TAKUKURU yaanza kuichunguza CHADEMA kwa tuhuma za matumizi mabaya ya fedha

Ndungai alikula bilion 12 , na bilion 251 zilipotea wizara ya ujenzi Mbona Taifa limekaa kimya? Kipo wapi kivuko cha Dsm Bagamoyo?
kwanza kwa nini mbowe akiulizwa kuhusu fedha za chama anakuwa mkali?
 
Reactions: mmh
Wanajeshi hawapendi kupindisha mambo mmezoea kupindisha sana mlisema mko safi leo maji ya shingo

Kama nyie ni wasafi mnaogopa nini na hati zenu safi
Wanajeshi wakiwa jwtz hawapindishi wakitoka nje wanapindisha sana ndiyo maana kaacha kuchunguza bilion 12 za Ndungai kaenda kuchunguza chadema
 
Takukuru wachunguze Ndungai akiwa Hosptal India kwanza
Asante Kwa mapendekezo, Lakini Kwa nini nyie Chama ambacho ni safi, mbona ni kama mnaogopa kuchunguzwa?

Au ndo mlikuwa mnakula pamoja na mkuu wenu, mbona ni kama mnajitetea Sana mkuu
 
Reactions: mmh
Nachokiona hapo ni njaa za ccm / chadema nimpango wa Mungu

Mkimaliza kuchunguza what the next ....
Weee jamaa sio bure comments zako nyingi huwa sizielewi kabisa sijui huwa unacomment bila kifiria unaandika nn? Usije sema nimekitukana,comments zako nyingi zimekaa vibaya sana,hebu kaa ujitafakari vizuri na hebu onyesha ni wap Ccm au Chadema ni Mpango wa Mungu

Una muusishaje Mungu na Vyama hivi? Kila mnatoa matusi humu kwa sababu ya vyama na isitoshe Chadema ndo mnaongoza kwa kutukana alafu ni Mungu gani huyo anakaa sehemu chafu?

Naisi itakuwa ni mipango ya miungo na sio Mungu Mtakatifu anayeishi Milele.
 
Reactions: mmh
Kumekucha ufipani.
TRA pia wadai Chao kwa Mbowe kwakinachoitwa walikilikopesha chama kwa riba.Je Mbowe kasajiliwa benki kuu akapewa leseni ya kuendesha biashara ya mikopo? Wote wanaosema walikopesha chadema kwa RIba TRA na BOT washukieni Kama mwewe.TRA daini chenu na malimbikizo ya Kodi ya hiyo riba

Na msajili wa makampuni awe shahidi Kama aliwapa leseni ya kukopesha hao wanaosema walikopesha chadema
 
Asante Kwa mapendekezo, Lakini Kwa nini nyie Chama ambacho ni safi, mbona ni kama mnaogopa kuchunguzwa?

Au ndo mlikuwa mnakula pamoja na mkuu wenu, mbona ni kama mnajitetea Sana mkuu
Wewe mwenyewe mchafu jichunguze wewe kwanza ukiwa msafi ndipo unaanza kuwachunguza wengine waanze na kivuko cha Dsm Bagamoyo bilion 12 za Ndungai, bilion 251 wizara ya ujenzi na zingine nyingi huko CCM kwanza kabla hawajaenda popote
 
wanalia sababu wanaona c haki kuchunguzwa na aliyeteuliwa na mwenyekiti wa ccm
Kudadeki watulie sindano iingie walitaka wenyewe .chama hiki kimejaa rushwa sana rushwa ya ngono na rushwa ya vyeo na rushwa ya pesa
 
Reactions: mmh
Jpm amesema uchaguzi upo palepale hakuna kuahairisha naona minyoo imekujaa hadi kichwani
Tayari lengo ni kusaka kisingizio cha kuahirisha uchaguzi kwani endapo chadema watasusia uchaguzi itabidi kuahirisha
 
Kama CAG alishafanya ukaguzi na ikaonekana hakuna ubadhilifu, TAKUKURU wanaingiaje hapo?
Kwani kuna tuhuma za rushwa ndani ya chama cha CHADEMA mpaka hii taasisi ifanye uchunguzi?
Naomba tueleweshane kama hizi taasisi mbili zinaingiliana kimajukumu.
 
Tatizo la CCM ni wamewadharau watanzania kiasi cha kutisha wanawaona ni wajinga vya CCM havichunguzwi? Pesa inayotumika kununua wapinzani haichunguzwi pesa nyingi zimepotelea huko CCM hazijachunguzwa
 
Hali yenu ngumu sana mnaishi kwa hofu kuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…