Uchaguzi 2020 Takwimu hazidanganyi: CCM wameshashinda Uchaguzi kwa Idadi ya Kura za Kanda ya Ziwa

Uchaguzi 2020 Takwimu hazidanganyi: CCM wameshashinda Uchaguzi kwa Idadi ya Kura za Kanda ya Ziwa

KWA UTEKELEZAJI HUU NA MAENDELEO HAYA USHINDI KWA SISI NI MTELEMKO
1599556249280.png
 
Wapinzani wanajua kabisa hawapiti isipokua sasa zile pesa walizopata kupitia ruzuku zinakaguliwa na CAG lazima zionekane zimetumikaje. Hapo ndipo watu wanapopiga pesa sasa mwisho wa siku wewe mlala hoi unaenda kupigwa kwenye maandamano unapigwa na jua mchana ili yaonekane mafuriko lakini wengine wameishavuta mipigo yao wametulia kimya. Wanapiga kwenye utengenezaji wa tshirt, kofia, kuandaa magri ya muziki, kupamba jukwaa nk
Wewe mtoa mada hii, hivi jana ni shule gani ya Mwanza ambayo haikufungwa kwenda kujaza uwanja wa Kirumba? Mbona waalimu wote waliambiwa wakasaini kudhuria kampeni za ccm, kama anapendwa kwa nini wafanyakazi wamelazimishwa? wewe mpuuzi kweli
 
Anafanya kampeni kulinda na kusuport democrasia lakn pia awe bora zaid kwa kikundi cha wahuni wanaojiita wapinzani
Kumbe na bishana na lofa.kuhita wapinzani wahuni ni lazima uwe lofa wa kiwango cha juu
 
Ni kama ambavyo wakati wote nimesisitiza kuwa Uchaguzi ni maarifa, mipango na akili, hakuna kitu kina guarantee ushindi katika mpambano wa kisiasa kama kuchanga karata zako vyema, na kwa kuitazama CCM chama changu, ni wazi kuwa Viongozi wake na Mgombea mwenyewe amejipanga vyema sana. Leo nitafafanua eneo moja tu la RATIBA ya Mgombea na namna inavyomsaidia kumaliza hii game mapema.

Mikoa ambayo Mgombea wa CCM aliyokwishapita na kupata mapokezi ya kuridhisha ni pamoja na Dodoma, Singida, Tabora, Shinyanga, Simiyu, Mara, Mwanza na leo anapokelewa nyumbani Geita. Ratiba hii inamkutanisha Mgombea na takribani wapiga kura 11.2 M ambapo Dom (1.33 M) Singida (0.85M) Tabora (1.5M) Shinyanga (1M) Simiyu (0.9) Mara (1.1) Mwanza (1.9) Geita (1.21) Kagera (1.4M).

Based on voters behaviour katika ya wananchi 29M waliojiandikisha, ni wananchi kati ya 12 - 16M watajitokeza kupiga kura mwaka huu, Ikiwa magufuli tayari anakura takribani 11M, ni wazi kuwa tayari Ndugu Magufuli ni Rais anayesubiri kuapishwa.

Mapokezi yanayoonekana kimsingi yana reflect uhalisia wa watu wa jamii ile wanapompenda mtu huwa hawawezi kujificha, ukweli ni kuwa MAGUFULI anapendwa sanaaaa na jamii ya watu wa Kanda ya Ziwa, utetezi kuwa watu wanabebwa na malori na kulazimishwa kuhudhuria mikutano ya Mgombea Urais huyo ni Upuuzi unaopaswa kupuuzwa, U can't stage watu vijijini wanaojaza umati kwenye mabarabara., ingekuwa ni Rais hivyo basi na Upinzani wangeweza kufanya tu, badala ya kupata aibu wanayokutana nayo akina Lissu huko Dodoma na KibandaMaiti ama Aibu anayokutana nayo Mzee wangu Membe.

View attachment 1562663
Takwimu zinaonyesha kuwa voters behaviour katika chaguzi ambazo Mgombea wa CCM anaendelea (Kwa maana ya Mgombea ambae ni Rais) hamasa ya wapiga kura inapungua na kwa mwaka 2010 ambapo Mheshimiwa Jakaya Kikwete alikuwa anaendelea na awamu yake ya pili waliojiandikisha walikuwa 20.1M na waliopiga kura ni 8.6M tu sawa na 42%, mwaka 2015 waliojiandikisha walikuwa 24.6 M waliopiga kura ni 15M tu. Kwa behaviour hiyo tunategemea kuwa mwaka huu pia ni kati ya asilimia 40%- 50% watajitokeza kupiga kura.

Tabia ya wapiga kura wa kanda ya ziwa ni kuwa wana msimamo, mwaka 2015 Mikoa ambayo Ndugu Magufuli alipata kura nyingi ukiacha Dodoma mingine yote ni mikoa ya Kanda ya Ziwa (Geita, Mwanza, Kagera, Shinyanga n.k) na kutokana na tabia ya jamii hiyo kutobadilika ni wazi mwaka huu pia watamchagua tena Magufuli.

Utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi na Ahadi za Rais katika Mikoa ya Kanda ya Ziwa ni kielelezo kingine cha wazi kabisa kuwa Wananchi wa Kanda hiyo wameuona na kushuhudia WEMA wa Rais Magufuli kwao, amejenga miundombinu na huduma za kutosha mpaka wapinzani wakaona waitumie propaganda kuwa Kanda hiyo inapendelewa na kuonyesha choyo kwa watu hao (Hoja nyingine ya kuwanyima Kura) na kwa kweli jamii hiyo ya watu wanajua kukirimu mtu aliyewafanyia wema. Magufuli ni mwema sana kwao, watampa kura nyingi.

Hoja ya Uzawa bado ina nguvu katika Siasa za Nchi yetu, pamoja na ukweli kuwa hatuchaguani kwa UKABILA lakini hoja ya Uzawa na Uenyeji ni kigezo tosha cha kupata kura katika maeneo mengi nchini, wale waliokuwa watia nia wanalijua hili kwa uhalisia baada ya kukutana na hasira za wajumbe ambao waliwaona kuwa wao ni wageni kwani wengi walitoka Dar kwenda kugombea Vijijini, WALIKATALIWA kwa hoja ya Uenyeji na Uzawa, magufuli ni Mzawa na mwenyeji wa Kanda ya Ziwa, ni mtoto wao...na mcheza kwao hutuzwa.

Pamoja na takwimu kuonyesha kuwa watanznaia katika kipindi cha uchaguzi wa marudio na ule wa Mgombea akiwa Rais hawajitokezi sana kupiga kura kwa maana hamasa yao ya kushiriki siasa iko chini sana, imeonyesha tofauti kwa wapiga kura wa Kanda ya Ziwa, Mwaka 2015 takwimu zimeonyesha asilimia 86.7% ya waliojiandikisha walipiga kura, wakati maeneo mengine yakionyesha asilimia kati ya 50% na 60% ndio waliojitokeza kupiga kura.

RATIBA ya WAGOMBEA wa UPINZANI
Lissu alianza Vibaya sana DAR (wakafukuza wanahabari), akaenda kuharibu ARUSHA (wakasingizia mechi ya Simba) akaenda kupata mapokezi hafifu MWANZA (comparing to Magufuli) akaenda kujiliza SHINYANGA, akanyanyapaliwa TABORA na akapata aibu ya mwaka DODOMA, akafutwa machozi MBEYA na baadae akachungulia Kaburi KIBANDA MAITI - ZANZIBAR ambapo ilibidi aombe msaaad wa ACT kuita watu na kukaribisha Viongozi wao kuhutubia na akaishia kumuombea kura Maalim.... Katika mikoa takribani 10 aliyotembelea Lisu amepata mapokezi ya kuridhisha MBEYA tu.
View attachment 1562676

Mbobezi naona amekata moto kabisa, ratiba yao ilionyesha Uzinduzi LINDI, walipaswa kuwa MTWARA baada ya hapo, Kisha RUVUMA na baadae NJOMBE. Kimsingi huyu Mzee hajatoka nje ya LINDI, yupo anapiga kampeni za Kata za Lindi ambazo mahudhurio yake yanachekesha na kimsingi anajutia maamumzi yake, BIG TIME..yaani nimemuona ametoka Nje ya Lindi kituo kilichofuata ilikuwa ni kipindi cha Dakika 45 cha ITV....Aibu.
View attachment 1562678


Narudia tena Kampeni ni maarifa, mipango na akili na wapinzani wamepungukiwa na vyote...!!
Kwa nini analazimisha watu waende kwa lazima kuhudhuria kampeni kama anakubalika?
 
Ukiachilia mbali kuwa JPM amefanya vyema katika uongozi wake wa miaka mitano, sera na mikakati kwa ilani mpya lakini pia coverage aliyoifanya JPM kuwafikia wananchi haswa wa vijijini ni kubwa mara dufu, Tunataraji ushindi mkubwa kwa CCM na JPM uchaguzi huu
 
Kweli Tundu Lissu kawashika MATAGA kunako....

Lissu shikilia hapo hapo usilegeze baba - imeisha hiyo!
Hahahaha hata wakati Mange anawahamasisha kuingia barabarani mlijipa moyo hivihivi lakini matendo ikawa sifuri. Makamanda full matumaini
 
Pole sana Magufuri siyo msubi. Hilo eneo la chato robo tatu ya wakaazi ni wasukuma ambao walihamia miaka ya katikati ya hamsini kwa ajili ya kilimo cha pamba. Si hapo tu chato wasukuma wapo shimwanyi, kyamuyolwa ambayo yako wilaya ya Muleba eneo lote la kusini ya mji wa Biharamulo hadi Kakonko mkoani Kigoma wasukuma wamejaa na sasa wameshaingia wilaya ya karagwe na wanalima mpunga na kufuga kwa kwenda mbele. Halafu eti unasema Geita Magufuri hapendwi Geita, nani anakudanganya, mkoa wa Geita una majimbo ya Uchaguzi saba na yote CCM ilishinda mwaka 2015. Aidha, kusema eti Mara ni nusu kwa nusu ni uongo, mkoani wa Mara kwenye upinzani wa kweli ni Majimbo mawili tu ya Tarime, wakati Rorya, Musoma mjini na vijijini, Bunda vijijini Mwibara pamoja na Butiama na robo tatu ya Serengeti ni CCM tu kwa kwenda mbele, sasa hiyo nusu kwa nusu unaipata wapi ? Huko Kagera upinzani ni robo tu kote CCM tu. Wadanganye wasioifahamu kanda ya Ziwa.
Usijidanganye kuwa Magufuli anakubalika kanda ya ziwa kwa lile tamasha. Mkoa wa mara ni nusu kwa nusu, Mkoa wa Kagera hawataki kumsikia kwa matusi yake wakati wa tetemeko.

Hata kwao geita hakubaliki kivile, turufu yake iko Mwanza na anatumia mbinu ya kuongea kisukuma mikutanoni wakati ye kazaliwa Chato, wilaya Biharamulo, mkoa wa Kagera, kabila msubi. Aliileta Chato geita kimkakati baada ya kuwa apendwi kule Biharamulo
 
Ni kama ambavyo wakati wote nimesisitiza kuwa Uchaguzi ni maarifa, mipango na akili, hakuna kitu kina guarantee ushindi katika mpambano wa kisiasa kama kuchanga karata zako vyema, na kwa kuitazama CCM chama changu, ni wazi kuwa Viongozi wake na Mgombea mwenyewe amejipanga vyema sana. Leo nitafafanua eneo moja tu la RATIBA ya Mgombea na namna inavyomsaidia kumaliza hii game mapema.

Mikoa ambayo Mgombea wa CCM aliyokwishapita na kupata mapokezi ya kuridhisha ni pamoja na Dodoma, Singida, Tabora, Shinyanga, Simiyu, Mara, Mwanza na leo anapokelewa nyumbani Geita. Ratiba hii inamkutanisha Mgombea na takribani wapiga kura 11.2 M ambapo Dom (1.33 M) Singida (0.85M) Tabora (1.5M) Shinyanga (1M) Simiyu (0.9) Mara (1.1) Mwanza (1.9) Geita (1.21) Kagera (1.4M).

Based on voters behaviour katika ya wananchi 29M waliojiandikisha, ni wananchi kati ya 12 - 16M watajitokeza kupiga kura mwaka huu, Ikiwa magufuli tayari anakura takribani 11M, ni wazi kuwa tayari Ndugu Magufuli ni Rais anayesubiri kuapishwa.

Mapokezi yanayoonekana kimsingi yana reflect uhalisia wa watu wa jamii ile wanapompenda mtu huwa hawawezi kujificha, ukweli ni kuwa MAGUFULI anapendwa sanaaaa na jamii ya watu wa Kanda ya Ziwa, utetezi kuwa watu wanabebwa na malori na kulazimishwa kuhudhuria mikutano ya Mgombea Urais huyo ni Upuuzi unaopaswa kupuuzwa, U can't stage watu vijijini wanaojaza umati kwenye mabarabara., ingekuwa ni Rais hivyo basi na Upinzani wangeweza kufanya tu, badala ya kupata aibu wanayokutana nayo akina Lissu huko Dodoma na KibandaMaiti ama Aibu anayokutana nayo Mzee wangu Membe.

View attachment 1562663
Takwimu zinaonyesha kuwa voters behaviour katika chaguzi ambazo Mgombea wa CCM anaendelea (Kwa maana ya Mgombea ambae ni Rais) hamasa ya wapiga kura inapungua na kwa mwaka 2010 ambapo Mheshimiwa Jakaya Kikwete alikuwa anaendelea na awamu yake ya pili waliojiandikisha walikuwa 20.1M na waliopiga kura ni 8.6M tu sawa na 42%, mwaka 2015 waliojiandikisha walikuwa 24.6 M waliopiga kura ni 15M tu. Kwa behaviour hiyo tunategemea kuwa mwaka huu pia ni kati ya asilimia 40%- 50% watajitokeza kupiga kura.

Tabia ya wapiga kura wa kanda ya ziwa ni kuwa wana msimamo, mwaka 2015 Mikoa ambayo Ndugu Magufuli alipata kura nyingi ukiacha Dodoma mingine yote ni mikoa ya Kanda ya Ziwa (Geita, Mwanza, Kagera, Shinyanga n.k) na kutokana na tabia ya jamii hiyo kutobadilika ni wazi mwaka huu pia watamchagua tena Magufuli.

Utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi na Ahadi za Rais katika Mikoa ya Kanda ya Ziwa ni kielelezo kingine cha wazi kabisa kuwa Wananchi wa Kanda hiyo wameuona na kushuhudia WEMA wa Rais Magufuli kwao, amejenga miundombinu na huduma za kutosha mpaka wapinzani wakaona waitumie propaganda kuwa Kanda hiyo inapendelewa na kuonyesha choyo kwa watu hao (Hoja nyingine ya kuwanyima Kura) na kwa kweli jamii hiyo ya watu wanajua kukirimu mtu aliyewafanyia wema. Magufuli ni mwema sana kwao, watampa kura nyingi.

Hoja ya Uzawa bado ina nguvu katika Siasa za Nchi yetu, pamoja na ukweli kuwa hatuchaguani kwa UKABILA lakini hoja ya Uzawa na Uenyeji ni kigezo tosha cha kupata kura katika maeneo mengi nchini, wale waliokuwa watia nia wanalijua hili kwa uhalisia baada ya kukutana na hasira za wajumbe ambao waliwaona kuwa wao ni wageni kwani wengi walitoka Dar kwenda kugombea Vijijini, WALIKATALIWA kwa hoja ya Uenyeji na Uzawa, magufuli ni Mzawa na mwenyeji wa Kanda ya Ziwa, ni mtoto wao...na mcheza kwao hutuzwa.

Pamoja na takwimu kuonyesha kuwa watanznaia katika kipindi cha uchaguzi wa marudio na ule wa Mgombea akiwa Rais hawajitokezi sana kupiga kura kwa maana hamasa yao ya kushiriki siasa iko chini sana, imeonyesha tofauti kwa wapiga kura wa Kanda ya Ziwa, Mwaka 2015 takwimu zimeonyesha asilimia 86.7% ya waliojiandikisha walipiga kura, wakati maeneo mengine yakionyesha asilimia kati ya 50% na 60% ndio waliojitokeza kupiga kura.

RATIBA ya WAGOMBEA wa UPINZANI
Lissu alianza Vibaya sana DAR (wakafukuza wanahabari), akaenda kuharibu ARUSHA (wakasingizia mechi ya Simba) akaenda kupata mapokezi hafifu MWANZA (comparing to Magufuli) akaenda kujiliza SHINYANGA, akanyanyapaliwa TABORA na akapata aibu ya mwaka DODOMA, akafutwa machozi MBEYA na baadae akachungulia Kaburi KIBANDA MAITI - ZANZIBAR ambapo ilibidi aombe msaaad wa ACT kuita watu na kukaribisha Viongozi wao kuhutubia na akaishia kumuombea kura Maalim.... Katika mikoa takribani 10 aliyotembelea Lisu amepata mapokezi ya kuridhisha MBEYA tu.
View attachment 1562676

Mbobezi naona amekata moto kabisa, ratiba yao ilionyesha Uzinduzi LINDI, walipaswa kuwa MTWARA baada ya hapo, Kisha RUVUMA na baadae NJOMBE. Kimsingi huyu Mzee hajatoka nje ya LINDI, yupo anapiga kampeni za Kata za Lindi ambazo mahudhurio yake yanachekesha na kimsingi anajutia maamumzi yake, BIG TIME..yaani nimemuona ametoka Nje ya Lindi kituo kilichofuata ilikuwa ni kipindi cha Dakika 45 cha ITV....Aibu.
View attachment 1562678


Narudia tena Kampeni ni maarifa, mipango na akili na wapinzani wamepungukiwa na vyote...!!
Ngoja nijibanze pembeni kushuhudia unavyovurumishiwa matusi
 
Ni kama ambavyo wakati wote nimesisitiza kuwa Uchaguzi ni maarifa, mipango na akili, hakuna kitu kina guarantee ushindi katika mpambano wa kisiasa kama kuchanga karata zako vyema, na kwa kuitazama CCM chama changu, ni wazi kuwa Viongozi wake na Mgombea mwenyewe amejipanga vyema sana. Leo nitafafanua eneo moja tu la RATIBA ya Mgombea na namna inavyomsaidia kumaliza hii game mapema.

Mikoa ambayo Mgombea wa CCM aliyokwishapita na kupata mapokezi ya kuridhisha ni pamoja na Dodoma, Singida, Tabora, Shinyanga, Simiyu, Mara, Mwanza na leo anapokelewa nyumbani Geita. Ratiba hii inamkutanisha Mgombea na takribani wapiga kura 11.2 M ambapo Dom (1.33 M) Singida (0.85M) Tabora (1.5M) Shinyanga (1M) Simiyu (0.9) Mara (1.1) Mwanza (1.9) Geita (1.21) Kagera (1.4M).

Based on voters behaviour katika ya wananchi 29M waliojiandikisha, ni wananchi kati ya 12 - 16M watajitokeza kupiga kura mwaka huu, Ikiwa magufuli tayari anakura takribani 11M, ni wazi kuwa tayari Ndugu Magufuli ni Rais anayesubiri kuapishwa.

Mapokezi yanayoonekana kimsingi yana reflect uhalisia wa watu wa jamii ile wanapompenda mtu huwa hawawezi kujificha, ukweli ni kuwa MAGUFULI anapendwa sanaaaa na jamii ya watu wa Kanda ya Ziwa, utetezi kuwa watu wanabebwa na malori na kulazimishwa kuhudhuria mikutano ya Mgombea Urais huyo ni Upuuzi unaopaswa kupuuzwa, U can't stage watu vijijini wanaojaza umati kwenye mabarabara., ingekuwa ni Rais hivyo basi na Upinzani wangeweza kufanya tu, badala ya kupata aibu wanayokutana nayo akina Lissu huko Dodoma na KibandaMaiti ama Aibu anayokutana nayo Mzee wangu Membe.

View attachment 1562663
Takwimu zinaonyesha kuwa voters behaviour katika chaguzi ambazo Mgombea wa CCM anaendelea (Kwa maana ya Mgombea ambae ni Rais) hamasa ya wapiga kura inapungua na kwa mwaka 2010 ambapo Mheshimiwa Jakaya Kikwete alikuwa anaendelea na awamu yake ya pili waliojiandikisha walikuwa 20.1M na waliopiga kura ni 8.6M tu sawa na 42%, mwaka 2015 waliojiandikisha walikuwa 24.6 M waliopiga kura ni 15M tu. Kwa behaviour hiyo tunategemea kuwa mwaka huu pia ni kati ya asilimia 40%- 50% watajitokeza kupiga kura.

Tabia ya wapiga kura wa kanda ya ziwa ni kuwa wana msimamo, mwaka 2015 Mikoa ambayo Ndugu Magufuli alipata kura nyingi ukiacha Dodoma mingine yote ni mikoa ya Kanda ya Ziwa (Geita, Mwanza, Kagera, Shinyanga n.k) na kutokana na tabia ya jamii hiyo kutobadilika ni wazi mwaka huu pia watamchagua tena Magufuli.

Utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi na Ahadi za Rais katika Mikoa ya Kanda ya Ziwa ni kielelezo kingine cha wazi kabisa kuwa Wananchi wa Kanda hiyo wameuona na kushuhudia WEMA wa Rais Magufuli kwao, amejenga miundombinu na huduma za kutosha mpaka wapinzani wakaona waitumie propaganda kuwa Kanda hiyo inapendelewa na kuonyesha choyo kwa watu hao (Hoja nyingine ya kuwanyima Kura) na kwa kweli jamii hiyo ya watu wanajua kukirimu mtu aliyewafanyia wema. Magufuli ni mwema sana kwao, watampa kura nyingi.

Hoja ya Uzawa bado ina nguvu katika Siasa za Nchi yetu, pamoja na ukweli kuwa hatuchaguani kwa UKABILA lakini hoja ya Uzawa na Uenyeji ni kigezo tosha cha kupata kura katika maeneo mengi nchini, wale waliokuwa watia nia wanalijua hili kwa uhalisia baada ya kukutana na hasira za wajumbe ambao waliwaona kuwa wao ni wageni kwani wengi walitoka Dar kwenda kugombea Vijijini, WALIKATALIWA kwa hoja ya Uenyeji na Uzawa, magufuli ni Mzawa na mwenyeji wa Kanda ya Ziwa, ni mtoto wao...na mcheza kwao hutuzwa.

Pamoja na takwimu kuonyesha kuwa watanznaia katika kipindi cha uchaguzi wa marudio na ule wa Mgombea akiwa Rais hawajitokezi sana kupiga kura kwa maana hamasa yao ya kushiriki siasa iko chini sana, imeonyesha tofauti kwa wapiga kura wa Kanda ya Ziwa, Mwaka 2015 takwimu zimeonyesha asilimia 86.7% ya waliojiandikisha walipiga kura, wakati maeneo mengine yakionyesha asilimia kati ya 50% na 60% ndio waliojitokeza kupiga kura.

RATIBA ya WAGOMBEA wa UPINZANI
Lissu alianza Vibaya sana DAR (wakafukuza wanahabari), akaenda kuharibu ARUSHA (wakasingizia mechi ya Simba) akaenda kupata mapokezi hafifu MWANZA (comparing to Magufuli) akaenda kujiliza SHINYANGA, akanyanyapaliwa TABORA na akapata aibu ya mwaka DODOMA, akafutwa machozi MBEYA na baadae akachungulia Kaburi KIBANDA MAITI - ZANZIBAR ambapo ilibidi aombe msaaad wa ACT kuita watu na kukaribisha Viongozi wao kuhutubia na akaishia kumuombea kura Maalim.... Katika mikoa takribani 10 aliyotembelea Lisu amepata mapokezi ya kuridhisha MBEYA tu.
View attachment 1562676

Mbobezi naona amekata moto kabisa, ratiba yao ilionyesha Uzinduzi LINDI, walipaswa kuwa MTWARA baada ya hapo, Kisha RUVUMA na baadae NJOMBE. Kimsingi huyu Mzee hajatoka nje ya LINDI, yupo anapiga kampeni za Kata za Lindi ambazo mahudhurio yake yanachekesha na kimsingi anajutia maamumzi yake, BIG TIME..yaani nimemuona ametoka Nje ya Lindi kituo kilichofuata ilikuwa ni kipindi cha Dakika 45 cha ITV....Aibu.
View attachment 1562678


Narudia tena Kampeni ni maarifa, mipango na akili na wapinzani wamepungukiwa na vyote...!!
Kura Milion 11 zinatoka wapi?
 
Naona Bashiu kawatuma na mmesikia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kagera, Tundu Lissu hajulikani ni Magufuli tu! Na kumbuka tetemeko la Kagera liliwaumiza watu wa Bukoba mjini na viunga vyake ambayo ni ngome ya CHADEMA (Mh. Rwakatale - wakati huo) sehemu zilizo baki za Kagera ni ngome ya CCM na hawakuathirika na tetemeko! Hivyo comment za JPM kuhusu tetemeko, ni wachache watakao mind!
Wee jamaa vipi...

Wakulima wa hili zao letu ,walokua wanauza mzigo Uganda kwa bei kubwa.


Jiwe akaamlisha wasiuze, serikal itanunua matokeo yake, Chini ya Polisi, na wenye viti aa mitaaa, wakawa wanapita mji hadi mji. Wanakupigia hesabu yao utake usitake????

Unadhan iyo ni Bukoba mjin?????



Wee jamaa vipi weee hahahahahahah


Subiri Lissi aende.
 
Pole sana Magufuri siyo msubi. Hilo eneo la chato robo tatu ya wakaazi ni wasukuma ambao walihamia miaka ya katikati ya hamsini kwa ajili ya kilimo cha pamba. Si hapo tu chato wasukuma wapo shimwanyi, kyamuyolwa ambayo yako wilaya ya Muleba eneo lote la kusini ya mji wa Biharamulo hadi Kakonko mkoani Kigoma wasukuma wamejaa na sasa wameshaingia wilaya ya karagwe na wanalima mpunga na kufuga kwa kwenda mbele. Halafu eti unasema Geita Magufuri hapendwi Geita, nani anakudanganya, mkoa wa Geita una majimbo ya Uchaguzi saba na yote CCM ilishinda mwaka 2015. Aidha, kusema eti Mara ni nusu kwa nusu ni uongo, mkoani wa Mara kwenye upinzani wa kweli ni Majimbo mawili tu ya Tarime, wakati Rorya, Musoma mjini na vijijini, Bunda vijijini Mwibara pamoja na Butiama na robo tatu ya Serengeti ni CCM tu kwa kwenda mbele, sasa hiyo nusu kwa nusu unaipata wapi ? Huko Kagera upinzani ni robo tu kote CCM tu. Wadanganye wasioifahamu kanda ya Ziwa.
Kuna kitu ukielewe.kuna watu wanaipenda ccm ila hawampendi magufuli yeye kama yeye.mimi niko kwenye hilo group na ni mwana kanda ya ziwa ila hata chato kuna watu hawampendi magu tena wengi tu
 
Magu Hana watu, Hao wanaenda wakidhani watapewa hela, watumishi wanafunzi wanalazimishwa, Malori yana Simba watu kutokamikoa ya jirani kupeleka watu, wengine wanafuata tamasha la fiesta

Hizo takwimu zinakudanganya, umeona shazi la zenji Jana?
 
Kuna kitu ukielewe.kuna watu wanaipenda ccm ila hawampendi magufuli yeye kama yeye.mimi niko kwenye hilo group na ni mwana kanda ya ziwa ila hata chato kuna watu hawampendi magu tena wengi tu
Mbona huko chato na maeneo mengine ya mkoa wa Geita wapinzani hawana jimbo hata moja ? Hao wanagroup wenzio ni kama tone la maji katika bahari kuu.
 
Ni kama ambavyo wakati wote nimesisitiza kuwa Uchaguzi ni maarifa, mipango na akili, hakuna kitu kina guarantee ushindi katika mpambano wa kisiasa kama kuchanga karata zako vyema, na kwa kuitazama CCM chama changu, ni wazi kuwa Viongozi wake na Mgombea mwenyewe amejipanga vyema sana. Leo nitafafanua eneo moja tu la RATIBA ya Mgombea na namna inavyomsaidia kumaliza hii game mapema.

Mikoa ambayo Mgombea wa CCM aliyokwishapita na kupata mapokezi ya kuridhisha ni pamoja na Dodoma, Singida, Tabora, Shinyanga, Simiyu, Mara, Mwanza na leo anapokelewa nyumbani Geita. Ratiba hii inamkutanisha Mgombea na takribani wapiga kura 11.2 M ambapo Dom (1.33 M) Singida (0.85M) Tabora (1.5M) Shinyanga (1M) Simiyu (0.9) Mara (1.1) Mwanza (1.9) Geita (1.21) Kagera (1.4M).

Based on voters behaviour katika ya wananchi 29M waliojiandikisha, ni wananchi kati ya 12 - 16M watajitokeza kupiga kura mwaka huu, Ikiwa magufuli tayari anakura takribani 11M, ni wazi kuwa tayari Ndugu Magufuli ni Rais anayesubiri kuapishwa.

Mapokezi yanayoonekana kimsingi yana reflect uhalisia wa watu wa jamii ile wanapompenda mtu huwa hawawezi kujificha, ukweli ni kuwa MAGUFULI anapendwa sanaaaa na jamii ya watu wa Kanda ya Ziwa, utetezi kuwa watu wanabebwa na malori na kulazimishwa kuhudhuria mikutano ya Mgombea Urais huyo ni Upuuzi unaopaswa kupuuzwa, U can't stage watu vijijini wanaojaza umati kwenye mabarabara., ingekuwa ni Rais hivyo basi na Upinzani wangeweza kufanya tu, badala ya kupata aibu wanayokutana nayo akina Lissu huko Dodoma na KibandaMaiti ama Aibu anayokutana nayo Mzee wangu Membe.

View attachment 1562663
Takwimu zinaonyesha kuwa voters behaviour katika chaguzi ambazo Mgombea wa CCM anaendelea (Kwa maana ya Mgombea ambae ni Rais) hamasa ya wapiga kura inapungua na kwa mwaka 2010 ambapo Mheshimiwa Jakaya Kikwete alikuwa anaendelea na awamu yake ya pili waliojiandikisha walikuwa 20.1M na waliopiga kura ni 8.6M tu sawa na 42%, mwaka 2015 waliojiandikisha walikuwa 24.6 M waliopiga kura ni 15M tu. Kwa behaviour hiyo tunategemea kuwa mwaka huu pia ni kati ya asilimia 40%- 50% watajitokeza kupiga kura.

Tabia ya wapiga kura wa kanda ya ziwa ni kuwa wana msimamo, mwaka 2015 Mikoa ambayo Ndugu Magufuli alipata kura nyingi ukiacha Dodoma mingine yote ni mikoa ya Kanda ya Ziwa (Geita, Mwanza, Kagera, Shinyanga n.k) na kutokana na tabia ya jamii hiyo kutobadilika ni wazi mwaka huu pia watamchagua tena Magufuli.

Utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi na Ahadi za Rais katika Mikoa ya Kanda ya Ziwa ni kielelezo kingine cha wazi kabisa kuwa Wananchi wa Kanda hiyo wameuona na kushuhudia WEMA wa Rais Magufuli kwao, amejenga miundombinu na huduma za kutosha mpaka wapinzani wakaona waitumie propaganda kuwa Kanda hiyo inapendelewa na kuonyesha choyo kwa watu hao (Hoja nyingine ya kuwanyima Kura) na kwa kweli jamii hiyo ya watu wanajua kukirimu mtu aliyewafanyia wema. Magufuli ni mwema sana kwao, watampa kura nyingi.

Hoja ya Uzawa bado ina nguvu katika Siasa za Nchi yetu, pamoja na ukweli kuwa hatuchaguani kwa UKABILA lakini hoja ya Uzawa na Uenyeji ni kigezo tosha cha kupata kura katika maeneo mengi nchini, wale waliokuwa watia nia wanalijua hili kwa uhalisia baada ya kukutana na hasira za wajumbe ambao waliwaona kuwa wao ni wageni kwani wengi walitoka Dar kwenda kugombea Vijijini, WALIKATALIWA kwa hoja ya Uenyeji na Uzawa, magufuli ni Mzawa na mwenyeji wa Kanda ya Ziwa, ni mtoto wao...na mcheza kwao hutuzwa.

Pamoja na takwimu kuonyesha kuwa watanznaia katika kipindi cha uchaguzi wa marudio na ule wa Mgombea akiwa Rais hawajitokezi sana kupiga kura kwa maana hamasa yao ya kushiriki siasa iko chini sana, imeonyesha tofauti kwa wapiga kura wa Kanda ya Ziwa, Mwaka 2015 takwimu zimeonyesha asilimia 86.7% ya waliojiandikisha walipiga kura, wakati maeneo mengine yakionyesha asilimia kati ya 50% na 60% ndio waliojitokeza kupiga kura.

RATIBA ya WAGOMBEA wa UPINZANI
Lissu alianza Vibaya sana DAR (wakafukuza wanahabari), akaenda kuharibu ARUSHA (wakasingizia mechi ya Simba) akaenda kupata mapokezi hafifu MWANZA (comparing to Magufuli) akaenda kujiliza SHINYANGA, akanyanyapaliwa TABORA na akapata aibu ya mwaka DODOMA, akafutwa machozi MBEYA na baadae akachungulia Kaburi KIBANDA MAITI - ZANZIBAR ambapo ilibidi aombe msaaad wa ACT kuita watu na kukaribisha Viongozi wao kuhutubia na akaishia kumuombea kura Maalim.... Katika mikoa takribani 10 aliyotembelea Lisu amepata mapokezi ya kuridhisha MBEYA tu.
View attachment 1562676

Mbobezi naona amekata moto kabisa, ratiba yao ilionyesha Uzinduzi LINDI, walipaswa kuwa MTWARA baada ya hapo, Kisha RUVUMA na baadae NJOMBE. Kimsingi huyu Mzee hajatoka nje ya LINDI, yupo anapiga kampeni za Kata za Lindi ambazo mahudhurio yake yanachekesha na kimsingi anajutia maamumzi yake, BIG TIME..yaani nimemuona ametoka Nje ya Lindi kituo kilichofuata ilikuwa ni kipindi cha Dakika 45 cha ITV....Aibu.
View attachment 1562678


Narudia tena Kampeni ni maarifa, mipango na akili na wapinzani wamepungukiwa na vyote...!!
Mleta mada anaamini watakaojitokeza kupiga kura ni kati ya 12m hadi 16m halafu kanda ya ziwa anakuambia kwatakwimu zake mgombea wake atapata 11m ambao kwa hesabu zake ndio wapigakura waliopo kanda ya kati na ziwa pia ushahidi wake mkubwa ni kujaza mikutano ila amesahau variance za ujazaji mikutano kwa factor kama za wasanii wanaovutia watu kujaa na watoto wadogo wanaokuja kujaza mikutano ile hali upinzani ni sera tu bila wanasanii hivyo anapelekea kuwa na takwimu zisizo na uhalisia muhimu nikuruhusu uchaguzi huru na wa haki kila mmoja ahubiri hilo na mazingira hayo yawekwe hivyo na media ziwe fair kwa wagombea wote hakika mtakuja kujua hamjui na hilo liko wazi mnalifahamu.
 
Ni kama ambavyo wakati wote nimesisitiza kuwa Uchaguzi ni maarifa, mipango na akili, hakuna kitu kina guarantee ushindi katika mpambano wa kisiasa kama kuchanga karata zako vyema, na kwa kuitazama CCM chama changu, ni wazi kuwa Viongozi wake na Mgombea mwenyewe amejipanga vyema sana. Leo nitafafanua eneo moja tu la RATIBA ya Mgombea na namna inavyomsaidia kumaliza hii game mapema.

Mikoa ambayo Mgombea wa CCM aliyokwishapita na kupata mapokezi ya kuridhisha ni pamoja na Dodoma, Singida, Tabora, Shinyanga, Simiyu, Mara, Mwanza na leo anapokelewa nyumbani Geita. Ratiba hii inamkutanisha Mgombea na takribani wapiga kura 11.2 M ambapo Dom (1.33 M) Singida (0.85M) Tabora (1.5M) Shinyanga (1M) Simiyu (0.9) Mara (1.1) Mwanza (1.9) Geita (1.21) Kagera (1.4M).

Based on voters behaviour katika ya wananchi 29M waliojiandikisha, ni wananchi kati ya 12 - 16M watajitokeza kupiga kura mwaka huu, Ikiwa magufuli tayari anakura takribani 11M, ni wazi kuwa tayari Ndugu Magufuli ni Rais anayesubiri kuapishwa.

Mapokezi yanayoonekana kimsingi yana reflect uhalisia wa watu wa jamii ile wanapompenda mtu huwa hawawezi kujificha, ukweli ni kuwa MAGUFULI anapendwa sanaaaa na jamii ya watu wa Kanda ya Ziwa, utetezi kuwa watu wanabebwa na malori na kulazimishwa kuhudhuria mikutano ya Mgombea Urais huyo ni Upuuzi unaopaswa kupuuzwa, U can't stage watu vijijini wanaojaza umati kwenye mabarabara., ingekuwa ni Rais hivyo basi na Upinzani wangeweza kufanya tu, badala ya kupata aibu wanayokutana nayo akina Lissu huko Dodoma na KibandaMaiti ama Aibu anayokutana nayo Mzee wangu Membe.

View attachment 1562663
Takwimu zinaonyesha kuwa voters behaviour katika chaguzi ambazo Mgombea wa CCM anaendelea (Kwa maana ya Mgombea ambae ni Rais) hamasa ya wapiga kura inapungua na kwa mwaka 2010 ambapo Mheshimiwa Jakaya Kikwete alikuwa anaendelea na awamu yake ya pili waliojiandikisha walikuwa 20.1M na waliopiga kura ni 8.6M tu sawa na 42%, mwaka 2015 waliojiandikisha walikuwa 24.6 M waliopiga kura ni 15M tu. Kwa behaviour hiyo tunategemea kuwa mwaka huu pia ni kati ya asilimia 40%- 50% watajitokeza kupiga kura.

Tabia ya wapiga kura wa kanda ya ziwa ni kuwa wana msimamo, mwaka 2015 Mikoa ambayo Ndugu Magufuli alipata kura nyingi ukiacha Dodoma mingine yote ni mikoa ya Kanda ya Ziwa (Geita, Mwanza, Kagera, Shinyanga n.k) na kutokana na tabia ya jamii hiyo kutobadilika ni wazi mwaka huu pia watamchagua tena Magufuli.

Utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi na Ahadi za Rais katika Mikoa ya Kanda ya Ziwa ni kielelezo kingine cha wazi kabisa kuwa Wananchi wa Kanda hiyo wameuona na kushuhudia WEMA wa Rais Magufuli kwao, amejenga miundombinu na huduma za kutosha mpaka wapinzani wakaona waitumie propaganda kuwa Kanda hiyo inapendelewa na kuonyesha choyo kwa watu hao (Hoja nyingine ya kuwanyima Kura) na kwa kweli jamii hiyo ya watu wanajua kukirimu mtu aliyewafanyia wema. Magufuli ni mwema sana kwao, watampa kura nyingi.

Hoja ya Uzawa bado ina nguvu katika Siasa za Nchi yetu, pamoja na ukweli kuwa hatuchaguani kwa UKABILA lakini hoja ya Uzawa na Uenyeji ni kigezo tosha cha kupata kura katika maeneo mengi nchini, wale waliokuwa watia nia wanalijua hili kwa uhalisia baada ya kukutana na hasira za wajumbe ambao waliwaona kuwa wao ni wageni kwani wengi walitoka Dar kwenda kugombea Vijijini, WALIKATALIWA kwa hoja ya Uenyeji na Uzawa, magufuli ni Mzawa na mwenyeji wa Kanda ya Ziwa, ni mtoto wao...na mcheza kwao hutuzwa.

Pamoja na takwimu kuonyesha kuwa watanznaia katika kipindi cha uchaguzi wa marudio na ule wa Mgombea akiwa Rais hawajitokezi sana kupiga kura kwa maana hamasa yao ya kushiriki siasa iko chini sana, imeonyesha tofauti kwa wapiga kura wa Kanda ya Ziwa, Mwaka 2015 takwimu zimeonyesha asilimia 86.7% ya waliojiandikisha walipiga kura, wakati maeneo mengine yakionyesha asilimia kati ya 50% na 60% ndio waliojitokeza kupiga kura.

RATIBA ya WAGOMBEA wa UPINZANI
Lissu alianza Vibaya sana DAR (wakafukuza wanahabari), akaenda kuharibu ARUSHA (wakasingizia mechi ya Simba) akaenda kupata mapokezi hafifu MWANZA (comparing to Magufuli) akaenda kujiliza SHINYANGA, akanyanyapaliwa TABORA na akapata aibu ya mwaka DODOMA, akafutwa machozi MBEYA na baadae akachungulia Kaburi KIBANDA MAITI - ZANZIBAR ambapo ilibidi aombe msaaad wa ACT kuita watu na kukaribisha Viongozi wao kuhutubia na akaishia kumuombea kura Maalim.... Katika mikoa takribani 10 aliyotembelea Lisu amepata mapokezi ya kuridhisha MBEYA tu.
View attachment 1562676

Mbobezi naona amekata moto kabisa, ratiba yao ilionyesha Uzinduzi LINDI, walipaswa kuwa MTWARA baada ya hapo, Kisha RUVUMA na baadae NJOMBE. Kimsingi huyu Mzee hajatoka nje ya LINDI, yupo anapiga kampeni za Kata za Lindi ambazo mahudhurio yake yanachekesha na kimsingi anajutia maamumzi yake, BIG TIME..yaani nimemuona ametoka Nje ya Lindi kituo kilichofuata ilikuwa ni kipindi cha Dakika 45 cha ITV....Aibu.
View attachment 1562678


Narudia tena Kampeni ni maarifa, mipango na akili na wapinzani wamepungukiwa na vyote...!!
Ukweli ni kwamba kukiwa na haki, magu hatapata zaidi ya 45% percent. 55% zinakwenda kwa Lissu na wengine.
 
Ni kama ambavyo wakati wote nimesisitiza kuwa Uchaguzi ni maarifa, mipango na akili, hakuna kitu kina guarantee ushindi katika mpambano wa kisiasa kama kuchanga karata zako vyema, na kwa kuitazama CCM chama changu, ni wazi kuwa Viongozi wake na Mgombea mwenyewe amejipanga vyema sana. Leo nitafafanua eneo moja tu la RATIBA ya Mgombea na namna inavyomsaidia kumaliza hii game mapema.

Mikoa ambayo Mgombea wa CCM aliyokwishapita na kupata mapokezi ya kuridhisha ni pamoja na Dodoma, Singida, Tabora, Shinyanga, Simiyu, Mara, Mwanza na leo anapokelewa nyumbani Geita. Ratiba hii inamkutanisha Mgombea na takribani wapiga kura 11.2 M ambapo Dom (1.33 M) Singida (0.85M) Tabora (1.5M) Shinyanga (1M) Simiyu (0.9) Mara (1.1) Mwanza (1.9) Geita (1.21) Kagera (1.4M).

Based on voters behaviour katika ya wananchi 29M waliojiandikisha, ni wananchi kati ya 12 - 16M watajitokeza kupiga kura mwaka huu, Ikiwa magufuli tayari anakura takribani 11M, ni wazi kuwa tayari Ndugu Magufuli ni Rais anayesubiri kuapishwa.

Mapokezi yanayoonekana kimsingi yana reflect uhalisia wa watu wa jamii ile wanapompenda mtu huwa hawawezi kujificha, ukweli ni kuwa MAGUFULI anapendwa sanaaaa na jamii ya watu wa Kanda ya Ziwa, utetezi kuwa watu wanabebwa na malori na kulazimishwa kuhudhuria mikutano ya Mgombea Urais huyo ni Upuuzi unaopaswa kupuuzwa, U can't stage watu vijijini wanaojaza umati kwenye mabarabara., ingekuwa ni Rais hivyo basi na Upinzani wangeweza kufanya tu, badala ya kupata aibu wanayokutana nayo akina Lissu huko Dodoma na KibandaMaiti ama Aibu anayokutana nayo Mzee wangu Membe.

View attachment 1562663
Takwimu zinaonyesha kuwa voters behaviour katika chaguzi ambazo Mgombea wa CCM anaendelea (Kwa maana ya Mgombea ambae ni Rais) hamasa ya wapiga kura inapungua na kwa mwaka 2010 ambapo Mheshimiwa Jakaya Kikwete alikuwa anaendelea na awamu yake ya pili waliojiandikisha walikuwa 20.1M na waliopiga kura ni 8.6M tu sawa na 42%, mwaka 2015 waliojiandikisha walikuwa 24.6 M waliopiga kura ni 15M tu. Kwa behaviour hiyo tunategemea kuwa mwaka huu pia ni kati ya asilimia 40%- 50% watajitokeza kupiga kura.

Tabia ya wapiga kura wa kanda ya ziwa ni kuwa wana msimamo, mwaka 2015 Mikoa ambayo Ndugu Magufuli alipata kura nyingi ukiacha Dodoma mingine yote ni mikoa ya Kanda ya Ziwa (Geita, Mwanza, Kagera, Shinyanga n.k) na kutokana na tabia ya jamii hiyo kutobadilika ni wazi mwaka huu pia watamchagua tena Magufuli.

Utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi na Ahadi za Rais katika Mikoa ya Kanda ya Ziwa ni kielelezo kingine cha wazi kabisa kuwa Wananchi wa Kanda hiyo wameuona na kushuhudia WEMA wa Rais Magufuli kwao, amejenga miundombinu na huduma za kutosha mpaka wapinzani wakaona waitumie propaganda kuwa Kanda hiyo inapendelewa na kuonyesha choyo kwa watu hao (Hoja nyingine ya kuwanyima Kura) na kwa kweli jamii hiyo ya watu wanajua kukirimu mtu aliyewafanyia wema. Magufuli ni mwema sana kwao, watampa kura nyingi.

Hoja ya Uzawa bado ina nguvu katika Siasa za Nchi yetu, pamoja na ukweli kuwa hatuchaguani kwa UKABILA lakini hoja ya Uzawa na Uenyeji ni kigezo tosha cha kupata kura katika maeneo mengi nchini, wale waliokuwa watia nia wanalijua hili kwa uhalisia baada ya kukutana na hasira za wajumbe ambao waliwaona kuwa wao ni wageni kwani wengi walitoka Dar kwenda kugombea Vijijini, WALIKATALIWA kwa hoja ya Uenyeji na Uzawa, magufuli ni Mzawa na mwenyeji wa Kanda ya Ziwa, ni mtoto wao...na mcheza kwao hutuzwa.

Pamoja na takwimu kuonyesha kuwa watanznaia katika kipindi cha uchaguzi wa marudio na ule wa Mgombea akiwa Rais hawajitokezi sana kupiga kura kwa maana hamasa yao ya kushiriki siasa iko chini sana, imeonyesha tofauti kwa wapiga kura wa Kanda ya Ziwa, Mwaka 2015 takwimu zimeonyesha asilimia 86.7% ya waliojiandikisha walipiga kura, wakati maeneo mengine yakionyesha asilimia kati ya 50% na 60% ndio waliojitokeza kupiga kura.

RATIBA ya WAGOMBEA wa UPINZANI
Lissu alianza Vibaya sana DAR (wakafukuza wanahabari), akaenda kuharibu ARUSHA (wakasingizia mechi ya Simba) akaenda kupata mapokezi hafifu MWANZA (comparing to Magufuli) akaenda kujiliza SHINYANGA, akanyanyapaliwa TABORA na akapata aibu ya mwaka DODOMA, akafutwa machozi MBEYA na baadae akachungulia Kaburi KIBANDA MAITI - ZANZIBAR ambapo ilibidi aombe msaaad wa ACT kuita watu na kukaribisha Viongozi wao kuhutubia na akaishia kumuombea kura Maalim.... Katika mikoa takribani 10 aliyotembelea Lisu amepata mapokezi ya kuridhisha MBEYA tu.
View attachment 1562676

Mbobezi naona amekata moto kabisa, ratiba yao ilionyesha Uzinduzi LINDI, walipaswa kuwa MTWARA baada ya hapo, Kisha RUVUMA na baadae NJOMBE. Kimsingi huyu Mzee hajatoka nje ya LINDI, yupo anapiga kampeni za Kata za Lindi ambazo mahudhurio yake yanachekesha na kimsingi anajutia maamumzi yake, BIG TIME..yaani nimemuona ametoka Nje ya Lindi kituo kilichofuata ilikuwa ni kipindi cha Dakika 45 cha ITV....Aibu.
View attachment 1562678


Narudia tena Kampeni ni maarifa, mipango na akili na wapinzani wamepungukiwa na vyote...!!
Takwimu wa waganga 300 wa gamboshi.
 
Mbona huko chato na maeneo mengine ya mkoa wa Geita wapinzani hawana jimbo hata moja ? Hao wanagroup wenzio ni kama tone la maji katika bahari kuu.
Elewa point yangu mkuu ni kwamba ccm inapendwa ila magu hapendwi sana kivile so ubunge wanawapa ccm za urais wanagawana na akina rungwe na membe na lissu
 
Ukweli ni kwamba kukiwa na haki, magu hatapata zaidi ya 45% percent. 55% zinakwenda kwa Lissu na wengine.
Aise Kuna watu mna roho ngumu. Yaani hizo kura huyo Lissu anazitoa wapi, au haya ninayoyaona kwa TV nyie hamuyaoni. CCM pamoja na Mgombea wake kukubalika Nchi nzima, bado wamejipanga vizuri Mno ndani ya wiki moja tayari ni Kama wamefika Robo ya Inchi. CDM na viongozi wote mmelundikana sehemu moja tu.
 
Kumekucha.. kwa siku zinavyokwenda.. mbili nane.. atashangaza sana..

Kwa utulivu wa mikutano ya uchaguzi.. na wapinzani kuwa wanafanya wanachotaka.. Hakika Magufuli ni chaguo la Mungu kwa nchi yetu hii pendwa..

Tunasukuma siku.. huko mbeleni hadi mbili saba.. kutakucha zaidi.. 💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽 💯
Chaguo la ibilisi na malaika zake.
 
Back
Top Bottom