TAKUKURU yaanza kuichunguza CHADEMA kwa tuhuma za matumizi mabaya ya fedha

TAKUKURU yaanza kuichunguza CHADEMA kwa tuhuma za matumizi mabaya ya fedha

Inatategemea mkuu, maana unaweza ukakutwa uko Safi na ukaendelea kushuka vilevile,

Yako mengi mno yanayochangia Chama changu cha zamani Chadema kushika,

Kufukuza watu kinyume na Sheria na bila kosa

Na cha msingi kabisa bila kuficha na sio kubebwa na mihemko ya kisiasa, Chadema mtakwepaa weee, lakini ukweli utabaki palepale kuwa, Kwa sasa, Chadema inahitaji kiongozi Msomi ngazi ya Digree angalau

Shida zote zilizoko huko ni za kitalaamu zaidi,

Ni miaka mingi sasa, Chadema haijajieneza kimatawi nchi nzima mpaka Leo tunazungumzia miaka zaidi ya Ishirini na... Chama hakina jengo linaloashiria nguvu ya Chama,

Nipondeni, lakini, Elimu, Elimu, Elimu, huwezi kuliepuka hilo
tatizo huna elimu na maarifa kaongeze
 
That is fallacy! Kwani kinachojadiliwa hapa ni nini? Tunasema ni haki ya TAKUKURU kuwahoji. Akini nyie munaona haifai, anaonewa. Sasa tena unasema CC ya CHADEMA ilishatoa majibu. Majibu kwa nani? CC inawezaje kuaminika wakati ndo inasimamiwa na watuhumiwa? Hiyo ni self-vindication, 'vindiciae sui.' Is that not stupid and poor thinking?
Pole sana,
Waonaje ukiwaachia wenye ufahamu na pia wamejaaliwa hekima/busara ndio waongee. Mwenyekiti wa chama ni taasisi. Hata hivyo nawe kama unavyo vielelezo basi kimbia kuvipeleka. Yowe za aina yako hazina msaada wowote kwenye mjadala wa mambo ya msingi. Amen
 
Hii habari kama ni kweli basi ni sawa na kulima bustani ya mchicha kwa kutumia bludoza/katapila.
Kwa hali ilioko kwa sasa ndani ya CHADEMA kupambana nayo hakuhitaji nguvu kubwa ya kiasi hicho.Yaani vyombo vyote vya dola vinashiriki kwenye mapambano
"Ubeberu hauna rangi, ubeberu ni ubeberu tu" Samora Machel 1975
 
Pole sana,
Waonaje ukiwaachia wenye ufahamu na pia wamejaaliwa hekima/busara ndio waongee. Mwenyekiti wa chama ni taasisi. Hata hivyo nawe kama unavyo vielelezo basi kimbia kuvipeleka. Yowe za aina yako hazina msaada wowote kwenye mjadala wa mambo ya msingi. Amen
Najua umeanza kuona kwamba siko kiwango chako. Huu ni uwanja wa majadiliano. Unaposhindwa kujadili unanituma niende sijui wapi. Tuko hapa JF kwa majadiliano na tunafahamu huko nje pakoje. Kama una ufahamu lete facts. These are things they don't teach you at school.
 
Najua umeanza kuona kwamba siko kiwango chako.
Ni kweli kabisa,
kwangu mimi kama twiga ni kichekesho sana kuacha majani safi ya juu mti na kuja kula nanyi, majani ya wa aina yako/yenu ya huko chini.
Over & out
 
Ni kweli kabisa,
kwangu mimi kama twiga ni kichekesho sana kuacha majani safi ya juu mti na kuja kula nanyi, majani ya wa aina yako/yenu ya huko chini.
Over & out
Boss! Quote message yote ili busara ionekane. Nilichokiandika ni:
Najua umeanza kuona kwamba siko kiwango chako. Huu ni uwanja wa majadiliano. Unaposhindwa kujadili unanituma niende sijui wapi. Tuko hapa JF kwa majadiliano na tunafahamu huko nje pakoje. Kama una ufahamu lete facts. These are things they don't teach you at school.
 
Sio kweli TRA wamekuwa wakifanya special audit kibao watu wanadaiwa Kodi kibao za miaka ya nyuma yakiwemo mashiririka ya umma
Kwani huko TRA wanakofanya special audit kunakaguliwa na CAG?
 
Huyu mkuu wa takukuru pamoja na kuwa ametoka kwenye taasisi inayo heshimika kama JWTZ lakini amekubali kutumika kunyanyasa wananchi wasio na hatia kwa manufaa ya CCM.

Hii ndio hatari kubwa ya kutumia wanajeshi sehemu ambazo sio zao

Wakisha zoea kupindisha mambo ipo siku watapindisha sehemu siyo lwa manufaa yao wenyewe.

Wait and see.
Naunga mkono kufanyika kwa huo uchunguzi ili wadau tuweze kufahamishwa kama ni kweli kuna huo ubadhirifu au ni nongwa tu ya wale makada wanao kihama chama.
Usitangulize lawama zisizo na msingi ,jiulize takukuru kisheria wanayo hiyo haki ya kufanya hivyo?,kama wanayo usimlaumu Mbungo,najua ingekuwa wanahojiwa Nccr Mageuzi ungepiga shangwe la kutosha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jiulize kwanza
1. Kwanini.muda huu
2. Kwa nini tuhuma za ccm hazijawahi kwenda takukuru
3. Kwanini ile 1.5tr takukuru hawakugusa
4. Kwanini wanao hama wanatetewa na ccm
5. Kwanini wanao acha ubunge tola chadema wanapewa kugombea ccm bila kupingwa?

Kuna mambo mawili
1. Nccr kuwa kuchaka cha kutetea mambo ya hovyo yanayo fanywa na ccm

2. Ccm kufa 2025 na NCCR magufuli kuchukua nchi.


Niliwahi sikia mkui aliwahi chukua card ya nccr mageuzi

Pia nccr mageuzi inekua inapngozwa na watu wa system toka enzi za mrema.

Mbatia ni mtu wa ccm ameletwa upinzania kwa sababu maalum

Kwanini serikali inaiogopa chadema, si waache tuu chadema ishiriki uchaguzi na waibe kura.
Naunga mkono kufanyika kwa huo uchunguzi ili wadau tuweze kufahamishwa kama ni kweli kuna huo ubadhirifu au ni nongwa tu ya wale makada wanao kihama chama.
Usitangulize lawama zisizo na msingi ,jiulize takukuru kisheria wanayo hiyo haki ya kufanya hivyo?,kama wanayo usimlaumu Mbungo,najua ingekuwa wanahojiwa Nccr Mageuzi ungepiga shangwe la kutosha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hatutaki porojo wala utani wala siasa illiterate DJ asakwe popote alipo awekwe mtu kati kujibu wizi wake za mwizi arobaini, watu wa ndani na ni watu wazima wenye heshima zao wabunge wa jamhuri hawa wameripoti kuibiwa chenji zao uchunguzi uwe serious DJ lazima akamatwe afilisiwe sababu “kufa kwa nyoka ni kukatwa kichwa”
 
hivi upotevu wa Tsh tririon 1.5 ilichunguzwa na nani baada ya report ya CAG...,TAKUKURU nayo inaenda kuingia kwenye mtego wa siasa za kilaghai za ccm...poor them
 
NA. PIA NILISIKIA HUKO NYUMA MIEZI KADHAA KUWA KWENYE CHAMA CHETU PENDWA CHAMA TAWALA CCM. KUNAWATU WALIKUWA WAMENUFAIKA NA MALI ZA CHAMA, KAMA MAJENGO VIWANJA NA MIRANDI MBALI MBALI ZA CHAMA. HIVI KUMBE HATA WANAJESHI WANAKIOGOPA CHAMA CHETU CCM. HAKUNA ALIYEOJI SI MSAJILI WALA TAKUKURU. HIKO KAZI . MAREHEMU BABA YANGU ALINIFUNDISHA MSEMO USEMAO, MBWA WA MFALME NI MFALME KWA MBWA WENZAKE. UTOTO BWANA SIKUMUELEWA BABA. KWELI KUA UYAONE.
**** msemo mmoja yesu aliwaambia mafarisayo kuwa, MKIWAZUIA HAWA WATU KUONGE, NITAYA HAMRU MAWE YAONGEE. HAKIKA NAWAAPIA NDG ZANGU NA MARAFIKI WA JF, HATATOKEA BINANADAMU KATIKA KARINE HII WA KUIZUIA DEMOCKRANSIA, Hata chadema wakifugwa, Viongozi wakiama na hata baadhi ya wanachama, LAZIMA TU WATOKEE WATU WA KUOJI.
 
Kwa hiyo TAKUKURU wameamua kufanya kazi ya CAG?
PCCB wanakagua tuhuma. CAG ni kitu kingine kabisa. Tuhuma toka kwa wabunge waliokihama chama na baathi ya wanachama wasiojulikana wanalalamika. Wanasema kuna ubadilifu kwenye pesa walizozichanga na Ruzuku. CAG alikagua matumizi na madeni ya chama. Ruzuku ilivyotoka na kufanya kazi. Wanaoana ni safi. Kumbe hile safi kuna matumizi asiye halali, kulipa kasich halali kwa mfano
 
Kwani huko TRA wanakofanya special audit kunakaguliwa na CAG?
Ndio special audit za TRA hazibagui wewe Ni private au taasisi ya serikali ambayo CAG hukagua .CAG sio final .TRA ,Takukuru waweza zuka wakati wowote
 
PCCB wanakagua tuhuma. CAG ni kitu kingine kabisa. Tuhuma toka kwa wabunge waliokihama chama na baathi ya wanachama wasiojulikana wanalalamika. Wanasema kuna ubadilifu kwenye pesa walizozichanga na Ruzuku. CAG alikagua matumizi na madeni ya chama. Ruzuku ilivyotoka na kufanya kazi. Wanaoana ni safi. Kumbe hile safi kuna matumizi asiye halali, kulipa kasich halali kwa mfano
Huna unachofahamu wewe! CAG anakagua matumizi na mapato yote ya chama, haijalishi ni michango au ruzuku. Hivyo tuhuma zote zinatakiwa kuanzia kwa CAG.
 
Ndio special audit za TRA hazibagui wewe Ni private au taasisi ya serikali ambayo CAG hukagua .CAG sio final .TRA ,Takukuru waweza zuka wakati wowote
Soma vizuri katiba ya nchi utaelewa mamlaka ya CAG katika fedha za umma. TAKUKURU inakaguliwa na CAG lakini TAKUKURU haiwezi kumkagua CAG. TAKUKURU inachoweza kufanya kwa CAG ni kuchunguza jinai.
 
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (Takukuru), imeanza kuchunguza tuhuma za matumizi mabaya ya fedha, inazokikabili Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).

“Kwa mujibu wa taarifa tulizo nazo, kuna matumizi mabaya ya fedha za michango ya wanachama, ambayo kwa mujibu wa katiba yao wanadai imeanishwa wachangie.”

“Lakini, matumizi yake ndio wanatilia mashaka, kuna fedha nyingi zinatumika ndivyo sivyo, kwa mujibu wa makubaliano yao,” amesema Jenerali Mbungo.

“Kwa hiyo, tunachunguza matumizi yasiyo sahihi ya fedha zao, Takukuru inayomamlaka ya kuchunguza taasisi yoyote iwe ya umma, watu binafsi, chama, klabu, iwe chochote Takukuru wanaingia kufanya uchunguzi, ilimradi kuwe na ubadhirifu au matumizi mabaya ya fedha na rushwa,” amesema bosi huyo wa Takukuru.

Mbungo amewataja baadhi ya watakaohojiwa ni; Dk. Vincent Mashinji, aliyekuwa Katibu Mkuu Chadema, ambaye kwa sasa amehamia Chama cha Mapinduzi (CCM), John Mrema, Mkurugenzi wa Itifaki na Mambo ya Nje Chadema, pamoja na mhasibu mkuu wa chama hicho, Dk. Roderick Lutembeka.

Aidha, Jenerali Mbungo amesema wameshindwa kumhoji Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema Taifa, kuhusu sakata hilo, kwa kuwa aliieleza TAKUKURU kwamba yuko nje ya jiji la Dar es Salaam.

Amesema, taasisi hiyo imeshaanza kukusanya nyaraka mbalimbali, zinazohusiana na tuhuma hizo.

“Tumeshapata nyaraka kutoka sehemu mbalimbali, wametupatia nyaraka, wamekuwa wanatoa ushirikiano katika hili,” amesema Mbungo.

Jumamosi ya tarehe 23 Mei 2020, Benson Kigaila, Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Bara, alikanusha tuhuma hizo, akisema kwamba, hakuna uthibitisho unaoonesha chama hicho kina matumizi mabaya ya fedha.

Kigaila alisema, fedha za michango ya wabunge na zinazotoka kwa wadau wengine wa Chadema, matumizi yake hupangwa na vikao vyake vya chama, wakati bajeti ya matumizi hayo ikipitishwa na baraza kuu, kisha taarifa zake hutolewa na kamati kuu ya chama hicho.

Kigaila alisema, Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), hukagua taarifa za matumizi ya Chadema, na kwamba kwa mujibu wa ukaguzi huo, hakuna ushahidi kuhusu tuhuma za matumizi mabaya ya fedha.
Hivi yule Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo aliyetuhumiwa kupora zaidi ya Bil . 1 katika kikao cha madiwani wa Ubungo vipi Takukuru wamefikia wapi na Kesi yake?

Vipi kuhusu yule Mkurugenzi wa Benki ya Kilimo (TADB) aliyejichotea mahela akaenda kukarabati nyumba ya kupanga nae vipi kesi yake imefikia wapi? Manake hizi ni kesi zilizotangulia kabla ya kesi ya cdma
 
Back
Top Bottom