliza Lijualikali akisema jinsi CHADEMA walivyokwepa kodi kwa udanganyifu wa kutumia misamaha ya wabunge. Siri za aina hiyo zinapokuwa wazi kipindi hiki ni tatizo.

Lakini pia Duniani kote, uchaguzi huwa ndo njia ya kuibua skandali zote!! Hata US ndo msimu wa kuibuka waliotongozwa na kuibiwa, nk.
 
Reactions: mmh
Wanamtafuta Mbowe na CHADEMA kuiua. Hakuna lolote hapo, ni sawa na ya Idriss, magoti et all na wengine wanaotafutiwa visa kuwafunga. Wamemkosa Mbowe kote, sasa wanamtafuta pa kumbambikia uhujumu uchumi, utakatishaji fedha!
Hapa JF na mitandao mingine, iliibuka clip ya Komu na Kubenea siku zile wakisema wazi kwamba udhaifu wa Mbowe ni wizi wa pesa. Kwa hiyo siyo ngeni, inaeleweka ila nadhani waliiacha makusudi ili iwavuruge CHADEMA.
 
hawa wanajeshi wakimalizana na chadema watampindua jiwe
 
Chadema sasa hamueleweki ujue, unapopinga ukaguzi huu, maana yake mnabariki ya kina waitara na Lijualikali kwamba ni kweli yanatendeka

Sasa tuambieni tujue moja, mnakaguliwaaa hamkaguliwi?

Halafu ni kama hamna huruma na M/kit wenu mjue, hizi tuhuma zooote hizi zinazomwendea mnadhani yeye ana moyo wa chuma?

Acheni aondokane na uzushi huo bhana!!!

Takukuru, pekenyeni mpaka chumbani huko
 
Reactions: mmh
Mkuu punguza jazba hijengi mfano
Lijua Kali amekua mbuge chadema miaka mitano na alikiri kwamba anamuogopa mungu kwenye press yake na kwamba ataki siku moja chomwa moto ndo maana akaamua ongea ukweli swali.
Kama aliyajua mapema yote haya why hakuwai kupeleka tahalifa hewani ambapo Wenda TAKUKURU ingekua imefanya Nazi yake,mpaka asubili kujitoa kwenye Chama?
Kujibu kwa hoja inaweza ikawa inatusaidia sana kuliko kuweka ushabiki Wa vyama vyenu Mbele mkuu
 
Such nitwits.

Toka lini matumizi mabaya ya fedha yakawa kosa kisheria ?????

Huyo kamanda wa TAKUKURU ataje kifungu cha sheria kinachosema mama watoto akiona baba mwenye nyumba anaendekeza starehe na kufuja hela ya familia basi anaweza kumuitia TAKUKURU.
 
Dunia hii haina watu wema kiasi hicho. KWamba kila siku wakiona maovu wanasema. Wema wapo waovu wapo. Iko siku wote hao wanaamua kusema ukweli. Hata waovu kuna siku wanaamua kusema yote! Tatizo la Mbowe na wenzake ni kwamba wanashindwa kuwaheshimu waovu wenzao ili siri ya uovu wao ubakie ndani.
 
TAKUKURU wakishamaliza uchunguzi wanapeleka kwa DPP? hiyodouble standard vepeee kamanda? kwani unajua matokeo ya uchunguzi tiari?....[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
mkuu hao wote c walamba viatu vya jiwe,wakilinda mkate wao wa siku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…